Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wanajamvi wasalaam. Nimeona mabango ya hizi huduma yaani CRDB FAHARI HUDUMA na TANZANIA POSTAL BANK (TPB) POPOTE. Ningependa kujua ukitaka kuwa mtoa huduma (wakala) unafata process zipi na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa anayejua kodi anazotozwa anayeagiza gari kutoka nje kwa asilimia anisaidie.Mf. Gar ya dola 850 anatozwa ngapi bandarini.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nina uza gari hiyo cc 1490 rangi silver kilometa iliyo tembea 49 elfu imesajiliwa mwz huu ikitikea japan ni automatic bei mil 10.5 ipo arusha pc mita weka badae
0 Reactions
2 Replies
1K Views
JIJI la Arusha na mitaa yake kuna ukosefu wa matofali mepesi ya block ya kujengea kutokana na mgodi wa kutoa material ya kutengeneza matofali hayo kufungwa na haijulikani lini utafunguliwa...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Habar wana Jf, mm ni kjana niliehitimu diploma ya masoko na mauzo kutokana na upatikanaji mgumu wa ajira ninaomba kwa mtu yeyote ambaye ana wazo zuri la biashara naomba anisaidie kuniambia then...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
mimi ni mkazi wa arusha ninahitaji mtu anayeuza biashara yake kwa sababu ya msingi biashara hiyo iwe katikati ya mji na isizidi mil2 naomba mwenye information ani PM anipe maelekezo.asanteni
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu. Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha uhasibu Arusha IAA nasomea Bachelor Degree of Economics and Finance mwaka wa kwanza kwenda wa pili. Kwa sasa hivi tupo likizo ya takriban miezi...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Kwa vikundi vya akina mama;vijana;na vituo vya kulelea watoto yatima;kampuni yetu itatoa ofa maalumu kwa ununuzi wa mashine za kutotoleshea mayai ya kuku(incubator);na mashine za kufua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Fikiria kufanya biashara ambayo utauza kitu ambacho kitakuwa na bei ndogo halafu uwafikie watu wengi kadri uwezavyo. Natoa mfano mdogo wa jinsi wa kuwa Milionea ndani ya mwezi mmoja. Mfano: Kuwa...
4 Reactions
22 Replies
13K Views
Wadau habr zenu na habar ya majukum ya kila siku,ebhn ninalaptop yangu mpya ninauza kwa bei poa tu,kwa wale wanaozijua laptop,specification za hy laptop n hard disk 1TB(1000GB),RAM 4GB na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani eeeh! Nawasalimu. Niko mbali sana na tawi lolote la CRDB ili nikaulize, so naomba msaada kwa anayejua hili. Nimeajiriwa ajira ya ualimu mwaka huu, nahitaji kuchukua mkopo CRDB. Je...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
“…………….The state’s GDP figures released in September 2012 provide some interesting insights into the Lagos economy. The state has a GDP figure put in excess of N12 trillion or $81 billion as of...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wana Jf, mimi ni Dereva wa magari madogo! nihitaji gari kwa ajili ya shughuli ndogondogo! kwa wenye nayo! mawasiliano yangu ni 0714306015 au 0759601820 natanguliza shukrani!!
0 Reactions
0 Replies
885 Views
naishi moshi mjini na nimeajiliwa kwa mhindi mmoja, kwa sasa nina miaka 3 nkimsaidia kutunza stoo yake vifaa vya ujenzi. sasa nmejichanga kwa mda wote huu na sasa nimepata tsh milioni 5. mimi...
1 Reactions
1 Replies
951 Views
Samahani wana jf, Naomba mwenye kujua taratibu za mtumishi wa umma kuomba msamaha wa kodi kama ameagiza gari nje ncihi naomba kuwasilisha.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Iam an entrepreneur at a medium scale and I would like to question my fellow JF followers on how a dedicated trader or any medium scale producer may earn more profits in monthly time. I work and...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini Wana Jukwaa! Kama swali lilivyo katika "title", naomba wenye uelewa wa taratibu (legal formalities) za kufuata ili mtu aweze kupeleke mzigo wa biashara (yeyote) nje ya nchi (nchi yeyote)...
0 Reactions
0 Replies
973 Views
Habari wandugu!!!natafuta old model rav 4 katika show room za Dar!!Show room ipi naweza pata old model rav 4,ambayo haijachakachuliwa kwa 15M?Ntashukuru kwa msaada wenu!!
0 Reactions
18 Replies
2K Views
kila mara huwa naalikwa kwenye hiyo mikutano ya wajasiria mali nasijawahi kwenda hata mmoja huwa nadharaugi tuu jamani waliowahi kwenda naombeni mnijuze huwa kuna jipya au ni blabla tuu za watu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom