Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Gazeti la mwananchi la tarehe sita septemba,ukurasa wa kumi lina habari nzuri sana. Kumbe kuna jamaa/majangiri wanakamata vinyonga wenye pembe moja kichwani na kuwauza kwa dola 60 mpaka dola 100...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ukiitizama hii Picha kwa umakini inaonesha idadi ya watazamaji kwa baadhi ya majukwaa, Huku jukwaa la siasa likiwa na watazamaji wengi zaidi. Je, Tafsiri yake ni nini?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wana Jamii!Nina shamba la miti ya mitini kwa idadi ya 4280,shamba liko maeneo ya Msata Bagamoyo.Nataka kuchukulia Mkopo kwa dhamana ya Shamba lille. Je kuna mtu anaweza changia ni jinsi gani...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Wana JF naombeni mnijuze ni wapi kuna duka la vitabu wanapouza kwa bei ya jumla. nahitaji kuuza vitabu vya higher learning/elimu ya juu. tafadhari nisaidiane mjasiriamali mwenzenu....
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hey Members. Am planning to quit my Current Employer for another Bread feeder. I will be collecting my NSSF in six Months time worth above 25milion. The truth is I really want to Plan...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Source Michuzi East African Single Currency, The Hidden Dangers Part I Debate…………….. East African bloc of nations is sprinting to launch its unified currency in a year or so. However, there are...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
katika pita pita yangu mtandaoni nimekutana na website ya CEO Roundtable - Tanzania, kwa kweli wameni-inspire nami nataraji siku moja nitapiga hatua toka CEO wa kampuni changa kama yangu hadi kuwa...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Ningependa kufaham bei ya simu hii mpya
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heshima mbele wakubwa! Mimi nimekuwa nikipita mara kwa mara na nimeguswa sana na moyo wa wengi hapa wa kufundishana na kusaidiana utaalamu wa biashara na ujasiriamali. Nimeona pia kuna ari ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wenye kumbukumbu vizuri, february 2011 tulikuwa na kikao pale Lunch time Hotel. Moja ya maazimio ilikuwa ni kupata shamba kubwa kwa ajili jf members wanaopenda kilimo. Kwa upande wa misitu...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF naombeni mnijuze ni wapi kuna duka la vitabu wanapouza kwa bei ya jumla. nahitaji kuuza vitabu vya higher learning/elimu ya juu.<BR>tafadhari nisaidiane mjasiriamali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujua kama Real motors (Nimewakuta kwenye Trade car view) wanaaminika,kuna gari nataka kulipia kwao.Ntashukuru kwa msaada/Maoni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati mwingine najiuliza ni kwann tanesco inawalipa EWURA kutoka katika kila bili ya mtumiaji wa umeme?Kwa mtizamo wangu kwa kuwa mfumo wa uzalishaji umeme nchi kwa kiasi kikubwa unategemea maji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The following is a guest post we’re pleased to share by Ignacio Mas, consultant associated with Bankable Frontier mobile money providers are increasingly pondering the path from payments to...
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Wadau naomba msaada wenu jins ya kuweza kuchapa kitabu ambacho ni msaada mkubwa kwa O'level. Kipo hatua za mwisho, lakini tatizo nililonalo ni pesa ya uchapishaji. Mwenye namna yeyote ya kunifanya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari moja, lipo umbali wa kilometa 25 kutoka ferry. Eneo linaitwa mbutu Mkwajuni. Bei Tshs. 4000,000 ( Milioni nne). Mmiliki ni mimi mwenyewe, piga namba 0658 517...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nimekuwa nikifuatilia jinsi sekta ya miundombinu ya barabara inavyosimamiwa na kugundua udhaifu wa mfumo uliopo. Barabara zote hapa nchini zinaendeshwa kwa mtindo wa public goods. Kwa waliosoma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Positive Mental Attitude ni kitu gani hii na inamsaada gani maishani mwetu? Kuwa na tabia ya mtizamo chanya (Positive Mental Attitude) ni kitu muhimu sana maishani, iwapo tutashindwa sisi wenyewe...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
WanaJF! Ndg zangu kwa wenye uzoefu ktk ma2mizi ya gas. Kwanza utazikuta ktk ujazo tofauti kt ya kg 15 ikiwa ni mtungi mkubwa,kg 8 hii ikiwa ni mtungi mdogo. Yote haya ni ktk kampuni yote hizo tatu...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Natafuta mbao ambazo zimeshatumika 2*4 pcs 100 na 1*8 au 1*10 pcs 60. Maeneo ya Mbezi beach, Tegeta, ubungo na Mbezi Mbezi Morogoro road. Piga au sms 0754692008.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom