Wakuu habari.
Katika harakati za kutaka kujiajiri nimejikuta nikaanzisha shule ya chekechea na msingi (english medium) mikoani kwa kununua ekari 8 na kujenga madarasa 3 na choo. Napata shinikizo...
Husikeni ni kichwa cha somo. Ninahitaji kujua gharama ya kupiga rangi ya ndani ya nyumba ya vyumba vinne. Gharama ijumishe pia maandalizi kuandaa kuta na dari. Thanks in advance.
Yafahamu mambo ya msingi yanayoweza kukutajirisha haraka.
1. Mche Mungu na kumtegemea YEYE.(omba Mungu kupitia jina la Yesu).
2.Tafuta elimu na ufahamu kwa bidii na maarifa.
3.Panga malengo na...
Habari wadau,
naomba kufahamishwa kama kuna anayefahamu kampuni ya kukodisha magari jijini mbeya au hata kama kuna mtu ana gari yake naomba tuwasiliane, aina ya gari iwe rand cruiser vx/gx au hata...
Habar wana jf,kama unatatzo lolote lnalohusiana na yafuatayo
1. Researches
- Marketing researches
- Business researches
- Academic reseaches
- Other researches
2.Company registration...
Tanzania's government expects the size of the economy to increase by 20 percent after rebasing the country's gross domestic product data to factor in expanding industries such as mining and...
Jamani nina shida kubwa sana, ndugu wameniandama hali hiyo inanifanya nijiskie vibaya sana. Ni wapi naweza pata mkopo wa shilingi laki mbili au tatu nirejeshe kwa mwezi au kama kuna mtu wa kuweza...
Wakuu wasalaam!
Napenda kusaidiwa jinsi ya kuanzisha biashara ya m- pesa na tgo pesa kama wakala . zipi chamgamoto zake?? Vpi unatakiwa uwe na mtaji kiasi gani?? Na faida zake zmekaaje??
Imerahisisha mambo Sana, tujaribu kujiunga kwa wenzangu ambao nanyi mpo kwenye taasisi hiyo(wateja wenzangu).
dial *150*03# ufanye mhamala wowote popote ulipo.
Tujumuike pamoja kulijenga taifa.
Saruji, mabati, nondo, mafuta kufutiwa kodi
Wakati Spika wa Bunge, Anne Makinda akitangaza Miswada ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT ) na Utawala wa Kodi kusomwa katika kikao cha Bunge lijalo...
NAMNA YA KUANZA KUJIPATIA FEDHA KWA BIDHAA YAKO (MPANGO WA SIKU TATU).
Kutengeneza bidhaa
Mpangilio huu utakuongoza kutengeneza bidhaa ambayo mauzo yake yatakuwezesha kuingiza mapato.
Karibu uanze...
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.PICHA|MAKTABA
KWA UFUPI
Katika muswada huo Serikali imefuta misamaha ya kodi ya mapato inayotokana na michezo kubahatisha na ukodishaji wa ndege nje ya...
Strength of routes sees Kilimanjaro take top spot
News Tuesday, 24 June 2014 14:26 Written by Jonny Williamson
Kilimanjaro International Airport has been crowned overall winner of the...
Mambo vipi.!
Naombeni ushauri mimi ni mwajiriwa,,niko singida.. Nina hicho kiasi cha mil.2 ila natamani sana kufanya biashara angalau kujikwamua na haya maisha ya kutegemea mshahara.,.tatizo...
Wana JF,
Ninahitaji information ya Legal Breakdown ya Mshahara wa Wafanyakazi wa serikali na makampuni Binafsi kama sheria ya nchi inavyotaka. Information yeyote (kama asilimia za kodi mbalimbali...
(Zanzibar, Tanzania) The people's Bank of Zanzibar Limited (PBZ Ltd) which is one among the oldest commercial banks in Tanzania and the only indigenous bank in Zanzibar wholly owned by the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.