Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habariinii Swalii kama linavyojieleza wadau ni mkoa gani naweza kwenda kununua mchelee wa bei za chini na ukawa fresh bila kuwa na chenga nyingii. Yanii unaweza tu kununua ukaupaka mafuta na...
2 Reactions
13 Replies
915 Views
Wakuu naomba msaada wa kampuni Bora inayosafirisha simu za viswaswadu na smart phones Kwa haraka kuja Tanzania Kwa haraka Kwa njia zote mbili ndege na meli angalau mwezi mmoja niwe nimepokea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama mada inavyojieleza, katika harakati zangu za kutafuta side hustle nlikutana na hiyo idea ya forex. Ila baada ya kufanya research matokeo yalikuwa negative especially kwa hapa JF...
19 Reactions
318 Replies
24K Views
Nahitaji mkulima au mfanyabiashara wa nafaka wa mbaazi au karanga mwenye stock kubwa,tufanye biashara check me
4 Reactions
19 Replies
613 Views
  • Closed
1. Sehemu ya kwanza katika Siri za mafanikio ipo katika chini ya ardhi Huko Kuna madini na vitu vingi vya thamani. 2.Siri ya pili ya mafanikio meenyezimungu akiweka mbinguni. Huko mbinguni Kuna...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Habarin wakuu,msaada kwa mwenye kufahamu haya mambo ; 1.Mfano umefungua akaunti UTT-liquid fund na ulishakamilisha usajili ofisini kwao,then baada ya mwaka ukataka ongezea mfuko mwengine mfano...
0 Reactions
3 Replies
655 Views
Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada nataka kuanza hii biashara naomba mniambie upatikanaji wa mashine ya kukamulia miwa, soko la miwa linapatikana wap hapa dar es salaam pia changamoto ya hii...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Hellow good people! Baada ya bitcoin kuvumbuliwa kama cryptocurrency ya kwanza kuanza kutumika duniani , kumekuwa na shauku ya watu wengi kutaka kuwekeza katika bitcoin lakini inawawia vigumu...
5 Reactions
74 Replies
12K Views
Habari Wadau! Sikuwahi kuwaza Kama ningekuja kuwa mfanyabiashara siku moja. Lakini hakuna ajuaye kesho. Ok nilihitimu Udsm 2019 tangu hapo sijawahi kupata kazi yeyote yakulipwa kutokana na elimu...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Habar wakuu huku ndani, Hapa kijijini kwetu Moshi kuna eneo zuri potential kwa ajili ya biashara hasa ya duka la reja reja, hardware au site ya tofali za block wamiliki wa hili eneo ni chama cha...
3 Reactions
4 Replies
740 Views
Habari waungwana ,natamani kujumuika katika biashara ya uuzaji wa vitambaa hivi vya wakina mama ambao umeshamiri na mita moja inauzwa sh 5000 Niko Dodoma, mwenye uzoefu na biashara hii na mahali...
0 Reactions
0 Replies
169 Views
Tupeane and mbinu za kuanzisha viwanda vidogodogo, kama vya pipi, biscuit, sabuni za kioande, ungrateful, maji, kiwanda cha tooth sticks, plastic materials-viti, mesa.etc, fish filet...
3 Reactions
5 Replies
494 Views
wakuu baada ya watu kuwa na maswali mengi juu ya bei,basi naomba tuwekane sana,ipo hivi debe moja ni 5000,na gunia ni 35,000,but ukizingatia sehem ninayoifata kdg kuna ka umbali so gunia lita cost...
0 Reactions
1 Replies
261 Views
Wadau kwa sasa Geita wanavuna MPUNGA na bei ya gunia moja ni Tsh. 80,000/= Sasa ipo hivi, mfano ukiweza kununua gunia 1 kwa bei ya Tsh. 80000 ukiutunza ndani mpaka mwezi wa 12 wakati wa sikukuu...
9 Reactions
16 Replies
6K Views
Tafadhalini wadau naombeni shule kamili katka hili. Napokeaje hela toka america!? Au ulaya!? Nahitaji shule tu nijue mbinu, njia za miamala hiyo. Nipo empty kwa hilo. Sio kwamba nna mchongo wa...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari Wana great thinker Katika harakati za kuwaza nitafanya biashara gani na nikae wapi nimekaa nimefikilia nikaona dar es salaam utakuwa mkoa Bora kwangu Kwa kuanza maisha. Umri miaka 25...
8 Reactions
25 Replies
970 Views
Naomba msaada kwa mwenye kujua watu wanao husika na utoaji wa haya mafriji ya vinywajk ya kampuni. COCACOLA PEPSI BEER Nayahitaji kwa hali na Mali naomba msaada ili niweze fungua biashara...
4 Reactions
46 Replies
1K Views
Na Chedaiwe Msuya, WF, Mtwara Wananchi kutoka katika maeneo mbalimbali ya Halamshauri ya Wilaya ya Mtwara, wameendelea kupata elimu ya matumizi sahihi ya fedha ambayo yameandaliwa na Wizara ya...
1 Reactions
1 Replies
211 Views
Habari wanabodi, napenda kutumia fursa hii kuwashukuru Sana, sana tena sana! nilianzia na kuomba jina la biashara kwa ajili ya kuanzisha biashara ya stationery ambayo kwa kiasi kikubwa idea...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
waungwana kuna soko la ubuyu pahala, natafuta sana soko lake, ubuyu upo tena wakutosha
4 Reactions
7 Replies
534 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…