Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wana JF.... Ninataka kujua bei za kurusha tangazo redioni. radio mfano RFA, CLOUDS FM, TIMES FM, MAGIC etc.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna jamaa zangu wanalima mboga huku moro wanahitaji soko maana madalali wa kariakoo wamekuwa wakiwadhuluma sana.Please msaada waushauri na hiyo network.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani wanajf Niko mitaani Nina Laki tana nataka naanza Bishara Nipeni mawaidha ni Bishara gani nifanye?
0 Reactions
0 Replies
799 Views
ninachojua ni kuwa kama mtu anataka kusajili kampuni au biashara yake ni lazima kwanza afike BRELA ili wamsaidie kusach jina kama tayari lipo au la. Mchakato huu unahusisha kuandika barua ya...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu wana JF. Kumekuwa na upotoshaji mkubwa kuhusu upandishaji wa gharama za ferry Kigamboni. Wakati watu wengi wakijadili kuhusu nauli ya sh. 100 kwenda sh. 200, kiukweli gharama zilizopandishwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
mchezaji wa kimataifa wa Cameroon antarajiwa kuanzisha mtandao wa simu za kiganjani nchini kwao ambao umelenga pamoja na mambo mengine kupunguza gharama za matumizi ya simu,hivyo ndivyo wanafanya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani hebu tasaidiane hapa..Hivi tuiambie nini hii serikali yetu ili ielewe na ichukue hatua juu ya mwanamke mjazito kutembea kilomita 18 kwenda kujifungua? vifo vya watoto na akina mama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Juzi nilinunua airtime ya tigo kabla sijatumia nikaambiwa huna fedha. kabla ya hapo nilikuwa nimejiandikisha kwenye huduma ya sms 10 kisha unatuma siku nzima ambayo was just a disappointment. Sms...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
wakuu heshima zenu!nilikua nauliza hivi cement ya Twiga inaweza kukaa mda gani bila kuharibika?ikihifadhiwa sehemu kavu,isiyo na unyevu nyevu!nimenunua kwa ajili ya ujenzi,ila mambo yamekua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania imezoea kuwazingua watanzania kwa utabiri wao wa hali ya hewa wenye maneno ya jumla jumla kama vile ukanda wote .......,manyunyu n.k.Mwaka jana walitabiri Elnino...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
By Clive Crook | Jan 4, 2012 With the world’s rich economies struggling and the leaders of the European Union intent on making things worse, the gravity of the economic crisis still confronting...
1 Reactions
0 Replies
856 Views
iPhone 4 Black colour 1 line 2GB of memory lot of games + GOOD CONDITION Kwa anaeihitaji awasiliane na Rama kwa namba 0719831271.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
''Strategy formulation and implementation ought to be like two sides of the same coin'' discuss Naombeni msaada wajameni maji yashafika kwenye pua
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Amaki Shoes Makers watengelezaji wa viatu halisi vya ngozi vya kike na kiume, wanapokea order kwa viatu vya shule n.k Wanauwezo wa kusuply pair 2500 kwa miezi miwili. Bei ni poa sana tena sana...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Salaams wana JF, Inatakiwa Diesel tani 25,000 kwenda Mombasa katika muda mfupi iwezekanavyo, preferably yaliyo kwenye high seas. Inaweza kuwa biashara endelevu. Mwenye kuwanayo/fununu atoe bei...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
The number of elephants in two wildlife sanctuaries in Tanzania has fallen by nearly 42 per cent in just three years, a census showed yesterday, as poachers increasingly killed the animals for...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mamalaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) Mamalaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za aina zote za mafuta za jumla na rejareja zitakazoanza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau kama kuna mtu au hoteli inahitaji kuku wa nyama tuwasiliane ninao kuku 600, wapo dar, kwa maelezo zaidi nicheki kwa namba +255655393035
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Home Affairs Minister Shamsi Vuai Nahodha yesterday granted bus drivers one-week grace period to acquire the new driving licenses, temporarily halting the crackdown that almost paralysed passenger...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
natafuta jinsi ya kuweza kuwasiliana directly na huyu mama kwasababu nina project nataka fanya inahusiana na mazingira. Sasa nahitaji msaada wake na nihisi nikijaribu wasiliana naye kupitia njia...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom