JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
wakubwa naombeni msaada kwa ndugu na jamaa waliowahi kutumia aina hii ya gari.binafsi kwa picha tu nimeipenda.ila sijui undani wake.nisaidieni.
0 Reactions
18 Replies
16K Views
Habari ya majukumu wadau. Nimejaribu kutafuta humu taarifa kuhusu Toyota Noah generation ya 2008 sijaweza kupata. Naomba mwenye uzoefu wa hili gari anisaidie ili nifanye maamuzi. Nahitaji gari ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu wafanyabiashara hamjambo humu! Nataka kujua Bei ya fuso tandam ni kiasi gani mpaka naipata mkononi na pia lipi bora kuagiza au kununua mpya au kununua kutoka kwa mtu!
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Recently nimenunua gari ndogo (babywoka). Sisemi gari gani lakin ni mojawapo kati ya haya matano (IST, VITZ, Passo, Honda Fit, Suzuki Swift) Leo asubuhi sana kuna issue nilikua nawahi pale UDSM...
58 Reactions
267 Replies
21K Views
Habari Ndugu Je Kuna MTU alishawahi kuagiza Gari toka Kwa Hawa wanaojiita maajenti wa Beforward, lakini wengi wao ni watu toka Pakistan? Je waaminifu ? au matapeli tu?
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu habarini za majukumu, samahani mwenye uzoefu au anayefahamu utaratibu wa kununua magari kwenye minada ya Japani anisaidie. Nasikia mnadani magari ni bei nafuu. 1. Naomba kufahamu utaratibu...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Binafsi ili safari yangu iwe nzuri na niifurahie huwa nahitaji vitu vichavhe tu, kwanza kabisa gari linalozingatia muda na pia ile huduma yetu pendwa ya kuchaji simu lakini pia gafi ambalo ni...
7 Reactions
184 Replies
7K Views
Uzi huu ni Kwa ajili ya wadau wa vyombo vya majini Kwa ajili ya shughuli za uvuvi,utalii na michezo. Mnakaribiahwa Kwa ajili ya namna ya kufanya usajili,Sheria za vyombo vya majini, marekebisho...
5 Reactions
30 Replies
10K Views
Ndugu wanajamii mwenye ujuzi wa hii gari anipe dondoo zake...kuanzia upatikanaji wa spare...fuel na bei yake.
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwenye kuwahi itumia Toyota fielder namuomba inbox plsss cc 1500. Ubarikiwe
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari! Mnawatoa mikoani kwa kuwaahidi kuja kuwafunza ufundi, ila wakija huku mnawatumikisha na wanakuwa mafundi wa kukariri na kujua kufunga na kufungua pekee. Mnawanyima maarifa na kuwafanya...
14 Reactions
21 Replies
2K Views
Kampuni ya Toyota ilianzishwa na mtu anayeitwa toyoda na si Toyota kama wengi wanavyofikiria . mwanzo ilikuwa ikijulikana kwa jina la katakana . kampuni ya Toyota ni ya mtu na famila yake. katika...
18 Reactions
93 Replies
16K Views
Hiyo itaepusha usumbufu wa kununua gari kisha kukuta Lina madeni mengi. Madeni ya Parking na ya faini za Polisi.
3 Reactions
4 Replies
591 Views
Kama unaendesha gari lako ghafla taa hii nyekundu ikawaka ni vema ukatafuta mahali ambako pako salama ukapaki gari yako na ukaizima kwanza. Rangi nyekundu iliyoko kwenye hiyo alama inatosha...
44 Reactions
37 Replies
9K Views
Habarini Wakuu, Nataka kununua Toyota Crown Althele ya 2005-6 nataka kujua fuel consumption na Services. Na Kusafiria Dar-Moshi inaweza kucost pesa ngapi kwa Fuel
5 Reactions
52 Replies
9K Views
Unajua Kuna jamaa kanishangaza sana nikaona nije niulize huku, natumia Toyota Porte Kwa Sasa na inanisaidia mizunguko yangu, Kuna jamaa yangu yeye ana Nissan Murano Sasa ananiambia Mimi natia aibu...
9 Reactions
31 Replies
2K Views
Leo nimepotelewa na funguo za pikipiki na nilikuwa nao mmoja tu sasa naomba wana JF mnisaidie mbinu mnazozitumia ili kuendelea kutumia chombo hicho cha usafiri
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sorry Nina mark II grande Juzi Kati iliwasha taa ya mafuta na nilikuwa nakaribia eneo lenye kituo cha mafuta nikapitia nikaweka mafuta lakini cha ajabu ile geji ya mafuta ikabaki palepale chini na...
9 Reactions
48 Replies
3K Views
Habari wadau, Poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Naombeni kikuzwa kuhusu magari haya. Hasa uimara, upatikanaji wa vipuri, utumiaji wa mafuta n.k 1. Toyota Corsa 2. Nissan Tiida...
0 Reactions
2 Replies
624 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…