Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Waziri Dkt. Kijaji: Ongezeni Kilimo cha Miwa kwa Wingi Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewasihi wananchi na wakulima wa miwa wa Kata ya Magugu Wilaya ya Babati Mkoani...
0 Reactions
1 Replies
542 Views
Habari zenu, naomba kujulishwa ni mfumo gani wa mauzo ambao ni mzuri kutumia kwa dukani? Gharama iwe rafiki, mwepesi kutumia, huduma ya wateja inapatikana pindi kunapotokea tatizo, je mfumo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanza nawashukuru sana watu wote mlionishauri, kunikosoa, kunikejeli na kunielimisha kwenye andiko langu la " NAOMBA KUSHAURIWA, KUELIMISHWA NA KUKOSOLEWA" asanteni sana. Pili napenda...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Habari Wana JF, I hope mko powa . Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani Dar es salaam, level yang ni certificate Kwa kipindi kichache ambacho nimesoma nikafikiria nisikae bure kwani kuna maisha...
1 Reactions
8 Replies
669 Views
Wakuu habari za uzima? Leo nilikuwa naomba nijifunze kitu hapa. Nafikiri wengi tunasikiaga marekani anawekea nchi fulani vikwazo vya kiuchumi, kutokana kwamba yeye ni super power duniani...
0 Reactions
0 Replies
265 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mzigo wa cash upo mkononi. Gari iwe mikoa ya Mwanza au Geita.
2 Reactions
4 Replies
642 Views
Habari zenu Wakuu, Kumekuwa na tabia ya baadhi ya watu kuiga biashara maeneo ambayo hayana mzunguko na kujikuta wakifunga biashara zao kwa hasara na majuto. Ndugu MwanaJF leo ningependa...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za muda wadau, Nimekuwa interested na umiliki wa play station kwa Matumizi binafsi ya PS4. Kwa sasa ila nina Mawazo ya kuja kufungua biashara ya kuchezesha games kwa japo badae hasa baada...
3 Reactions
12 Replies
4K Views
Heri ya krismasi wakuu. Ni hivii nimepata mtaji tsh laki 2 Nina mpango wa kuanza biashara ya chupi nipo dar sasa bado sijajua naziuzaje na wapi yani inshort sijawahi kufanya hiyo biashara au...
3 Reactions
16 Replies
778 Views
Pamoja na kwamba leo ni sikukuu, Benki ya NMB ambayo ni Mshindi wa Tuzo nyingi zikiwemo za ufanisi wa kazi na huduma bora, kwa mara nyingine tena imeonesha kuwajali Wateja wake kwa kutangaza...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, samahani naomba kuuliza kwa Dar es salaam ni vyama gani vya Ushirika ambavyo vipo vizuri katika kuinuana kiuchumi? Natanguliza shukrani
1 Reactions
1 Replies
241 Views
Na ningependa zaidi wachangiaji wawe ambao wanatumia hizi system, sio ku google ama kusikia. Nipo mkoani nina stoo yangu kubwa ambayo ndipo mizigo inapofikia kutoka Dar kwajili ya kuitunza na pia...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wadau. Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90. Naombeni mnishauri kwenye...
26 Reactions
312 Replies
25K Views
Wanna bodi hivi ntapata wapi mkopo wa million MOJA na NUSU Kuna magunia ya mpunga nataka nikayanunue nije nikoboe naweza pata faida ya laki 4..dhamana nna pikipiki mbili ...nawasilisha
5 Reactions
8 Replies
630 Views
Wana Jamiiforums habari za kushinda! Ninawazo la kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza misumari aina zote hapa nchini. Kuna mashina za kawaida nimeziona kwenye mtandao naweza kuzinunua na...
7 Reactions
17 Replies
4K Views
Nauza ndoo za lita 20 nzito nyeupe transparent bei ya jumla 0768686677.
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Wakuu habar zenu Naitwa Norbet Daudi Mzaliwa wa kigoma Kwa sasa naishi mwanza Wilaya ya ilemela kata ya kitangili Nina tafuta bajaji ya abilia ya kukodi au ya mkataba yeyote mmiliki wa bajaji au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu salaam Kuna ndugu yangu anataka kuanzisha biashara ya kununua FUSO zima la viazi vya chips / viazi ulaya/ viazi mviringo, Njombe na kuja kuuza Dodoma Naomba Kwa mtu mwenye uzoefu au...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Heri ya Sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya wana JamiiForums wote. Bika shaka mpo salama na mnaendelea vyema na heka heka za kusherehekea hizi sikukuu, kwa wale wenye changamoto za hapa na pale...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…