Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu habari za biashara, Naomba kujua kama nina dola elfu kumi ni bidhaa zipi naweza kupeleka Tanzania kutokea China kwa njia yoyote ni sawa hata kwa ndege. Kiwango cha faida nahitaji kama...
1 Reactions
15 Replies
8K Views
Msaada kwenu wakubwa kama mnaweza kunipa uelewa kidogo juu ya biashara hii ya computer accessories pamoja na phone accessories. Ntashukuru kama mtanisaidia sana wakubwa!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KWA NINI TAX CONSULTANTS WATEULIWE/KUPEWA LESENI NA TRA ILI KUWATETEA TAX PAYER ? Wakuu natumaini muko salama, naomba ushauri wenu kuhusu utaratibu huu ulivyokaa , Kumekuwepo na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
How To Make Money on Youtube...........
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari Jamiiforums, Natamani kujiingiza mzimamzima kwenye hii issue ya share(hisa). Naomba ushauri wenu kwa wajuzi wa mambo me nataka base sana online shares. Hivi ni website / mtandao upi ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimehamia katika mji flani ambao kwa sasa ni makao makuu ya wilaya. katika kuangalia biashara gani naweza kuifanya nimepata wazo la kuanzisha chekechea kwa kuanzia na baadae daycare kwani hakuna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Techno inahitajika leo hii,bajeti 65,000/= nipo dar.Ni pm fasta
0 Reactions
1 Replies
835 Views
Ndugu zanguni, Naomba anayejuauwezekano wa kupata Credit Cards Tanzania na jinsi ya kuzilipia. Asanteni.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Watanzania tumefika mahali kazi za usafi wa nyumbani zinafanywa na foreigners, nimejiuliza yafuatayo:- 1) Inamaana watanzania wamejitosheleza hawahitaji kufanya kazi za nyumbani (kielimu na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau Nimetoka Jimboni kufanya Survey ya jinsi ya kuzungukia Kata zote mwakani. Kwa kweli nahitaji Hard Top maana Kata zipo Milimani sana na ili kulitoa Gamba sina budi kuweka kambi na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau wapi ntapata kati ya 10m-15m nikalime. Nina kiwanja chenye hati kama collateral pia nina mkataba wa kazi ambao huwa na urinew kila baada ya mwaka. Mkataba huo una thamani ya 1m kwa mwezi...
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Habari zenu wana jf,natafuta mtu wa kufanya nae biashara nimemaliza chuo mwaka huu, wakati nasoma nilikuwa na kibanda changu cha kupiga picha za kawaida, passport size,video shooting kwenye...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Pals habari zenu, Nahitaji nianze kuuza nguo za mitumba. Je, ni sehemu gani wanauza mabaloo mchanganyiko ambayo ni mizuri na bei yake inaridhisha? Nipo Dar
0 Reactions
26 Replies
14K Views
Hv kuna business opportunities zozote unazozifahamu zinazoweza patikana jijini mwanza? Any help will be appreciated
0 Reactions
1 Replies
937 Views
Wana-JF natumai mko poa, Please naombeni msaada wenu juu ya kusafirisha/ kuingiza cement ya pakistan. Kwa kuanzia naombeni mnisaidie mambo yafuatayo; I) Ni kampuni gani maarufu inayoaminika kwa...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari wana jf: Jaman kunatetes kwamba mwalimu akiagiza gari halipii gharama za bandari! hivyo inapita free! naombeni kujuzwa kwa undani! aksanteni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
THURSDAY, NOVEMBER 6, 2014Kenya says railway deal based on need, not meant to isolate Tanzania Print A sample of a standard gauge railway. The government says its decision to involve Uganda...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa Mujibu wa sheria ya makampuni ya mwaka 2002, vifungu vya 128, 132 na 438 kila kampuni iliyosajiliwa Tanzania inawajibika kupeleka taarifa za mwaka ikiwa ni pamoja na taarifa za mahesabu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani mimi huwa nawashangaa viongozi wafugaji hasa wa kanda ya kaskazini na kanda ya ziwa. Enzi za mwalimu kulikuwa na viwanda vya nyama, viwanda vya maziwa na viwanda vya ngozi na viwanda vya...
0 Reactions
2 Replies
934 Views
Uganda is planning to invest in a new housing project to ease housing demand tension. Read further on the project details from here.
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Back
Top Bottom