wadau naomba msaada kwa anaejua mwaka huu natarajia kwenda kusoma degree yangu ya pili( masters ) huko china nimeshaanza michakato ya kwenda huko je kwa mwenye ufaham.na china.opportunity gany...
Nashukuru wana jf kwa kunielewa maana tayari nimeshafanya biashara na baadhi yenu, kikubwa kilichonifanya nirudi hapa ni kwamba nilikuwa sijaeleza vitu vingine ninavyoweza kufanya, ni kwamba kama...
Wapendwa Salaam,
Nahitaji kufanya manunuzi kwenye ebay, nimeshindwa kujisajiri kwenye PayPal, ninaomba maelezo kwenye haya yafuatayo:
Billing Address - nikiweka address yangu inatoa error...
Wakuu mim nipo mwanza town na kama mjuavyo jiji la Mwanza ni kati ya majiji yanayokuwa kwa kasi sana nchini hivyo demand ya ardhi ni kubwa mno hali inayopelekea viwanja kupanda bei kila siku...
Hivi ni kweli kabisa kwamba ni lazima viwanja au nyumba viuzwe hapa nchini Tanzania kwa US$ na siyo Shs?
Maeneo ya mbezi beach, masaki na yafananayo. Na je malipo ya pesa ya kigeni yana uhusiano...
Ndugu wanajamvi kwa wanaofahamu naomba wanijuze,
Ninafikiria kusafiri kwenda uchina kwa lengo la biashara ya nguo. Kabla ya kufanya hivyo ningependa niyajue mambo kadha wa kadha likiwemo hili la...
Ndugu wanajamvi salaam.
Ninataka kulaunch product yangu moja ambayo kwa kizungu slogan yake ya campaign ni "double protection against germs" sasa kwa tafsiri ya haraka haraka ni "kinga mara mbili...
Mita za Kurasini Oil Jetty
"......
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema), aliliambia Bunge mwishoni mwa wiki kuwa pamoja na TRA kufikia malengo kwenye...
Habari zenu
Wafanye biashara ya nyama " n'gombe , mbuzi"
Mie ninabucha iko Kitumbini Dsm
bucha hii inafanya kazi tangu 1978
namtafuta mtu wa sokoni anaye uzia nyama kwa wafanye biashara buchani...
This is good news to you all, that now you are safe!
Chartered Technology is a company in Tanzania that provides Smart state-of-the-art and innovative range of security technology solutions to...
Nyie wafanyabiashara katika mgomo wa leo napenda kuwataarifu kwamba hamko pamoja, Nikijikita zaidi katika mji wa Kahama Shinyanga ni kweli maduka hapa centre hayajafunguliwa, lakini...
Habalini wadau, naomba kujua projector yenye specificstions hizi inauzwa kwa pesa ngapi bongo?
Natanguliza shukrani.
Brand: K-Mic / Jin Maike
Model: KM990
Type: Business Projector home...
Habari zenu wachumi
Naomba kujulishwa juu ya fremu za biashara zilizokomaeneo mazuri kwa kiasi au standard kwa lugha nyingine kwa ajili ya kuweka ofisi ya stationary na graphics.
Je kwa kodi ya...
Habari Wadau. Ninapenda sana hapo baadae nifungue kampuni ya printing itakayotoa huduma zifuatazo: Kuprint banners,calenders,magazines,billboards,tshirts,n.k pamoja na kufanya graphic designing...
Habari kwa woote wadau wa jf! Naomba kusaidiwa bei ya line za tigo pesa, m-pesa na airtel money kama ukienda kununulia makao makuu yao. Natanguliza shukrani.
Hello kakaz & Dadaz mko poa? Jamani mi nainshu moja tu, naomba tujuzane ili na mimi nijue, tatizo linalonikabili ni kwamba sijafahamu nini siri ya mafanikio, elimu yangu ni form four,na ni mwaka...
Wapendwa wana JF hivi majuzi kuna watu wamekuwa wakiniuzi hii idea ya TELEX free ambayo imenifanya nijiulize maswali kadhaa ikiwamo je....hii kitu ni ujanja ujanja mwingine wa mjini au.Wataalamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.