Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu naombeni ushauri kuhusu hizi online sales km kupatana etc je hazina matatizo kma utapeli na mengineyo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dhumuni la post hii ni kutaka kupata ushuhuda wa mafanikio katika biashara na vikwazo mbali mbali tunavyovipitia katika majukumu yetu ya kibiashara. Mpo waajiriwa mnaojihusisha na biashara kama...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Kuanzia Mwezi Julai mwaka 2014 mpaka Desemba, bei ya mafuta ghafi imekuwa ikishuka kutoka $110 kwa pipa mpaka $56 kwa pipa. Mporomoko huu wa bei wa zaidi ya 40% haujaleta unafuu kwa mtumiaji wa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu naomba kwa wale wenye uzoefu mtupatie mauzoefu hapa! Huko China kuna bidhaa gani ambazo naweza kununua na nikaja bongo nikapiga hela ya maana? Unafuu wake ukoje kwenye isue ya kodi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba ufafanuzi Kwa muda sasa nimesikia kwamba kuna makampuni ambayo hupata nafuu ya kodi( Tax holiday) lengo likiwa ni kuvutia uwekezaji nchini! Naomba kuelewa katika hili 1. Ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf. Nahitaj mkopo wa mil 3 kwa thamana ya kiwanja title deed Bunju B na hati ya mauzo ya shamba heka 1.5 liko mailmoja. Kurudisha ndan ya miez 2. Namba zangu 0656573552,0762462687
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TAARIFA KWA UMMA Kuna uvumi unazagaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii kuwa mmiliki wa VIP Enginering and Marketing Limited, "aliyekuwa anamiliki hisa IPTL Ndugu Rugemalira" amefungua kesi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Kaka yangu anauza gari yake as mentioned above, kwakua yeye hayupo Jf, nimemfanyia courtesy ya kupost link ya infromation kuhusu gari hiyo aliyoweka facebook...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada wahali na mali wanaJAMII, "Muhim sana". Si mda mrefu sana tangu nianze kuekeza nguvu zangu kujishughulisha binafsi (kujiajiri), ila napata shida sana katika kukuza na kuimarisha biashara...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naumba mdau yeyote anisaidie kunieleza benk zenye best interest rates za fixed accounts, kwa mfano, 1 month rate, 3 mothns rate,6 months rate and 12 months rate. Nitashukuru kwa ushirikiano
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta Hospital au DK mzuri wa mbwa. Tuwasiliane 0672514440
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hello Jamii forum members: Wazo hilo hapo juu nawasilisha kwa ushauri; Mimi nimefanyia ANALYSIS nimeona ni social enterprise nzuri kwa watu wa rika zote; wanafunzi na wasio wanafunzi. Jambo la...
0 Reactions
67 Replies
8K Views
Ukipitia maandiko mengi ya uchumi yanasema miaka ya sitini nchi nyingi za bara la Asia, zilikuwa na uchumi level moja na nchi nyingi za kiafrika kiuchumi. La kushangaza hivi leo wao kwetu ni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tafadhali naomba kwa yeyote anayejua mahali naweza kupata/nunua net za kutengenezea green house anijulishe. Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mambo vp waungwana, naomba kuuliza hivi hii habari ya viccoba saccoss ina ukweli kiasi gani, kupata mkopo ndani ya dakika 55, tujuzane wenye kujua..
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu naomba msaada wa kuelekezwa namna ya kuangalia bei ya nafaka km mpunga,maharage,choroko kwenye soko dunia.
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Hi wakuu, natumaini mu wazma na mnaendelea vzur na shughuli za kila cku.Mimi nipo mwanza nahtaji kuonana au kupata contacts za watu wanaofanya biashara ya matalumbeta am in need of them. Aksante
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello JF, HERI YA MWAKA MPYA, 2015!!! Tunashukuru kuwa Mungu ametuwezesha kuingia mwaka mwingine tena. Moja ya maombi ya kila mmoja ni Mungu kumfanikisha katika mipango yake. Katika kufanikisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nina idea ya biashara nchini mozambique,ila tatizo ni mtaji,natafuta mzamini kwa wale wafanyabiashara wakubwa wenye bidhaa kama nguo za duka za kike na zakiume,wax,belo za nguo za watoto za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nakumatt to open 14 new supermarkets regionally SHARE BOOKMARKPRINTRATING A Nakuma tt outlet in Kigali, Rwanda. The Kenyan retail chain is targeting entry into South Sudan and Burundi. NATION...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…