Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau ningependa kujua gharama za kutuma pesa kutoka benki moja kwenda nyingine hapa nchini mfano NBC kwenda CRDB
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu,Tafadhali naomba msaada wenu wa mawazo jinsi ya kuwa wakala wa Bima. Ukianzia na taratibu zake mpaka kufikia kuwa Agent na pia gharama zake katika kulifanikisha hilo. Pia...
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Wanajukwaa naomba anayejua nchi inayouza mitumba mizuri ya nguo;nataka nifanye biashara hiyo kuanzia mwezi mei 2014
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Hili shirika la ugavi la tanesco hasa mkoa wa shinyanga kila mala mnakatakata umeme kunatatizo gani au mnataka kutuunguzi vitu vyetu
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Hii Siagi ya karanga imetengenezwa May 13, 2014 na ina-expire May 13, 2015 na imeingia tayari sokoni, najiuliza tu, TBS mko wapi na mnafanya kazi gani? Hii ndio Tanzania zaidi ya uijuavyo.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
As usually to me everywhere is my learning classroom. Today in my work cycles I went through a Market of Lushoto district. I saw a large number of people were buying and selling. Due to host of...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu ni njia ipi nzuri zaidi ya kutengeneza business capital from scratch? Yaani, kwa mfano una wazo zuri la biashara lakini huna mtaji na lengo lako ni kupata mtaji mdogo na kuukuza haraka ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Zaidi ya watu watano wakiwemo mabosi wa TelexFree wanashikiliwa na FBI/SEC kwa makosa ya jinai ya wizi kwa njia ya mtandao! Mamilioni ya 'wawekezaji' wanaidai TelexFree zaidi ya US$1b akiwemo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau,Nimemaliza chuo kikuu mwaka jana na napenda sana kujiajiri,naomba mwenye uelewa kidogo kuhusu Biashara ya Asali anijulishe.Nikiwa na maana ya soko(place & price),mtaji kiasi gani utafaa na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wana jf. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu. Kutokana na kuwa na wateja weng kwenye mikoa ya mbeya,iringa na Rukwa. Tumedhamiria kufungua tawi mikoa ya mbeya,iringa na Rukwa. Hivyo tunahitaji...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Local investor’s $ 35m luxury lodge project hangs in the balanceBy Arusha Times CorrespondentAn Arusha-based local investor has complained to the government and its agencies over his stalled...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Naomba kujua kujua kodi ya kuleta gari aina ya suzuki escudo ya 2006 bei yake ni usd 8300 mpaka mombasa. Matumizi yake ya mafuta, uimara wake pamoja na spare. Ila siyo ya biashara.
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Afraid of losing all your money when you’re importing from China? You should be, and you’re not alone. Paying frauds are one of the most common forms of scam, and they are targeting small to...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za sikukuu ya Pasaka? Napenda kuutanganizia umma kuwa kutakuwa tukio la kupanda mlima Kilimanjaro 5895 MT, tarehe 9 mwezi wa SITA mwaka 2014 kupitia njia ya Marangu kwa siku 6...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana Jf Habari Zenu. Mara nyingi nimekuwa nikiagiza bidhaa mbali mbali kutoka nje ya tanzania ila kero kubwa imekuwa ni makato makubwa yanayotozwa pale bandarini bila kuzingatia viwango halisi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ramani za ujenzi wa nyumba husumbua vichwa sana vichwa wengi wanapohaha kutafuta na kubuni ramani iweje. Na pengine tunaangukia kuchagua ramani ambayo umalizaji wa paa lake hutugharibu sana pesa...
11 Reactions
41 Replies
26K Views
Coming soon in Tanzania. We are about to finalize mechanisms which will detect our coins especially of two hundred.
0 Reactions
0 Replies
784 Views
naamin huku nitapata majibu kwa kuhitaji kufanya biashara na msumbiji. tafadhari yeyote mwenye taarifa na ujuzi wa biashara kati yetu watanzania na nchi ya msumbiji naombeni nizifahamu wadau...
0 Reactions
37 Replies
13K Views
wanajf naomba mnijuze,eti mume na mke wakiwa wafanyakazi za kuajiriwa ndiyo wanakuwa na maendeleo zaidi kuliko mmojawapo akiwa mfanyakazi mwingine msaidizi wa nyumbani?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini ndugu zangu! Mimi ni mwajiliwa kampuni x,kipato changu kwa mwezi ni 1.5m,nina mke na mtoto! Katika maisha kuna plan tofauti A-Nyumba,gari,vitegauchumi; B-Vitega uchumi,nyumba,gari(au...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom