Wana jf heshima kwenu.
Naomba kuuliza ili kuondoa hofu/au kupata uhakika na sakata linaloendelea ndani ya NBC.
Sie walala hoi tuliohifadhi vijisenti vyetu huko NBC hatupati usingizi tunaweweseka...
nahitaji mtu anayejua kutengeneza makabati ya maduka ya dawa yanayohamishika, sijapena kununua yale ya kichina, nataka ya mbao za kibongo. nilisikia prison/magereza, au veta. mwenye ujuzi naomba...
LG Electronics has confirmed that it will end production of plasma TVs by the end of November, following a similar announcement by rival Samsung earlier this summer.
Reuters reports that a...
Msaada wazee nataka kufanya biashara kupitia alibaba.com
naomba kujua ambao walishawahi na experience yao kwenye hii online thing
na je jamaa ni waaminifu na bidhaaa ni bora ...kama unavyoona...
DAR ES SALAAM, Oct 11 (Reuters)
Tanzania has granted a licence to Vietnam-based telecoms operator Viettel to build a third-generation (3G) mobile phone network in the east African country, a...
Kwa wazoefu na wataalam wa magari naombeni ushauri wenu. Sina uzoefu wowote kuhusu magari ila nahitaji kununua gari kwa ajili ya matumizi binafsi na nimepata muuzaji mmoja anataka niuzia Honda...
Wakuu za mchana!Nilikuwa naomba ushauri kuhusu biashara ya taxi hapa downtown, Kodi zake,rehabilitation,hesabu kwa wiki na je inalipa naomba msaada wenu!
KAMPUNI ya URSUS ya kutengeneza matrekta ya kutoka Poland, imeonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania na iko tayari kushirikiana na kampuni ya SUMA JKT kutengeneza matrekta hayo.
Hayo yalisemwa na...
Greetings,
I often hear how difficult is for Farmers in Tanzania, but what exactly are the really challenges that Farmers are encountering?
Where main problems that they are struggling with...
Kwa yeyote mwenye taarifa,
Wakuu naomba kuelekezwa nikitaka kuwa agent wa kuuza matrekta huku vijijini (mikoa ya Shinyanga na Simiyu) natakiwa kuanzia wapi? Sasa hivi kuna mwamko wa wakulima...
Ukiangalia hii nchi, mambo ya kiuchumi yanaenda ovyo sana.
Shilingi inazidi kushuka thamani, leo ni 1680 TSHS kwa DOla moja ya Marekani
Kilimo Kwanza imekuwa ni kelele tu na kuwapa...
Yale maji ya Kilimanjaro ambayo hapo awali yalijizolea sifa kwa ubora, sasa hivi inasikitisha sana kwa jinsi walivyoamua kuachana na njia zilizoyafanya yakawa na ubora wa juu kuliko washindani wao...
Wataalamu wa biashara mliomo jamvini naombeni mchango wenu wa mawazo.
Nina tafuta kujua ni benki gani hapa Tanzania inayotoa mkopo kwa ajiri ya kununulia vifaa na mitambo ya ujenzi (movable...
Kwa ufupi
Kinachoonekana ni kwamba ufuta unakua na kukomaa kwa haraka kuliko korosho
Limekuwa ni jambo la kawaida sasa kwamba kati ya Novemba na Mei, mamia ya wakulima katika Wilaya ya Tandahimba...
Nakaribisha yeyote mwenye nia na uwezo wa kuwekeza Tshs 15m katika biashara hai, halali na endelevu. Ni biashara iliyo na mkataba wa miezi 12, inazalisha faida ghafi ya tshs 8.4m kwa mwezi, ama...
Hello.
Nahitaji business partner kwenye microfinance yangu ambayo imeshaanza kazi ya kukopesha wajasiriamali wadogo wadogo. Mahitaji ya wajasiriamali kwa ajili ya mkopo yamekuwa makubwa sana...
Moja ya wajasiriamali waliofanikiwa zaidi Duniani ametimiza miaka 59 siku ya leo.
Katika kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa kuna mambo mengi ya kujifunza labda kwa machache.
1. Mafanikio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.