Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mimi mwenzenu nataka kuchukua mkopo ili nifanye ujenzi sasa nilikuwa nauliza Bank ipi inatoa mikopo yenye riba nzuri.
1 Reactions
4 Replies
860 Views
Mhe. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasiali na Utalii, Nkoba Mabula (kulia) akiongozana pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania Ndugu: Ephraim Balozi Mafuru(kushoto) na Mkurugenzi...
0 Reactions
1 Replies
312 Views
Wadau habarini. Nipo Dar, nahitaji chimbo la uhakika kupata cardet kwa bei rahisi ya jumla chini ya 15,000 na chupi za kike, boksa, vesti na kadhalika. Kariakoo kubwa. Anayejua anijuze...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Nilikuwa nimechoka na maisha ya kufanya kazi saa nane kwa siku katika ofisi flani hivi pale Posta jijini Dar es Salaam. Ndoto yangu ilikuwa kubwa zaidi kuliko kiti changu cha ofisini na mshahara...
11 Reactions
627 Replies
71K Views
Ni kama inavyojieleza hapo juu, mimi ni mfanyabiasha wa mda mrefu natafuta partner wa kuanzisha kampuni ambayo tutaanzisha kutegemea na mtaji wetu tutakao kuwa nao, mwenye malengo ya kukua...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimeweka pesa UTT AMIS toka Alhamis wiki ilopita ila mpaka leo salio linasoma sifuri, msaada mwenye kufahamu inachukua muda gani salio kuonekana kwa akaunti tafadhali. NB: Simu zao...
2 Reactions
6 Replies
524 Views
Habari, Nawasalimu, na kujipambanua kwenu kuwa kupitia elimu na weledi wangu katika masuala ya kutoa huduma ya kuandika maandiko au mapendekezo ya miradi, nipo hapa tena kwa huduma jumuishi na ya...
2 Reactions
0 Replies
139 Views
==> Anzisha Mitandao kama Uber, Tala, Airbnb, Amazon, Zidisha, Makazi, Jumia, Brightermonday...Upate Kuwa na Competitive Edge na Utoboe Kiufanisi Zaidi ------------------------------------------...
37 Reactions
71 Replies
27K Views
Mwaka 2014 kuna bwana mdogo, alikataa shule akiwa form two, akidai kuwa hapandishi, ni kweli hakuwa akifanya vizuri darasani. Akawa ni mtu wa kwenda minadani tu. Mwaka 2018, aliomba msaada wa sh...
41 Reactions
49 Replies
5K Views
Wakuu Nijuzeni Nahitaji kufungua duka la vifaa vya maabara. Pia nahitaji washirika ambao naweza nikawa nachukua mizigo kwao au nashauriana nao. Kama una picha ya duka pia naweza kuona maana...
4 Reactions
13 Replies
555 Views
Habari wana JF wote Wafanya biashara wabongo baadhi magumashi sana hasa hawa madalali na wachuuzi wa bidhaa kutoka nje China, dubai nk wanazingua sana, Sijui ni elimu ndogo niliyokuwa nayo au...
1 Reactions
3 Replies
367 Views
Hawa matajiri wa mbao na parachichi kutoka mikoa ya nyanda za juu kusini hivi sasa wanatisha kwa kununua magorofa Kariakoo na kuwafukuzia mbali kabisa matajiri wa kutokea ukanda wa kaskazini mwa...
26 Reactions
56 Replies
4K Views
Habari zenu wapendwa, Tafadhali naomba kujua kiundani kuhusiana na biashara ya chakula cha kawaida(mama LISHE/ntilie) au tuiite biashara ya chakula cha bei nafuu, kuanzia sh. 1000 - 5000. Kwa...
6 Reactions
37 Replies
3K Views
Kuna vijana unawaweka dukani unaona kabisa uwepo wao ndio unachangamsha biashara kuanzia kutafuta wateja, ku negotiate, kutangaza biashara, kazoeleka na wateja, n.k. yaani wewe kila ukienda...
14 Reactions
20 Replies
875 Views
MSAADA WA KUFAMU JAMBO KUHUSU MKOPO WA SELIKALI Habali wanandugu; Mimi ni kijana wa makamo naomba kuuliza jambo. Huwa nimesikia kuwa katika hii nchi yetu huwa inatoa mkopo kwa vijana kwa...
0 Reactions
4 Replies
688 Views
Habari ya leo wana JF, Ninawakimbilia tena mnielekeze namna ya kuitunza na kuisafisha friza! Nashukuru Mungu baada ya kuwauza kuku wangu wa urithi nimenunua haka kafriza ili kanisaidie niwe nauza...
3 Reactions
11 Replies
707 Views
Habarini ndugu sangu, Nataka kufungua saluni ya kike naomba kufaa vifaa vinavyohitajika na makadirio ya gharama kwa kuanza.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wenye uzoefu na biashara ya maharage napenda kuuliza eti debe moja ya maharage inakadiliwa kuwa na kilo ngapi? Au gunia lenye kilo 100 la maharage linakuwa na debe ngapi? Msaada please
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tulio pitia hili janga tukutane hapa, kupeana uzoefu kidogo ilikuwaje kuwaje, umejifunza nn, na hatua gani umechukua kuepuka maumivu hayo yasijurudie. Binafsi: usd 110 imeungua wiki hii.
9 Reactions
217 Replies
78K Views
Habari wakuu! Nimekuwa nikitafuta soko la uhakika la ubuyu ambao bado ni malighafi kwa miaka 4 sasa bila ya kufanikisha.Maeneo nilipo malighafi hii ya ubuyu upatikana kwa wepesi na kwa bei ya...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Back
Top Bottom