JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Mwenye kuijua Nissan Navara Double Cabin. Naona budget yangu unacheza hapo tu. Bei imenibana Siwez Kununua Hilux Double Cab, wala Amarok achilia mbali Mnyama Ford Ranger/RAPTOR. Wajuzi njooni...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za masiku wakuu bila shaka mko salama, hakika kwanza nakiri kupotea hasa kwa wale waliokuwa wanafaidika na makala zangu kuhusiana na elimu ya magari, Mambo yalikuwa mengi na changamoto za...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Ipo taa ya blue inayowaka kwenye dash board ambayo huanza na rangi ya njano engine inapowaka, halafu blue na kisha kuzimika kabisa. Wakati nikinunua gari taa hii ilikuwa inachukia dakika kama...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama wewe ni mkulima, mfanyakazi au mfanyabiashara, katika mihangaiko yako umedunduliza ukanunua gari... kama huwezi kulifurahia hilo gari bila kupata stress za mafuta, vipuri, uoshaji na services...
11 Reactions
60 Replies
4K Views
Hello wataalamu wa hizi Howo [12/1, 8:59 AM] Jessie Song Dongfeng Mid-south: Nearly all 371hp tractor disappeared in China market months ago. I believe after a very short time, 375hp will also...
0 Reactions
1 Replies
442 Views
Wakuu Habari. Kwa muda nimekuwa nikitembelea magari ya chini chini kama Premio plus Crown. Lakini naona sasa ni muda wa ndinga za juu. Nafikiria kununua magari tajwa hapo juu. Na ukizingatia...
7 Reactions
50 Replies
12K Views
Kampuni ya kutengeneza magari ya Scania ya nchini Sweden imeadhimisha miaka 60 ya uwepo wake hapa nchini kwa kutambulisha gari linalotumia teknolojia ya gesi ikiwa ni juhudi za kampuni hiyo...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Hii gari nimeanza kuipenda siku za karibuni. Naomba kupewa muongozo wa uzuri na udhaifu wake.
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Unamshauri nini mnunuaji wa Toyota Verossa mwaka 2023. Je nini uzuri na ubaya wa Toyota Verrossa? Je waweza mshauri mtu anunue Toyota Verossa kipindi hiki? Maoni yenu tafadhali
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyo uliza inamaana hakuna hata mtanzania mmoja mwenye kuweza kumiliki lamborghini AU ferrari mbona hii ni aibu ya kubwa sana inamaana taifa zima tunamiliki MIKANGAFU ya Toyota tu...
10 Reactions
59 Replies
4K Views
Wakubwa habari! Naombeni mwenye ujuzi wa gari ya BMW Xi Ile ya 1590cc in terms of 1.fuel economy 2.durability/resilience 3.price yake 4.za manufacturing year zipi ni nzuri zaidi
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ni hivi, Jana nilitoa betri la gari kutoka kwenye Mitsubishi Pajero mini nikaliweka kwenye Toyota alphard kwakuwa hii alphard betri iliibiwa na jana nilitaka niitumie, Sasa shida ikaja...
2 Reactions
5 Replies
524 Views
Habari wanajamvi. Nimesikiliza wahandisi wengi Youtube wakisema kuwa kila nchi inayotengeneza matairi ya magari ina umri wake wa matairi hayo. Nimesikia wakisema China wana umri wa miaka mitano...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu Habari! Ndugu zenu! Nina gari yenye engen ya 7a-fe Toyota nimetembea km 2700 oil imepungua Lita 2.5 ilianza taratibu mpaka kufikia hatua hiyo. Engen Haina leakege kabisa ila imeanza kutoka...
0 Reactions
9 Replies
866 Views
Habari wakuu mnaweza kujua wauzaji wa magari ya Bei nzuri na magari yaliyo katika Hali nzuri...wauzaji wa Mwanza na Dar
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Gari yangu aina ya Toyota Succeed. Inajiongeza kasi wakati inatembea. Mafundi karibia wote wanadai gear box inunuliwe mpya. Shida inaweza kuwa nini jamani? Inajiongeza kasi kwa sekunde kadhaa...
0 Reactions
3 Replies
600 Views
Habari nimejiandaa na pesa hiyo nitapata gari gani nzuri kwa ajili ya matumizi yangu na familia?
12 Reactions
183 Replies
16K Views
Kichwa cha uzi cha husika Nimesoma sehemu kuwa kampuni ya Toyota wanatengeneza zaidi ya magari 9.2M kwa mwaka na wana viwanda 67 vya utengenezaji duniani kote,, nikapiga hesabu kama ifuatavyo; Kwa...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari ya muda huu wakuu Nimejitokeza hapa jukwaan kuomba ufafanuzi wenu.mGari yangu aina ya Toyota Succeed....inatatizo la kujilesi (kujiongeza mwendo kasi) wakati Ikiwa inatembea!! Inajiongeza...
0 Reactions
1 Replies
294 Views
Poleni na hongereni na majukumu ya kila siku. Naomba ushauri kwa wadau wenye experiences na ununuzi wa "Used Cars". Inawezekana kununua gari tajwa kutokea Hongkong/China?,Turkey....(if yes...
1 Reactions
6 Replies
878 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…