JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu amani kwenu, (nimeulizwa swali na mdau, kwa kuwa sijui mambo ya pikipiki nimewaailisha kwenu anaomba msaada wa mawazo) Nisipoteze muda nimepata changamoto kidogo kwenye hizi piki piki za...
2 Reactions
11 Replies
7K Views
Naombeni msaada wazoefu wa kuagiza magari Japan. Nimeagiza gari japan limefikia hatua wamepakia kwenye meli na wamenijulisha jina la meli, tarehe ya kuondoka na kufika japo wamenambia huwa...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwema wadau? Wapi kuna chuo cha kujifunza skaveta? Naomba mnisaidie.
1 Reactions
8 Replies
575 Views
Wadau naomba msaada wa Connection ya Mafundi wa Rangi wazuri Moshi na Arusha...
0 Reactions
0 Replies
433 Views
Habari wakuu, Naomba mwenye uelewa juu ya hizi malori ya kichina! HOWO kuhusu agent wake kwa hapa Tanzania (Brand new)! Ubora kulinganisha na scania, DAF, Mercedes. Bei, Service n.k anijuze hapa...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Habari za leo wana JF. Niko katika maandalizi ya kutafuta gari ya Mizigo kwa kazi Zangu za biashara ya mazao. Biashara yangu ni kukusanya mazao toka maeneo ya vijijini maporini na sehem kama...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari،naomba mwenye uzoefu anipe elimu juu ya hii gari naiona imeandikwa Chevrolet imefanana na Swift. 1.Ni gari gan Chevrolet gani 2.Upatikanaji wake wa vipuri 3.Matumizi yake ya maguta...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Unakuta mtu yupo yupo tu lakini basics za barabarani hajui hata kidogo. Mtu ameblock barabara na wala haoni shida. Mtu amekukuta umepaki sehemu anakuja kukublock ushindwe kutoka mpaka umuite...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Kwa wazoefu wa hii gari naomba mitazamo yenu. Ina ubora gani na zipi ni changamoto zake. Gari ni ya mwaka 2003 lakini sijui ukubwa wa injini.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Nataka kununua hii gari jamaa kaniambia milioni 9. Alianza na 11 tukashuka hadi 9, je, hiyo bei ni sawa kulingana na hali ya gari ilivyo? Naomba saada wakuu.
5 Reactions
90 Replies
7K Views
Wakuu habari vipi? Msaada wa kupata stika za nenda kwa usalama.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ninekuja hapa mbiombio, Kuna pahala nimeona wanaitangaza hii mashine. Nahitaji kujua machache kuhusu hii gari. Mahitaji yangu ni Gari yenye kubeba Tani 15 Gari inayo himili njia ngumu rough road...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia. Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Speed meter/Odometer inakuwa katikati kwenye dashboard. Ili iweje sasa? Mambo mengine ya hovyo tu mi naona. Kuna gari za Japan nmeona zina hiyo kitu. Leo nlikuwa na jamaa yangu kaomba nimsaidie...
22 Reactions
78 Replies
8K Views
It's doesn't make any sense kupendekeza Alphard kuwa mbadala wa Land Cruiser kwa kigezo cha kupunguza gharama za matumizi upande wa magari serikalini. Uhimilivu wa V8 unaweza kulingana na...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wadau, Nina gari Vitz New model lakini ipo chini sana, ukipita kwenye tuta kubwa au rough road yenye mabonde mabonde lazima iguse chini. Najua humu kuna wataalam wa haya mambo mimi sio...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari jamani? Gari yangu aina ya Raum 2nd gen taa yake ya indicator ya kulia haizimi automatically, vile ukikata usukani upande wa kushoto ni mpaka uizime wewe mwenyewe dereva. Mwenye uzoefu wa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
mambo vip wadau, siku mbiki tatu nyuma nmenunua kipaso piston 4 cha 1290CC, kilikuwa kinashda ya kubadili gear but ukiweka reverse kinashtuka na kurud nyuma 1,nikampelekea fund wa kwanza kuna...
4 Reactions
57 Replies
5K Views
Nimeingia kwenye mitandao kuchungulia bei ya Carina TI huko Japan nilichokutana nacho nimecheka saaana. Yaani Carina TI ina bei kubwa kuliko hata IST old?? Why? Source Befoward
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Kampuni ya Audi ni kampuni ya magari ya kijerumani inayotengeneza magari ya Aina mbalimbali ni kampuni ya kijanja Kwa kijana na mtu anayejielewa Kwa bongo hapa IST imekuwa gari ya taifa...
18 Reactions
147 Replies
18K Views
Back
Top Bottom