Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wadau wa maendeleo. Kuna biashara nataka kuanzisha nipo kwenye mchakato. Lakini nimekwama kiasi cha fedha. Lengo la kuandika thread hii ni Nahitaji mkopo wa 1.5 mill tu. Ntarudisha baada...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima zenu wakuu, Naomba kuuliza, gharama za kulipia jengo kila mwaka sh. ngapi.? si nyumba ya biashara, kwa nyumba tu ya kawaida ya kuishi. Na endapo nikachelewesha kulipa, gharama ya faini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunatengeneza pochi nzuri kwa bei nafuu,ikiwa una kitchen party ungependa kumechi na pochi,basi unatupa kipande cha kitambaa kidogo ambacho umeshona gauni/sketi yako then tunakutengenezea...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Sending and receiving money to and from Tanzania has been made easy for Tigo Cash customers as the local telecom firm has launched its cross-border mobile money transfer together with its...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu salaam Hivi mtaji wa sh laki 3 itaweza kutosha kufungua kaduka (zamani kiosk), na ni bidhaa gani ya kuweka ambayo unachoweza kuuza kila siku na yenye faida angalau kidogo
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wana jamii naomba msaada wa ushauri kuhusu king'amuzi gani kizuri naweza kununua.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wana jamii forums na wadau wa elimu, kwa heshima na taadhima ninawakaribisha katika chuo chetu cha The Arusha East African Training Institute (TAEATI).Tafadhali soma maelezo zaidi hapa chini...
1 Reactions
9 Replies
9K Views
msaada tafathali kuhusu jakaya foundation
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada kwa wadau wanaofanya biashara hii. Hivi kila muala unapofanyika wakala anapata asilimia ngapi? Nafikiria kufanya biashara hii.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam; Naomba msaada kwa anayejua mahali yanakopatikana yale maboksi ya kufungashia keki kwa hapa Dar es salaam, kama nitapata mawasiliano yao au kuelekezwa walipo nitashukuru sana. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Je unayo wood-floor za zamani, na zimechoka ? Tuna fanya polishing / sanding na mashine. With professional technicians. Angalia hiyo brochure. Call 0784 76 87 86
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Honda 90cc
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Naomba bei ya Honda hii kwa Dar au Mwanza ni used
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Home Rwanda Business Business Tanzania, Burundi fail the test as Kenya tops Share Bookmark Print Rating...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhari wanajamvi, kwa anayefahamu soko na bei za bidhaa tajwa, kwa mikoa hiyo atujuze!
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari marafiki, naona kama fursa zipo nyingi ila hatuzitumii, nafikiria sehemu zenye uhaba wa maji mtu akiwa na tank la kama lita 5000 hivi akanunua maji kwa supplier akauzia watu wa eneo hilo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau heshima mbele,nimejaribu kufuga Bata Mzinga!ninao kama kumi hivi naomba connection za kuuza hasa kwenye mahoteli Dar na Arusha!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
GARI inauzwaaaa....! Toyota Starlety...Engine c.c 1331, year of manufacture 1997. seating capacity 4 passangers....price TSH 4,200,000/- pekee
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cc 1295 yr 1998 milage 124100km tairi imara &sports rim 12-14/litre inavuta nyuma &4wd_ ipo dar, kinondoni, leo, jsi na jpili. Ulipo nakuletea, bei tajwa inapungua kidogo sana. Sababu...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habarini wakuu, ninatoa huduma ya ushauri wa kitaalamu kwa watu wanaotaka kufanya biashara ya Micro-finance au waliokwenye biashara tayari,nina uzoefu na Elimu ya kutosha. Huduma nazotoa ni kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom