Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari zenu wana JF. Nimevutiwa kuanzisha thread hii baada ya swala hili kuletwa kama maada katika gazeti la THE CITIZEN la tar. 28 june 2014. Baadhi ya wasomi katika taaluma ya fedha...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
JIBU LA KWA NINI WATU WENGINE NI MASIKINI NA WENGINE NI MATAJIRI Watu wengi wanajiuliza, "Siri ya utajiri ni nini?" Jee ni mbinu gani zinaweza kumsaidia mtu kupata utajiri? Siri kubwa ya utajiri...
8 Reactions
17 Replies
14K Views
Naombeni ushauri kwa waliotumia/wanaotumia hii account... nimesoma vipeperushi vyao ikanivutia pia wamesema haina makato ya mwezi.... kabla sijaanza kuitumia ninaomba uzoefu wenu... ahsanteni...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Wadau, nataka kuagiza gari nimeingia kwenye mtandao nimeipenda Corola Spacio, sasa nimepata gari 2 ambazo kwa muonekano wa nje ni kama zinafanana, bei na mileage pia hazitofautiani sana. Tofauti...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina mpango wa kununua matikiti maji kutoka shamba kwa bei ya shambani.Kama kuna mkulima aliyeko tayari anitafute.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Ndugu wadau wa JF.tunapenda kuwajulisha kuwa Ndanda Aluminium and glass imebadili jina kuendana na kazi tufanyazo na sasa ni NDANDA ENGINEERING tukishughulika na ALUMINIUM PROFILE...
0 Reactions
0 Replies
737 Views
United Nations Conference on Trade and Development (UNCTAD) Tanzania is now the top destination for Foreign Direct Investment (FDI) in the East Africa region, according to the United Nations...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Tanzania is ahead of Kenya when it comes to mobile money use, despite the fact that Kenyans have been using mobile money solutions for 7 years. Tanzania was ranked ahead of Kenya in terms of...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Richard Kayombo, TRA's Taxpayer Services and Education director fields questions from reporters at Dar es Salaam International Trade Fair grounds on Monday. (Photo: Prosper Makene) The Tanzania...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Speed up search for cash to finance standard gauge railway, urge states 1...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimetembelea leo viwanja vya Saba Saba. Naleo vilikuwa vinatembelewa na kufunguliwa rasmi na Makamu wa Rais Zanzibar. Tatizo nililoliona ni lile lile la miaka yote. Vumbi na uchafu. Vumbi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Vehicle recalls this year pushed further into record territory after Subaru said on Thursday it is recalling more than 660,000 cars and SUVs because the brake lines can rust and leak fluid. That...
0 Reactions
1 Replies
791 Views
Tafadhari kwa wale wataalam wa kuuza spea ni maduka au sehemu gani nawezaenda kununua kwa ajili ya kuuza either iwe Kariakoo au sehemu yoyote ambayo unafikiri wana bei nzuri, na kama una aidia ya...
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Habari wana Jamii Forums,. Kwa wale ndugu zetu mliopata wasaa wa kufika katika viwanja vya Sabasaba kwa ajili ya maonyesho tunaomba mtujuze japo kwa uchache kuna jambo gani Jipya limejiri pande...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nataka kuanzisha shule ya Chekechea ambayo itakuwa darasa 1 la watoto wasiozidi 40! nahitaji kama shilingi ngapi kuanza hii project? na usajili ni lazima? process yake ikoje?
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Mwenye utaalam na uzoefu wa kufanya biashara nchini Msumbiji anisaidie.Nina mtaji wa laki tano, je ni biashara gani nitakayoweza Msumbiji?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Tangu Haruna Masebu astaafu bei elekezi ya mafuta ya petroli zimekuwa zikipanda kila mwezi licha ya bei ya mafuta kwenye msoko ya dunia kushuka. Je, hii ina maana kwamba waliobaki wanafahamu tu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari Za Mchana Wana Jamvi, Kwa Kifupi Tu Mimi Ni Mkazi Wa Mbezi-Msuguri, Miez 3 Imepita Toka Nilipoamua Kufunga Ofisi Yangu Ya Biashara Ya Uwakala (M-pesa na Tigo pesa). Kilichonisababisha...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Ndugu wana JF nashangazwa na risiti za atm za mabenki mbalimbali kufutika mapema. Je hakuna harufu ya ujanja hapo?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza pia natafuta uzabun wa ku supply sembe safi kabisa kwenye mashule na mashirika mbali mbali na watu binafsi pia,unga ni mzuri na umesagwa kwa mashne za kisasa kabisa.npo songea karbu na...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Back
Top Bottom