Kama kuna mtu angependa kuanza biashara na hana idea afanye biashara gani,nina business idea ambayo ninaweza kushare na wewe ambayo unaweza kutengeneza sio chini ya 500,000 kama faida kwa mwezi wa...
Wazalendo
Mambo siku hizi yamebadilisha badala ya kuwa na aquarium fish tank, unaweza kufunga samaki nje ya garden yako na nyumba ikawa na mvuto zaidi, ukatamani kulala nje. Usisite kuwasiliana...
Wadau habari!
Naomba mwenye idea ya biashara soda za jumla,mtaji wake kiasi gani,faida yake iko vipi.
Nisaidie wakuu nione kama nitajikwamua kiuchumi maana maisha ya dar wazee ni hatari wazee
Je ni kweli samaki sato ukiwafuga vizuri wanaweza kufikia kg 1 kwa muda wa miezi 6?mwenye uhakika anithibitishie hili mimi ndo nimeanza kufuga zina mwezi mmoja.
Msaada mwenye kujua ushuru wa hii gar tafadhali
NISSAN DUALIS 2007 2000CC
Maana haipo kwenye RSP calculator ya TRA
Aliyewahi ileta au mwenye ndugu/ rafik TRA
Poleni na kazi kaka na dada zangu.
Mimi ni kijana nimemaliza chuo sasa sehemu ya kujishikiza Sijapata.
Nipo morogoro mjini.
(1) naomba kujua ni maeneo gani mazuri ya kulima mazao ya...
Bharti Airtel has announced plans to
start cross-border mobile money
services in East Africa next month.
The service will enable Airtel Money
customers to send, receive and
withdraw money...
We aim to start, grow and finance entrepreneurs in emerging markets.
Our mission is to get 5 businesses started or grown per day.
Currently we help two per week.
We will support any...
Wapendwa wana JF,
1. Napenda kufahamu je ule utaratibu wa Mtumishi wa Serikali kuwa exempted kulipa kodi anapoingiza gari nchini bado upo au kwa sasa umefutwa?
2. Naomba kufahamishwa: Ikiwa...
Jaman ningependa kujua mambo kuhusu biashara hii, changamoto na faida. Na gharama zake, uendeshaji ikiwa ni pamoja na maeneo mazuri yanayo lipa na gharama zake.
Kenya wildlife services has granted a right of way to kenya railways to develop the std gauge railway through the parks (Daily nation kenya 15 October 2014)
Ya Serengeti wanaipigia kelele!
#Kiwanja kina ukubwa wa Mita 20 * 30.
#Kipo #Kipo tambalale.
#Umeme upo karibu.
#Kipo #kipo karibu na barabara
kubwa ya kwenda mivumoni
na salasala.
#Bei milioni 12.
#cont ; 0683499369...
Niko Arusha, Nauza PS2 ziko tatu, kila moja ina padi 2,tv ya nchi 18, Zote zimechipiwa na zina Flashi ya 8gb kila moja ikiwa na game 2. Bei ni 260,000 kwa kila set moja iliyokamilika. Hotline...
The Japanese government is going to fund construction of a mega dam on Thiba River to curb water shortages on Mwea Irrigation Scheme. Please read more on this here for details
Habarini wanaJF poleni na gharama ya maisha inayotufanya kuhangaika, na majukumu ya hapa na pale.
Pasipo kuwachosha, hili janga la ukosefu wa ajira limefanya watu wabuni mbinu mbalimbali za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.