Kutokana na hali ngumu ya kiuchumi na ukosefu wa ajira, kujiajiri imekuwa njia bora ya kujipatia kipato. Watu wengi wanasukumwa kuingia kwenye biashara au ujasiriamali kutokana na kukosa ajira au...
Ndugu wanaJf naomba msaada wenu
Kuna vitu nataka kuorder kutoka amazon lakini kila nikijaribu kufanya process za malipo napata hii msg
Nimejaribu kubadilisha ordering address lakini imegoma, ni...
Hello wana JF?
Kampuni yetu ya KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED, yenye ofisi zake Mbeya na D'salaam, inapenda kuwapa FURSA za UWEKEZAJI wa aina yoyote katika nyanja zozote; uzalishaji...
The new green city construction project will be based at Isinya in Kajiado County and will span a total of 1,000 acre area and involve construction of a variety of facilities. Please visit this...
This epidemic is really widespread in TZ and elsewhere. people are neglecting their formal and professional jobs to join this kind of new business they call it network marketing.
It involves...
Nina shida ya kucontact na watu wa Customer Care Nmb mobile,sijui namba yao ya cm. Currently huduma yangu hii imefungiwa due to PIN code problem. Ninaambiwa walishanitumia PIN code nyingine,which...
GUYS NAOMBA KUFAHAMISHWA, mimi leo nimelipia gari aina ya Toyota Sienta ya mwaka 2005 CC 1500 from Beforward, kwa mwenye kufahamu ushuru wake hata roughly tu naomba anifahamishe. Gar ndio...
Wana jf, pls naomba ushauri, sijawa na mtaji wa kuwwza kufanya biashara zangu za kuuza nyumba au kukodisha.lengo langu toka mda mrefu ni kuja kufanya biashara ya nyumba, nina uzoefu mkubwa kwenye...
Jamani....penye wengi hapakosi mengi....mimi kupitia kampuni yangu inayohusika na mambo ya Real estate natafuta mwekezaji ambaye ninaweza kumkodisha ardhi kwa muda mrefu (long term lease)...
Hivi how can i get information about the properties and real estate market in Tanzania yenye kuelezea issues kama:
- the legal situation. Save? / medium?
- the building prices
- Rental...
Kwanza mimi mwenyewe nimezaliwa Tanzania na kukulia katika jamii ya uwezo wa kati kiuchumi.
Kwa leo kuna jambo moja ningependa sote kwa pamoja tuangalie kwa makini hili suala la Watanzania...
Leo mchana niliingia dukani hapo kununua dawa, bahati mbaya nilikuwa na bahasha yenye pesa kama 450,000 nikaisahau pale cash counter. Nilienda hadi Mlimani city ndio nikagundua sinayo ile bahasha...
Habari wana JF
Naombeni kwa wanunuzi wa vitunguu maeneo ya Ruaha Mbuyuni na wanaotoka maeneo mengine,nina vitunguu red bombey nzuri,vipo ruaha mbuyuni wilaya kilolo iringa.ambaye yupo tayari kwa...
Hii inahusika wadau. pitieni hiyo link hapo chini mjionee wenyewe. Huyu jamaa ni Expert na ni Trainer wa ujasiriamali na biashara kwa ujumla ndani ya Online video tutorials & training | lynda.com...
Habari wadau.
Naomba msaada juu ya biashara ya Drycleaning. Ningependa kujua hasa juu ya gharama za mashine na jinsi nnavyoweza kuagiza kutoka nje pamoja na kodi za TRA au kama hapa Tanzania...
Wakuu,
Ninahitaji kuagiza mbwa kutoka ujerumani pia ninahitaji kuagiza sungura kutoka newzealand kwaajili ya kufuga. Naombeni mnisaidie ninawezaje kupata viumbe hao toka nchi tajwa.
Kuna kampuni...
Hii ni topic nimeikuta huko Mahusiano na mapenzi. Nimesikitika sana kuona watu walivyokosa maaraifa na upeo. Eti mtu anaamini kujiajiri it is a waste of time. Ndo maana dunia ina matajiri wachache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.