Habari wa ndugu.
Naomba mnisaidie kuhusu hizi Kampuni kama zipo na msaada wake kwa
jamii/ wanaotafuta Ajira au waajiri.
Je zinaendeshwaje na kuhakikisha watu hawatapeliwi? Mwenye
ushuhuda wa...
salam jf
Wakuu ebu tusaidiane katika hili, network marketing inafanyaje kazi kwa tanzania, tofauti na bidhaa za alovera, kuna bidhaa za ndani ambazo zinatumia mfumo huu wa biashara na kama hazipo...
Mimi ninaishi jijini Mwanza na nina pesa yangu binafsi cash Mil 5....., Nafikiria kuanzisha biashara na najua humu kuna wazoefu wakutosha wa biashara....,Naombeni mawazo yenu wana JF.
Ili kusajili kampuni yako kwa muda mfupi bila usumbufu wasiliana na RMJ & CO.LTD kupitia 0714 784154/0753 784154 au fika ofisini kwetu: Mandela Road - Opposite na Mabibo Hostel.
Hakika inaelekea watanzani kama si wajinga basi tumekuwa wapole kupita kiasi!! Hivi kweli kwa hali iliyopo katika Kituo cha Mabasi Ubungo kuna sababu gani ya kuendelea kulipia kiingilio wakati...
Wapendwa taifa liko kwenye janga kubwa la ukosefu wa ajira, lakin wengi wetu tunapenda kumaliza chuo na kuanza kuangaika kwa ajili ya kutafta kazi, mimi nna ndugu zangu na marafiki wengi...
Nimekuwa najihusisha na ununuzi na uuzaji wa mazao hapa nchini tanzania, sasa nafikiria sana kwenda afrika kusini na south sudan.Ninaomba mwenye uzoefu au fursa kwamba naweza KUUZA NINI katika...
Natafuta Suzuki swift four wheel drive, nyekundu au nyeusi, naombeni msaada pia wa kiufundi ya upatikanaji wa spea zake na fuel consumption ,natanguliza shukrani
Kuna trip ya kwenda kigali mwezi wa nane kwa ajili ya mkutano wa kidini. tumeambiwa tubebe bidhaa za kitanzania ambazo tunaweza kwenda uza huko. naomba ushauri wenu nipeleke nini?
Guys nilikuwa na swali dogo kuhusu bei ya simu niliyoandika hapo juu. Nipo na pieces 1000 hivi Nataka kuziuza hapo Tanzania. Je bei ya whole sale ni kiasi gani?. Natafuta wateja wakununua nyingi...
An entrepreneur is born or made? Naomba mnisaidie ndugu zangu kwani maisha ya kusubiri ajira yamenishinda sasa. Nafikiria kuwa mfanyabiashara au mkulima lakini sina hata moja ninalolijua juu ya...
By DORITHY NDEKETELA Special Correspondent
Posted Saturday, December 22 2012 at 14:25
IN SUMMARY
Tanzania Tourist Board (TTB) has signed a memorandum of understanding with the airline to...
Naomba kupewa msaada wa stika zipi zinatakiwa (lazima) kuwa nazo ukiwa na gari ambalo linatembea..najua kuna motor vehicle license,fire na insurance..naomba mnijuze nyingine ambazo lazima zilipiwe...
Je unahitaji Software ya kuendeshea biashara yako??
Karibu CREATIVE LAB(T) LTD. Tunayo software maridadi ya kufanya hizi kazi
Bei yake ni nafuu na inaweza kutumiwa na mtu yeyote sio lazima awe na...
Asilimia 95 ya watu wanasema kuanza biashara lazima uwe na mtaji, labda asilimia 5 zilizobaki wataleta hoja tofauti na hiyo ambayo wataweza kuunga mkono hoja yangu. Kwa ufahamu wangu kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.