Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Napenda kufahamu ni wapi hapa dar nitapata miche ya mipapai ya kisasa,ile inayochukua miezi 6 pia napenda kujua changamoto kwenye hiki kilimo cha mapapai
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KIMI DEVELOPMENT CONSULT LTD, ni kampuni iliyo sajiliwa kishera chini ya BRELA. Kampuni inajihusisha na: 1) Ushauri wa kuanzisha, kukuza na kupanua miradi ya aina mbalimbali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kampuni ya Statoil yaendelea kugundua gesi bahari kuu: Meneja wa Statoil Tanzania, Oystein Michelsen Kampuni ya Statoil na mshirika wake, Exxon Mobil, imetangaza matokeo mazuri ya majaribio...
3 Reactions
42 Replies
8K Views
Hi wanajf naomba ushauri wa kifikra katika kujiendeleza kiuchumi kwan nina 1,500,000 na nina mpango wa either kununua boda boda niifanyie kazi mwenyewe au ninunue lain ya mpesa na tigo pesa nitoe...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kila kukicha Tanzania kunaanzishwa benki mpya na mengi ya haya mabenki yanajinadi kuwa wanatoa mikopo. Naamini ni muhimu kufanya hesabu kuona kama kweli masharti yao haswa riba na dhamani ni nzuri...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu, najua hili sio jukwaa la biashara, lakini kwa mada hii naweza kuwa nimewasaidia na kuwakomboa wana JF hasa members wenzangu wa MMU, Wanajamvini, nina account na NBC kwa muda mrefu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau naomba mnisaidie kuna research nafanya kuhusu bank business , naomba mnisaidie ni bank gani yenye matawi mengi Dar es salaam
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Je nikwanini wafanya biashara hawapendi kulipa kodi kwa shuruti?...Kama kwenye harusi au harammbee? 1-Ni kwasababu hajui inatumikaje, au haoni faida yake ya Moja kwa Moja, au ufisadi unaosikika...
0 Reactions
1 Replies
917 Views
naombeni ushauri ndugu zangu nimepewa 5mil kwa ajili ya biashara nifanye biashara gani,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunaitaji tawi jingine la bank ya crdb bank..maana hii iliopo imeshazidiwa na wateja wengi sana..unaweza kuingia bank ya CRDB ukatumia taklibani masaa matatu na zaidi na wakati ni kazi ya dakika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Wadau, Mimi nina mtaji wa 40m ninataka kufanya biashara ya kutengeze mafuta ya kula kutokana na mawese. Nimejaribu kufanya utafiti wa malighafi Kigoma na Urambo tabora ipo ya kutosha.Eneo...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
(NAOMBA MWENYE ROHO YA KUGUSWA ASICHOKE KUSOMA MAELEZO HAYA..MAAANA NI LAZIMA NIJIELEZE JAPO KIDOGO NDIO NIELEWEKE) Samahani waungwana, Naamini badhayenu mtanielewa na atakayeguswa naomba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapendwa kwa mtaji wa 1m, naweza fanya biashara gani? Nathamini mawazo yenu.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Assalam aleykum, bwana Yesu asifiwe. Wanajamvi ninaomba msaada kwa anayejua kodi itakayokatwa na watu wa TRA kama ninaingiza gari ya dola 6000 nje ya gharama za usafiri ya mwaka 2005. Nikiweka...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Sometimes we find ourselves running in place, struggling to get ahead simply because we forget to address some of the basic success principles that govern our potential to make progress. So...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
East Africa's newest millionaires are likely to come from Tanzania, as opposed to Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda or Burundi. Tanzania is creating dollar millionaires faster than any other East...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mohammed Dewji After studying business atGeorgetown University, Mohammed ‘MO' Dewji returned to Tanzania, took over his father's commodities trading business and transformed it what he...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
According to Forbes There are 1,426 billionaires in the world this year. They are the wealthiest of the wealthy. But only 29 members of this elite list are under 40 years old, with that exciting...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu. Naomba msaada wenu kwa anayefahamu wakala wa kusafirisha vifurushi kutoka Marekani kuja Tanzania anijuze. Pia kama kuna njia yoyote iliyo salama kusafirisha mizigo naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana, Nahitaji mshirika katika biashara, the details will be available just for anybody who will show interest,Mainly he/she should be in Dar es Salaam, the business itself is very simple...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom