Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

SIO KILA KITU LAZIMA KIFANYWE NA WAKENYA HATA SISI TUNAWEZA,ASANTE SANA YUSUF MANJI KWA KITU KIZURI. ODINGA ALIVYOZINDUA JENGO LA QUALITY CENTRE Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga jana Nov 25...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Nimepitia mtandao wa mwananchi na kukutana na kichwa cha habari kisemacho "EWURA YATAMBA SASA UCHAKACHUAJI HISTORIA" kwa kweli nilianza kuona hawa jamaa wapo makini angalau kuwa wamemaliza hilo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heri ya mwaka mpya wadau! Ninashida ya kufahamu bei ya dogoro la dodoma 5X6 kwa wale walonunua siku za karibuni. Ahsanteni
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) will this year start using an automatic meter reader (AMR) which will be connected to Luku customers to enable them pay for power. According to Tanesco...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninafikiria kuleta trekta langu dar baada ya msimu wa kulima mwezi wa pili.Ningeomba msaada kwa mwenye idea nini naweza fanya hapa dar nkapata kipato wakati nasubiria msimu.
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Naombeni mchanganuo wa gharama ya kuweka fensi kwa kutumia nguzo za simenti na waya. Ni kwa Kiwanja chenye ukubwa 20*30. Ni kwa DSM.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Jamani watanzania wenzangu, Naomba tushauriane ni nishati gani nafuu ya kutumia majumbani kupikia hasa kwa watu wa kipato cha chini au cha kati tunaoishi mjini? Maana bei ya gesi au mkaa ni zaidi...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
HALLOW WADAU WENZANGU,KWA WALE MIONGONI MWENU WANAOHITAJI VIWANJA VIZURI KWA BE NAFUU KABISA,KUANZIA MILIONI MOJA,WAWASILIANE NAMI KUPITIA NAMBA 0784327429/0767327429 AU EMAIL...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Overall Score: 57 World Rank: 108 Region Rank: 15 of 46 Economic Summary Tanzania’s economic freedom score is 57, making its economy the 108th freest in the 2011 Index. Its score is 1.3...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa anetaka uwakala wa airtel money piga hizi namba 0717474257 (usishangae namba ni ya tigo .mi nimeajiriwa .hvyo naendelea kutumia namba yangu ya tigo though workng 4 airtel) .kinacho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Serikali leo imesema ipo kwenye mchakato wa kuigeuza kariakoo kuwa sehemu ya kununulia bidhaa za jumla na rejareja kuwa kama vile Dubai au Guangzhou. Tamko hilo limetolea leo kwenye taarifa habari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana Jf. Salaams na heri ya Mwaka Mpya? Jf imekuwa mwanga na ufunguo kwa watu kuwasiliana na kupeana mawazo ya maendeleo. Kichwa cha habari hapo kinahusika. Kuna wawekezaji wanataka kuja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimefanya utafiti mdogo Tanzania haswa mikoa ya kusini na kati nimegundua makampuni mengi yanayotoa mikopo kwa wafanya biashara ndogo ndogo ni ya kutoka nje na yanawabana kwa riba kubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siri ya mafanikio ya bidhaa za Kichina Mambo ya Mchina Kimekuwa na wimbi la bidhaa za Kichina karibu katika kila nchi duniani. Wachambuzi mbalimbali wamejaribu kuelezea siri za mafanikio ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wanandugu habari ya weekend. tafadhali mwenye ufahamu naomba anielekeze utaratibu wa kufuata katika kubadilisha jina kwenye kadi ya gari pamoja na gharama zinazohusiana na zoezi hili...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikisikia neno China China, hili linamaanisha kila kitu, siku za hivi karibuni neno hili limehusishwa sana na ufake,kutodumu nk. Binafsi nikiwa fans wa made in China, iwe...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
The Contract has been signed. Follow this discussion - https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/210498-kigamboni-bridge-contract-signed.html Tanzania | Published On: Sat...
0 Reactions
26 Replies
13K Views
Wadau..Heri ya Mwaka Mpya!! Nahitaji kufahamu Mtu/ Taasisi inayotoa mikopo midogo kwa kukuza biashara changa. Dhamana ya mkopo ni mali(assets) za kampuni.. Mabenki yasiwemo katika hili sababu...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
My land is virgin and am trying 2think of whch mechanism should i use to dig it.can i use a tractor or an oxen.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Jamani wanajf Niko mitaani Nina Laki tano nataka nianze Bishara Nipeni mawaidha ni Bishara gani nifanye?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom