Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hi all, Kwa wale wanaohitaji kuboost fertility kwa njia ya supplements (approved ones) tuwasiliane (PM).
0 Reactions
3 Replies
3K Views
TTCL Chief Marketing and Sales Officer, Peter Ngota Discussions between the government and Bharti Airtel with regard to the 35 per cent shares of Airtel in Tanzania Telecommunications Company...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
AECF REACT R3 COMPETITION Eligibility Criteria You must meet all of the following criteria for your application to be considered: Your company is a private for - profit company, partnership or...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Waungwana mimi nina eneo langu aeneo ya malagalasi yanapatikana haya madini ,ninaomba mwenye contact za wahusika serious niwasiliane nao kwani niliwahi mtumia jamaa mmoja sample akaipima tukafanya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hodi tena jamvini, haya maziwa ya azam mapya ukishayafungua ukiweka kwenye friji yanaganda na huwezi kuyatumia tena. Ni tofauti na daily milk ambayo ata ukifingua ukatia kwenye friji yanabaki kuwa...
1 Reactions
55 Replies
10K Views
RVR launches Sh160 million train simulator Share Bookmark Print Rating Rift Valley Railways (RVR) locomotive instructor Jacob Nguli (standing)...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Umeme mdogo umekuwa kero kwa watu wanao tumia vifaa vikubwa kama vile motor;mafriji n.k Hata Stabilizer zimekuwa zikishindwa kukabiliana na tatizo hilo Inafikia hatua vifaa hivyo havifanyi kazi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kiwanja kipo kibaha picha ya ndege, km 1.5 kutoka barabara kuu, ukubwa ni 20*20m, bei ni tsh 3M, kwa mawasiliano 0656142433
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naivas to hire 450 employees for its four new branches Share Bookmark Print Rating The Naivas Supermarket, Westlands branch, Nairobi. PHOTO |...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari Naomba kujuu Vipikipiki vya miguu mitatu aina ya TOYO mpya ni sh ngapi wakuu. Nitashukuru sana
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Gavana wa jimbo la Virginia, Marekani Bwana Governor Bob McDonnel, ameonesha wasiwasi wake wa kupungua kwa mapato yatokanayo na ushuru wa nishati ya mafuta kwa kadiri watu wanavyozidi kununua...
0 Reactions
1 Replies
924 Views
Ndugu wana jukwaa nimekuwa nikisikia neno HISA katika biashara ila bado sijabaatika kuipata Elimu hii..Tafadhali mwenye uelewa wa Hisa naomba anisaidie
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Statoil Norway's Statoil has found more gas offshore Tanzania at the Giligiliani-1 well, increasing its total for an eventual investment decision on a liquefaction plant with Britain’s BG Group...
1 Reactions
0 Replies
809 Views
Wadau nina mpango wa kufungua studio ya mziki kurekodi audio na baadae video naomba kabla ya kuanza biasha hii mnipe ushauri ni namna gani ya kuiendesha kazi hii na vifaa vya mhimu...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari zebu jamani naombeni ushauri wenu na 1m nataka kufungua biashara nianzishe biashara gani ushauriwenu tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Read more on the offer here: Kenya turns to bonds to finance infrastructure and other needs - Construction Review Online
0 Reactions
2 Replies
774 Views
Wadau, Kampuni yangu inamiliki michezo mbalimbali ya watoto esp modern Jumping Castles kwa ajili ya kukodisha wanaoyahitaji.Sasa inamtafuta mtaalamu aliyebobea katika masuala ya sales and...
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Mtandao wa intaneti umekuwa sehemu ya maisha ya watu wengi kwa maisha ya sasa. Tanzania nayo inaongezeko kubwa la watumiaji wa intaneti, hususani kupitia simu za mkononi na 'tablet' computers...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau nilikua naomba kupewa uelewa zaidi jinsi ya kufuga kuku wa kienyeji na faida zake.....
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom