Mim ni streetvendor tu wa huku mtaani kwet nimemalza chuo mwaka jana kuna bisness nafkria kuifanya kutoka bongo to south africa
biashara yenyew ni kuchukua hv visandales vya kimasai,necless...
I think everyone knows it's important to save, but how many of us have actual strategies that they use to make sure they save?
For instance, I know of a group of friends who meet up and organize...
Your are here » Home » Business News Kenya launches Islamic banking training
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/business/article/2000105605/kenya-launches-islamic-banking-training...
Wanajamvi mimi nilianza kufuga kuku wa kienyeji kwa ajili ya nyumbani tu sio kwa ajili ya biashara.
Lakini sasa ivi nimepata mwamko wa kubadilisha, yani nataka kufuga kwa ajili ya biashara...
Wakuu mimi naamini hapa huwezi kosa unachokitafuta. Mimi ninashida ya kupata namba hizi 15754, 15231 n.k yaani kama zile za Clouds wanazotumia kutuma sms.
Shida yangu nataka nitumie kwenye...
Poleni na majukum wapendwa. Mwenye uelewa na biashara ya M-pesa,tigo pesa na eatel money anifahamishe. jinsi ya kupata line,gharama za uendeshaji na faida.
NAWASILISHA.
Habari zenu wakuu, well nlikua naomba kuuliza ni wapi jijini dar es salaam ntapata watu wanaouza sabuni za jumla za aina mbali mbali both local or imports kwa matumizi ya usafi. Nlikua nataka...
Maoni Binafsi:
Itakuwa vema kama nasi Mifuko yetu ya Penseni itaunganisha nguvu kujiweka tayari kuwekeza michango ya Watanzania kwenye miradi mikubwa ya miundombinu kwa ubia (PPP). UTT-PID...
Wakuu hongereni kwa mihangaiko ya kila siku. nina gari yangu toyota allex nataka niuze lakini sielewi wapi naweza iuza kwa haraka.
Mwaka: 2004
CC: 1500
Imesajiliwa dar dec 2013
Km: 79000 tu
Gari...
Kiwanja kinauzwa kipo Nyegezi,Wilaya ya Nyamaghana Mwanza.kina ukubwa wa square mita 5150.kimepimwa.bei 28milioni.Kwa mawasiliano namba ya simu ni 0757728861 au Email Deogratiusdk3@gmail.com
Wadau hii ishu ya wakenya kuja bongo kuchukua/kununua mazao ya kilimo kama vitunguu, maharage, mahindi na kupeleka Kenya kufanyia package na kuuza Ulaya inaniumiza sana. Ni kama vile wabongo...
Ndugu zangu poleni na kazi,nawahi kula lakini ngoja nilseme hili kwenu,hivi ni kwanini kila ikiwa wkend na kila ikifika saa 1 kasoro dakika 5 matangazo yao yanakatwakatwa mpaka taharifa za habari...
Habari,
Nina taka kuanza biashara ya kununua chupa za plastiki na kusisaga na kuziuza kwenye makampuni yanayohitaji hizo maligafi.
Naomba Mnisaidia naweza kupata wapi Mashine za kusaga hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.