Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama unahitaji mikopo PM please
0 Reactions
15 Replies
2K Views
TRA kama taasisi ya serikali ya kukusanya mapato inapaswa kujua kuwa kupandisha kodi hovyo ni kuchelewesha maendeleo ya Taifa. Pamoja na hayo, wafanyabiashara ndio watu walio Kwenye hatari kubwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Just imported from japan ,haijatumika tz For more information call 0757 455070
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu kwa yeyote mwenye taarifa ya Petrol stations zinazokodishwa ndani ya jiji la dar es salaam naomba anijuze.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nairobi has been ranked amongst the top five enviable and exciting cities in the continent to live in. The Kenyan capital is ranked as the third liveable city to live in amongst the listed 11...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Naomba mnishauri, mimi ni muajiriwa wa selikali, natamani sana kufanya biashara, mtaji kwangu sio tatizo basi, lakini nakosa biashara ya kufanya, mda mwingi nashinda kazini, nilishajaribu...
0 Reactions
1 Replies
851 Views
Natumai mu wazima tena siku hii ya leo mkiendelea na mapambano dhidi ya umaskini niwape pole sana na niwatie moyo tu mapambano ni magumu ila tutashinda pamoja. Bila kupoteza muda nianze moja...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina wazo la Biashara, ambalo natamani nilifanye lakini sijajua mtaji wake ni Tshs ngapi ili niweze kuifanya biashara hii kwa ufanisi na kuwapa wateja wangu ile kitu roho inapenda, wazo lenyewe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu amani kwenu! kama kuna mtu aliwahi kusajiri kampuni ya usafi hapa dar au aliwahi kusajiri kampuni yoyote ana tin namba ya TRA na leseni ya biashara lakini kampuni yake ipo kwenye document tu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani wana jamvi naombeni mnisaidie,mimi ni mgeni kidogo wa suala la uagizaji magari toka nje...ni nini maana ya FOB?
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Hii nimeitoa CNN so nadhani ipo genuine. Remgro, founded in 1941 by Anton Rupert, South Africa In 1941, Anton Rupert, an Afrikaner South African businessman, started manufacturing cigarettes...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Serikali: angalieni upya huu uwekezaji. TANCOAL kampuni inayochimba na kusafirisha makaa ya mawe inasababisha wananchi kutotumia barabara, kutokana na Wawekezaji hawa kupitisha magari makubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari za shughuli. Ninaomba msaada wenu katika hili, Nina mpango wa kujenga frems kadhaa maeneo ya mkuranga,ningependa kujua makisio ya kujenga frem kwa ajili ya biashara. Heshima kwenu
0 Reactions
16 Replies
3K Views
TO ANYONE WHO HAVE GOOD NOTES FOR BUSINESS MATHEMATICS DIPLOMA ONE, I will appreciate if you will send them to me
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wana jf jamani mimi nimemaliza chuo nimehangaika sana kutafuta kazi bila mafanikio, nimebahatika kupata tili za mpesa na,tigo pesa sasa nauliza jamani kama kuna mahali naweza kupata mkopo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
JE UNA MTOTO MDOGO WA CHEKECHEA AMA DARASA LA KWANZA AMBAYE UNGEPENDA AJUE KIINGEREZA NDANI YA SIKU 30 ? "SHINE VISION ACADEMY NDO JIBU LA MAMBO YOTE" Ni shule ya Mchepuo wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu natafuta biashara mpya nifanyie dar es salaam , biashara hakufanyikiwa bado nani anawazo nzuri anisaidie Tuseme mfono nilete kitu gani kutoka Dubai au china au india alafu niwe agent...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Wakuu, nimekuwa nikishawishiwa na baadhi ya rafiki zangu kujiunga na biashara ama shughuri zinazohusiana na kampuni ya telexfree. Nimekuwa nikipewa maelezo yanayo onyesha dhahiri mafanikio makubwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Msp cleaning company mspc ni kampuni inayojihusisha na masuala ya usafi wa maeneo mbali mbali pamoja na kuuza dawa hivyo basi, wanahitajika watu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mashine ya kukamulia juisi ya Miwa mwenye nayo tuwasiliane. Mimi nipo Ruaha Kilombero.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…