KWA UFUPI
"Mengi ya malalamiko hayo yanatokana na uelewa mdogo jinsi serikali ilivyojipanga," alisema Kiwelo na kuongeza:
"Sera na Sheria hizi zimeweka miongozo ya uendelezaji madini nchini...
Tanzania is less corrupt (102 kati ya 176). Ingawa najua tunasafari ndefu ila serikali iliyopo imefanya kazi kubwa kupunguza na juhudi zinaendelea kufanywa kupunguza hili tatizo. Pia life...
Katika katiza katiza yangu kwenye site mbalimbali nimekuta na hii link ya hawa wanadai wanatoa mikopo kirahisi rahisi
hebu pitieni tujulishane maana naona watu wapo busy kutuma application fees...
Hon. Amb. Khamis S. Kagasheki (MP), Minister Of Natural Resources and Tourism Expressing his gratitude to the Turkish Ambassador to Tanzania Ali Dovutoglu for establishing direct flights by the...
Transport Minister Dr Harrison Mwakyembe has told the ministrys staff that he will take severe legal measures, including jailing the Tanzania Ports Authority workers behind acts of sabotages at...
Weekend iliyopita nilibahatika kuangalia Mpira wa Miguu kati ya Timu ya Manchester united na Aston Villa ambapo Manu walishinda mabao matatu kwa mawili ya Aston Villa. shukrani za pekee ni kwa...
Habari zenu tha great thinkes!
Naomba wanaifaham vizuri kampuni ya GNLD wanieleweshe kama ni kweli inawasaidia members wake,kwani kwa sasa kumekua na ushawishi mkubwa kwa watu ili wajiunge...
Nimeona TBC wameandaa kipindi maalumu kwa ajili ya utambulisho wa FastJet, ambapo walikuwepo waandishi wa habari na baadhi ya viongozi wa serikali. Hivi ni sahihi kwa TBC kuandaa/kuonyesha kipindi...
Katika msimu huu wa kuuza kahawa kanda ya kaskazini, bei ya kahawa imeshuka kutoka Tshs 5000 kwa msimu wa 2011/12 hadi Tsh 2000 kwa msimu wa mwaka 2012/13. Wakulima wengi wanalia kwa kupata hasara...
Natafuta mkopo wa Laki saba na riba ntalipa laki 2, mwisho wa mwezi huu. Dhamana niliyonayo ni kadi yangu ya NSSF ambayi ina mil.1 (hata na Passport yangu kama atahitaji).alienayo anicheki...
Nimekuwa nikitumia line ya voda kwa muda wa zaidi ya miaka 12. Nimepoteza hiyo line nikaamua kwenda kurenew pale Vodashop Ubungo Plaza. Ajabu nikaambiwa niorodhesha namba tano (5) nilizopiga mara...
On Saturday Arsenal fans marched against the perceived lack of financial muscle being flexed in the transfer market. How could a club with billionaire shareholders and some of the most expensive...
The government has been advised to have correct statistics on the number of unemployed youths in the country in order to determine the extent of youth unemployment.
Chairman of the governing...
Poor Health
Institute for Responsible Technology - GMO Dangers
Thousands of sheep, buffalo, and goats in India died after grazing on Bt cotton plants
Mice eating GM corn for the long term...
Habari wakuu
Naomba tujuzane katika hili,ni vitu gani navyotakiwa kutazama/kuzingatia kabla sijaamua kupanua biashara yangu,mfano kufungua tawi jingine?
Karibuni.
Sent from my BlackBerry...
ice fluctuations that Tanzania has witnessed in recent months are signs that the country's economy is structurally unstable, economists say.
People from Wete town in Zanzibar buy food at...
Nigeria comes last among the 80 countries covered!
Warren Buffett, probably the world's most successful investor, has said that anything good that happened to him could be traced back to the...
Mbona bei ni ile ile...kwa safari hizi?
Untitled
No of Adults: 1
Dar es Salaam to Kilimanjaro (FN0153)
Departure: 30 Nov 19:30
Arrival Time: 30 Nov 20:50
Fare: 32,000 TZS
Taxes: 11,040 TZS...
WAFANYABIASHARA watano, Said Bakhressa Gulam Dewji, Rostam Aziz, Reginald Mengi na Ali Mufuruki, wametajwa na Jarida la Ventures Africa linalozungumzia masuala mbalimbali ya uchumi wa Afrika kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.