Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Salaam wanajamvi!! Naomba tuchangie mawazo katika hili: Kumekuwa na hii dhana kuwa namna ya kuwasaidia wakulima ni kuhakikisha wanauza mazao yao kwa bei ya juu miongoni mwa namna zingine...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naomba ushauri.... Mwenzenu mshahara wangu take home ni 800 000/-, nataka kukopa CRDB kama Ths 10 million hivi ili ninunue kiwanja, siewezi kukopa nje ya CRDB maana hapa kazini wana mkataba...
1 Reactions
28 Replies
14K Views
Hello wadau, Nina uhitaji wa mkopo wa fasta SH 1.8 M (Milioni moja na laki nane), riba isizidi 20% kwa miezi miwili. Nahitaji mkopo huo kwa kibiashara kwa Dhamana ya Gari yangu, ambayo naiuza kwa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wanabodi, wizara ya maliasili na utalii ni kati ya wizara kubwa zenye vyanzo vingi saana vya mapato (wengine tunaiita ni serekali ndani ya serekali kwani ina kila kitu). Kati ya Taasisi nyeti...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habar wana jf mm ninataka niwe wakala wa mpesa,airtel money,tigo pesa na Luku lakini sijuwi gharama za hivi vitu plz kwa anaejuwa naomba anielekeze Mpesa gharama yake shilling ngapi,airtell money...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
wakuu heshima kwenu. Natumaini thread yangu pia licha ya kutatua changamoto zinazonikabili pia itakuwa solution ya mtaji kwa baadhi ya vijana. Mimi na mwenzangu I mean rafiki yangu baada ya...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
hatua ya kwanza katika maendeleo ya nchi ni kuwa na mipango endelevu, la pili ni kutekeleza mipango na la tatu ni kuwa na usimamizi wa utekelezaji wa mipango ya maendeleo. kama taifa tunahitaji...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari, Nimeagiza zana za kilimo nje (trekta) kwa yeyote ambaye amewahi agiza trekta au anafahamu taratibu za kuitoa bandarini aniambie ikiwa ni pamoja na ushuru wa bandari na gharama zozote...
0 Reactions
1 Replies
881 Views
NAFASI YA KAZI IMEPATA MTU, Tunawashukuru wote kwa ushirikiano wenu kwa namna yeyote na pia tunawaomba radhi kwa lolote lisilo la kawaida
0 Reactions
10 Replies
2K Views
CONSCIOUS LEADERSHIP SUMMIT With Mrs. Scholastica Kimaryo certified by Chopra Center University [Former UN ambassador to South Africa & Lesotho and UNDP Regional Director for 23 Countries...
0 Reactions
1 Replies
927 Views
Je wewe ni Mjasiriamali, au Mwekezaji? na unatafuta kuwekeza au msambazaji au partner Africa mashariki, unajua kwamba unaweza pata fursa mbalimbali za kibiashara na tender katika Africa na dunia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nauliza kama kuna yeyote mwenye namba ya mtu anayehusika na utoaji mafao pale NSSF Arusha, nataka na mimi anifanyie mpango changu kitoke mapema. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
961 Views
Nimeikuta online: Tanzanian Low Cost Apartments Need funding Funding Amount Needed : $1,500,000 Industry: Real Estate Funding Type: Both Debt and Equity Maturity Stage: Profitable...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakuu mm ni mkulima niliobobea natafuta soko la vitunguu vipo vya kutosha tu kwa bei nzuri ambayo itakuwezesha na ww mjasilia mwenzangu uwezi kujikwamua kimaisha,mzigo utakufikia popote ulipo...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari za kazi wadau? Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa katika mkoa wa Singida, mbali na kuajiriwa nimeona kuna fursa ya kufanya biashara ya kununua asali kwa wafugaji wadogo na kuifunga katika...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Wadau naombeni mwenye document (word/pdf etc) ya memorandum ya kampuni kama nilivyobainisha hapo juu (ya Tanzania, under THE COMPANIES ACT, 2002 nadhani) anisaidie tafadhali, nataka kujua...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wana Jamii, Vitu muhimu vya kuzingatia kabla ya kwenda kununua mashine ya efd. Wengi kama binadamu wa kawaida tunaangalia zaidi bei nafuu, especially kwa mtu ambaye hanunui kwa hiyari...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Africa’s richest man, Aliko Dangote, has announced new plans to invest an undisclosed sum in the development of a major coal mine in Tanzania, even as he continues to expand his business interests...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari!!! Natafuta mtu wa kuendeleza project niliyoianza ya kilimo (eka 10, kilimo cha umwagiliaji, Dakawa-Morogoro). Mpaka sasa 85% ya shamba limeshalimwa, liko katika hatua ya upandaji! (lengo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu! Jamani mimi nina business idea, ambayo tayari nina kila kitu upande wa paperworks na marketing strategies, kwa maana kwamba nina uhakika kampuni itasimama. Shida ni kwamba sina...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom