Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nauliza-- mtandao wa Internet wa Sasatel uliongia kwa mbwembwe kubwa mwaka 2010 ndiyo umekufa kabisa? Nauliza hivi kwa sababu tangu jana jioni ulikuwa haupatikani. Jee wenzangu mnaotumia huduma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hellow, Mimi ni mjasiriamali ninayebuni vitu mbalimbali kwa kutumia vitenge.Nakaribisha wanunuzi wa jumla na reja reja, anayehitaji anipm nimtumie picha
0 Reactions
2 Replies
3K Views
2CashSite.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
0 Reactions
3 Replies
920 Views
Rwanda imetajwa kuwa nchi inayovutia zaidi wawekezaji na kusajili kampuni no saa 24 tu unakuwa ushakamilisha na hakuna longolongo kama za kwetu. Hii imevutia wafanyabiashara wengi kusajili...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nategemea kusafiri kwenda Lubumbashi, tarehe za mwisho wa mwezi January au mwanzoni wa feb. Je maeneo hayo kwa sasa ni salama kwa wageni, kama mimi kutoka bongo? Nilisikia kama tetesi za vita au...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau habari za leo, nina hitaji kununua control box ya 'excavator mashine' aina ya volvo - PC220. Wadau naombeni ushauri haswa ni wapi nitaipata iliyo imara, sababu hapa nchini kwetu bidhaa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Bandugu mm ni mwalimu wa shule ya msingi, nisaidieni mawazo kwa mtaji wa 2ml nitoke vipi
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu Ni kampuni gani hapa Tanzania inayotoa huduma sahihi za "Umeme Jua"? Na gharama zake ziko je? Kwa mfano, umeme wa kutosheleza kuwasha vifaa vyote vya nyumbani: e.g. Friji, Pasi, TV/Radio...
0 Reactions
20 Replies
13K Views
Benefits for members • a business directory that is listing highly recommended businesses only • the deepest discounts, exclusive deals, cash back, coupons, bonuses...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Tunauza azamtv decorder kwa sh.105000 +12500 malipo ya mwezi fundi juu yako mafundi wapo kwa wateja wa mkoa bei ya jumla ipo wasiliana 0763252424 utasafirishiwa hadi mkoa bei nafuu
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Wadau naomba mwenye maujuzi anijuze kama kweli hawa akina zakayo wamenikata kodi kihalali. Mimi nimemaliza mkataba wa miaka miwili ya ualimu. Nilikuwa nawekewa gratuity ya asilimia kumi na tano ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wanajamii,Naomba kufahamishwa, kuna document (siifahamu jina) ya uendeshaji/ utendaji inayoonesha jinsi uongozi wa project au kampuni na wajibu wa kila mmoja. Mfano meneja atafanya hiki...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Why should Tanzania replicate the protectionism attitude on Kenya's airlines? During the end of November of last year the prospects of affordable aviation services became a reality when...
3 Reactions
32 Replies
4K Views
BUSINESS IDEA SUPPORT - BIS in Food Production Mbeya Food inapenda kuwajulisha wajasiliamali wa jiji la mbeya au nje ya Mbeya kuwa sasa tunasaidia kuanzisha biashara yoyote ya kutengeneza aina...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hello to all....! I would like to share with u beloved friends of mine these good news, I am named as it's seen on my JF page, I'm currently working as an Assistant Finance & Administration...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
ps2 inauzwa!! ina pad zake mbili na inatumia flash only na tv pia ipo!!! jumla bei n 240000 kama uko tayar no yangu 0654434509 nko dodoma!!!!
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Watu tunaumiza sana vichwa kuhusu miradi ya kiwango cha chini na cha kati kwa ajili ya kuinua uchumi binafsi na kifamilia. Hizi picha hapo juu utaona miradi ya aina hiyo imetapakaa kila kona...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Tecno S3 iwe mpya.....au kama imetumika isizid wiki mbili.. Ideos iwe used but cyo san iwe kweny hali nzuri.... Kam uko nayo n PM tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
957 Views
Habarini wanajamvi Nina mpango wa kufanya biashara ya asali na nimefanikiwa kupata mtu wa kuniletea tayari kwa ajili ya mimi kufanya packing na kuuza,lakini nimekwama katika process za kuibrand...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inakuwaje wakurugenz, aisee natafuta Toyota Passo used, so kwa yeyote mwenye useful info anichek thru0714877378 Thanks
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…