Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

At least 56 per cent of the Tanzanian adult population is excluded and use neither formal nor informal financial services, a new study on financial transactions and investments has revealed. The...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, nokia n900 brand new, 32 GB 256MB RAM, Card slot: Micro SD up to 16GB, GPRS class 32. speed: HSDPA,10Mbps, HSUPA 2Mbps wi-FI, camera: 5MP, 2576 X 1936 pixel. Bei inauzwa laki 6 na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna wakati huwa nafikiria saaana, kwanini watu huwa tunaingia gharama za ku subscribe kwenye caller tunes. Utakuta jamaa ana tunes zaidi ya tano, kila ukimpigia wasikia tunes tofauti tofauti...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habar zenu wadau. aisee wAp naweza kupata kioo cha laptob aina ya toshiba tecrA 8200 changu kimevunjika tafadhar mwenye idea anijuze...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
huu mtandao wamezidi,unaomba huduma e.g sms bundle ,wanakata hela. Ukianza kutumia tena wanakata each sms kwa normal rates,f***k them. Namba ya huduma kwa wateja "toka kwenye menu yao ya service"...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ndugu wana jf nina sh milioni moja ila sina business idea yoyote.......naombeni mnisaidie business ideas(wazo la biashara) kutokana na fedha niliyonayo...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Tuna M-pesa, TiGo Pesa, Airtel Money na ZAP. Kenya na Tanzania mpaka sasa kuna huduma hizi zilizokwishaanzishwa:- 1) Bulk salary pay: wafanyakazi wanalipwa mishahara kupitia huduma hizi 2)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NIMETOKA SHAMBA HIVI KARIBUNI NIKAWA NA HAMU YA KUPATA KOPI YA GAZETI JIPYA LA JAMHURI. NILIKUWA NA KIU KWANI KWA MFUATILIAJI KUONA FRONT PAGE STORY, TAHARIRI NA MAKALA UNAGUNDUA GAZERTI NI LA...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
nitapata wapi nyumba yenye room 2 na sebule kwa bei rahisi ya angalau TZS150,000 p.m!!!nina shida kweli ila sehemu nyingi bei iko juu,ningependa maeneo ya tabata,ubungo external,kijitonyama...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF leo nimeamua kuwaanika SASATEL wanavyo niibia. Mimi natumia modem ya SASATEL na nanunua kifurushi cha mwezi. Linalonishangaza kila nikinunua wananikatia huduma siku moja kabla ya tarehe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Interested? Nitumie private message.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Maeneo mengi huku mikoani walikoweka repeater za redio free Africa (RFA) yamekuwa yakikosa matangazo yao kwa ufasaha. Nichukulie mfano Iringa, matangazo ya RFA kwa mwaka 2011 yamepatikana kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana Jamii, Ni duka gani kwa hapa Dar es Salaam nitapata printer kwa ajili ya plastic ID cards, Business cards, Employee cards n.k?
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Fungua link hiyo hapo chini. tz.china-embassy.org/eng/xwdt/t887125.htm
0 Reactions
2 Replies
897 Views
Fungua link hiyo ippmedia.com/frontend/index.php?l=27746
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Wadau waliopitia mambo ya kilimo sera za kilimo kwanza kwa undani Naombeni msaada kujua kama swala la kuwaelimisha wakulima wa kibongo juu ya greenHouses lipo na limepewa nafasi gani??? Ndugu...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mikopo kwenye mabank ya Tanzania riba kubwa mno kiasi cha mfanya biashara kuzalishia bank badala ya kutia pesa mfukoni. Bank za Tanzania riba zinatisha kufikia hadi zaidi ya 15% wakati majuu mkopo...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Huku maeneo ya Southern Highland minara mingi ya Vodacom (Kama sio yote) inaungurumisha majenereta kila siku. Toka nimerudi home kuhesabiwa yapata wiki moja sasa kila mnara wa voda unatumia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Aisee kwa kweli sasa TZS inapanda thanani dhidi ya madafu ya Obama, kwa sasa 1US$ = TZS 1560 two months ago ulikuwa say unataka kununu nje kitu cha US$ 20000 ungetumia TZS 5m zaidi kama unataka...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
changamoto inayowakabili watu wengi ni namna ya kupambana na changamoto za kupanda kila siku kwa ghrama za mafuta,tembelea hii blog kwa maelezo zaidi katika hili,best of lucky ...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom