Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habarini wakuu, kutokana na tatizo la upatikanaji wa mitaji na Ajira kuwa ngumu kwa vijana,kuna wazo nataka toa, kama lilishawahi tolewa humu mnaweza nipa comments au kama halifai pia nahitaji...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Camarades...., Kwa manufaa yangu na ya wengine yoyote aliyeshawahi kufanya hii biashara naomba dondoo za yafuatayo:- Bei ya kawaida ya kununua vinywaji Beer na ya kuuzia (ya chini kwenye...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
ndani iko na duka la dawa pia.kuna bidha za kila aina kama unavyoona shoprite.hiyo supermarket iko changombe mchicha...bei yake ni $113, 000...maongezi yapo...kwa aliyekua serious na biashara au...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habar wanajamvi naomba kufahamishwa juu ya biashara ipi inafaida kuzidi ingine kati ya bodaboda na salon ya kiume kwa maeneo ya mkoa shinyanga nina tsh:2000000 but kama kuna kitega uchumi kingine...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari za humu ndani, naomba mtu mwenye kujua muuzaji or mhusika wa mafuta ya mawese na ya mise anijuze. Nahitaji average ya kilo 200-500 kwa wiki.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Utakapojua kwamba haujui, ndipo utakapojua, na hauwezi kujua kwamba haujui kwa 7bu hujui. Hivi pesa humaliza MATATIZO au matatizo humaliza PESA, naomba tusaidiane.
0 Reactions
0 Replies
955 Views
Super gro ni bidhaa ya mimea. kazi zake: inatunza unyevunyevu inaimarisha mmea inaongeza mavuno yani uzito,wingi na ukubwa haibagui mmea inafanya kazi kwa mmea wowote inapunguza gharama za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kumbe telexfree imewaliza watu.. Heh...walikua matapeli Mwenye kulijua hili kwa KINA anijuze hapa.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
salam za dhati kwenu wakuu! mimi kama kijana nina nia ya kweli, kwa mtaji mdogo nilio nao , nimefikiria kufanya moja kati ya ....kuuza na kusambaza kuku wa kienyeji /magunia ya mkaa ktk hotel...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
mniwie radhi jamani..kunauzi ulishakuwepo hapa unaohusu pampu zamaji zinazotumia sola power,na ulikuwa unaattach nyingi..siku niliouwona nliku safari ko net ikawa inazingu,najaribu kuuperuzi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
nipo kwenye mchakato kuanzisha insurance agents nipo kwenye hatua za kutafuta eneo la kuweka ofisi dsm ni maeneo gan nje ya city center yafaa kwa ofisi wadau wenye udhoefu hii biashara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Print | Close this window Bangladesh buys 1,500 T chickpeas at $587.8/TWed Apr 9, 2014 12:40pm GMT DHAKA, April 9 (Reuters) - Singapore's Export Trading Commodities has secured a tender to supply...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
wana jf salam. mimi ni kijana ambaye nategemea kuingia mtaani siku chache zijazo(nipo kdt cha 6) kati ya sekta ambazo nafikiria kuwekeza ni katika kilimo kwani baba alipoondoka ardhi ndo...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Nigeria is now Africa’s largest economy and the 26th world over. True or false? Saturday Vanguard in this special report tried to get answers from Nigerians By Levinus Nwabughiogu Jonathan and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Fri Apr 11, 2014 6:13pm GMT DAR ES SALAM, April 11 (Reuters) - Tanzania aims to hike cargo volumes through its main Dar es Salam port in 2015 by almost 40 percent over 2013 levels, part of plans...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
5th April 14 Bagamoyo residents happy with Sugar project Polycarp Machira Bagamoyo residents have welcomed the recently launched multibillion sugar project, saying it will transform their lives...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajamvi,nimewahi kulisikia mara nyingi hili neno,ila sikulipa umakini wowote,ila leo ningependa kujua kila kitu khs maana ya real estate na kila kitu kinachohusu real estate. Kwa idea...
1 Reactions
3 Replies
8K Views
Jamani poleni na majukum,kiukweli mshahara haunitoshi kabisaaaaaaa,natamani nifanye biashara lakini sijui ni ipi,nina kamtaji ka sh m5,nahitaji ushauri wenu,Mungu awabariki sana
0 Reactions
209 Replies
23K Views
Wadau, Nafikiria kuingia kwenye biashara ya kujenga na kuzikodisha apartments jijini Dar es salaam. Nina kiwanja cha 500 sqm maeneo ya katikati ya Morocco na Victoria (upande wa Petrol Station...
0 Reactions
45 Replies
16K Views
Kwa anayeweza kufanya hiyo biashara atiririke hapa. Ngoja nikaangalie champions league kwanza halafu nitarudi
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom