Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

wakuu nilikua naomba msaada na wapi auditing company zilipo na contacts zao, asante
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kiwanja kinauzwa ,ukubwa ni 40 mx 25 m , kipo eneo zuri ,Wazo hill ,Madale , umeme ,maji vipo karibu , kwa serious buyer apige simu namba 0765519031
0 Reactions
4 Replies
1K Views
hiki ni kiwanja kilichopo maeneo ya Misugusugu - KIBAHA upande wa kushoto kama unaelekea DSM. umbali:- ni kilometa 1 toka morogoro road ukubwa:- ni ekari 2 (na inazidi kidogo) hati/offer: hakina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu naomba mnisaidie majukumu ya hawa watu wawili juu ya wafanyakazi na mwenye kampuni/firm fulani. Nimeileta hii maada kwa kuwa kila kunapotokea kuna mgomo kampuni fulani utakuta/kusikia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
The government has been urged to urgently address the plight of the millions of Tanzanians who have been hit hard by biting inflation reflected in rising prices of basic foodstuffs, water and...
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Nina Fremu ambayo atakuwapo mdogo wangu fundi mwanafunzi ambaye bado hajawa mtaalamu hasa na kupata ozoefu baada ya kumaliza kusoma NATAFUTA FUNDI MWENYE UZOEFU ILI TUPATANE AKAE KWENYE FREMU...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hizi dhana mbili za inflation(mfumuko wa bei/kupanda kwa gharama za maisha (kutokana na ongezeko la fedha)) na deflation(punguzo la jumla ya fedha zitumiwazo ili kudhibiti bei) zimekuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kujua kama kuna mtu anaijua website, inayoshughulika na exporting light duty construction equipment kutoka Japan.Nazungumzia vifaa kama double roller double drum, asaphalt cutter...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau hali kwa sasa inatisha sana, Nimelazimika kuacha kunywa bia, soda na juyce kutokana na bei zake kupanda ghafla kabla hata mshahara haujabadilika. Hata maji inabidi nichemshe haya yakawaida...
1 Reactions
0 Replies
867 Views
salam wadau,mtandao gani kwa tanzania internet yake ni nafuu na huduma iko vizuri?hii yote inatokana na airtel kutukatili bundle yetu ya 400 MB kwa 2500.asante
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani mwenzenu, nimepatikana wiki hii. Mchele jamani, ukitoa shilingi elfu kumi unapata kilo tatu tuu!!!! Sasa hivi kilo moja sh 2700 hadi 3000!!!!!! .....nchii imefikaje mahali hapa...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
The Export Processing Authority (EPZA) has partnered with the Tanzania Ports Authority (TPA) and Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) to establish the Mtwara Freeport Zone by...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
It was interesting passing through the IFM career Day on Saturday 28th. IFM departments competed against each other in challenging presentations and I was totally impressed. It was also good to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu mpo? Kuna biashara ya kuuza mchanga kwenye malori, kuna watu wananunua pande la ardhi lenye mchanga, kisha wanaomba kibali cha kuuza mchanga. Jamaa anakaa ktk pande lake akikusanya hela kwa...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Jamani kuna kifaa kinaitwa kip tech kinatangazwa kwenye tv kwa ajili ya cooling system badala ya feni au AC. Naomba kusaidiwa maswali yafuatayo. Je bei yake ni sh ngapi? Ina faida gani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendwa, Nisaidieni natafuta sana sana chumba cha kupanga maeneo tajwa hapo juu Nisaidieni kwa kuwasiliana na mimi kwa no. 0713 50 52 09 spora
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa yeyote anaefahamu naomba alinijulishe kama kuna faida yoyote mkulima anayoweza kunufaika nayo kutoka kwenye program ya kilimo kwanza kama mafunzo, dawa za mimea na mbolea. Kuondolewa kodi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninahitaji kufungua kampuni in partnership na mtu ambaye si mtanzania, process zote zitachukua muda gani hadi kupewa certificate? Ni vitu gani ntahitaji ambatanisha napoenda sajiri? Nimeshapitia...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Sun, Apr 29th, 2012 Tanzania |Sunday, April 29th 2012 Former German kaolinite mine at Pugu Hills Forest Reserve Huge reserves of certified high-quality kaolin deposits lie beneath the...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hizi dhana mbili za inflation(mfumuko wa bei/kupanda kwa gharama za maisha (kutokana na ongezeko la fedha)) na deflation(punguzo la jumla ya fedha zitumiwazo ili kudhibiti bei) zimekuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…