Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu heshima mbele sana. Wataalamu wa uchumi naombeni mtuambie kama usd itazidi kushuka dhidi ya tsh katika quarter hii ya kwanza ya mwaka, au kama itapanda tena?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Le0 hii mchana kutwa network ya LUKU Tanesco ilikuwa haipatikani, maelfu ya wateja walikuwa wanahaha kutafuta kununua umeme. Hii ndiyo njia mojawapo Tanesco inavyojimaliza kimapato kwani itokeapo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa boko kwa reasonable prices, wasiliana na Mr.Nyenze +255712833135
0 Reactions
17 Replies
4K Views
The four companies shortlisted to bid for the distribution and storage assets of Addax & Oryx Group had until Dec. 29 to put in their final offers to BNP-Paribas which has been handling the sale...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau, naona mwaka tunauanza na kila kitu kikiwa bei juu....cheki mwenyewe.. 1. Mchele.. 1900 2. Sukari...2000-2700 3. Maharage....1300-1500 na vingivyo vingi tuu..kwa sisi tulioanza maisha ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji logo ya kampuni . Naomba wenye ujuzi huu wanipe quatation; thanks
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Jamani, naulizia wapi nitapata nondo kwa bei POA (10mm au 8mm) kwa ajili ya kujengea madirisha. Nimeishafanya mahesabu na ninahitaji nondo kama 160 hivi. Nyumba inayojengwa iko Boko CCM. Asante.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimekuwa mfatialiji mzuri wa kujua wapi tunaeleke Tanzania na watu wake cha kushangaza ni Hao watu waliojuu, waziri mmoja mkubwa sana aliulizwa swala la vijana kukosa ajira na kuunza kusema...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo nilikuwa na shida ya vijisenti kwa hiyo kama kawaida nikapita kwa ATM ya NBC LTD ,nikakuta a/c haifanyi kazi kuingia ndani nauliza wanasema wametufungia A/C zetu, mpaka mwenyekiti wa serikali...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani naona hili tatizo la umeme tutaendelea kuwa nalo kwa miaka takriban 20 ijayo sasa nauliza je kama nataka kufanya biashara ya solar kama wale jamaa wa REX mnanishaurije? Naweza kuingia...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Hivi kwa nini biashara ya albinos' organs hushamiri kipindi cha kampeni za uchaguzi? Imenibidi kuuliza swali hili coz vitendo vya mauaji ya albino, uchunaji ngozi, safari za bagamoyo kufukizwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
niko ubungo, naomba wakuu mnielekeze ni wapi ninaweza kupata kifaa hicho kwa bei nzuri na kiwe imara na halisi. 0754242210:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mwaka 2012 naona watu wamesherehekea kwa mbwembwe zote kila mtu ana malengo yake ya kuyatimiza mwaka huu kuna waliopanga kuoa , ku graduate pamoja na kupata kazi nzuri ila mimi malengo yangu ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
We have been observing an increasing trend in the Tbills interest rates for the past 6 months. This has been caused by official mechanism adopted by the Central Bank of Tanzania to create price...
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Wakuu herini ya mwaka mpya! Mimi nina kagari kadogo (starlet) nataka nikafanye taxi. Naomba wenye uzoefu na biashara hii mnipe uzoefu na mbinu za hii biashara. Niko moshi. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe Anthony Kayanda, Kigoma. KUNDI la vijana zaidi ya 400 wamemvamia mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe wakimtaka awatafutie ajira...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Moshi ni mji wenye sifa ya usafi Tanzania. Zaidi ya usafi ni mji wa Mlima Kilimanjaro (The town of Mt Kilimanjaro) hivyo ni mji wa kitalii barani Africa. Pia mji huu uko kwenye mchakato wa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
The government has opted for thorough review of the controversial lease agreement of aircraft Airbus 320, whose bill went to a staggering amount of $32.6 million (Sh52 billion). The new government...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
HII INAWEZA KUWA NA MSAADA KWAO, KWA KIASI FULANI 1.Najua kwa sasa mko Vyuoni na mnakimbiza kitabu ile mbayana kuna baadhi yenu mko kwenye maandalizi ya TEST, ASGMENT, MITIHANI NAKAZALIKA...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukiwa mfanyakazi serikalini au katika mashirika ya umma na binafsi kuna sheria kabisa ya nchi inayolazimisha kuwa lazima uwekeze kwenye NSSF.Na pesa yenyewe si ndogo,ni takriban 20% ya basic...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom