Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Salaam kwenu wakuu, ninaomba mwongozo wa namna ya kupata uwakala wa mpesa na tigo pesa.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Mhe. Jacqueline Kainja Andrew ameendelea na ziara yake katika Wilaya ya Nzega ambapo ameendelea kutoa fedha za miradi mbalimbali yenye thamani ya Shilingi...
0 Reactions
0 Replies
245 Views
Habari za Muda huu wakuu, Wengi wameandika kuhusu AI, ila na mimi ningependa kutia neno kidogo lakini katika angle ya baishara, kama title inavosema "Unlocking Business Potential through...
3 Reactions
0 Replies
580 Views
Habari wadau. Napenda kujuaa majina ya Vituo vya radio vinavyosikilizwa sana Mikoani na vinafaa kutuma matangazo. Mikoa ninayoitarget ni hii 1. Morogoro 2. Tanga 3. Moshi 4. Arusha 5. Babati 6...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Wasalam wakuu wa jukwaa hili pendwa, Mbele yenu ni kijana mchakalikaji na mpambanaji pia, sichagui cha kufanya. Naombeni mawazo wenyeji wa maeneo husika hapo juu ila hata nje ya hapo napokea...
0 Reactions
2 Replies
444 Views
HATUA NNE (04) ZA KIMKATABA UWEKEZAJI BANDARI YA DAR ES SALAAM 1. Makubaliano ya ushirikiano kati ya Tanzania 🇹🇿 na Dubai - Makubaliano tayari yamesainiwa na kupitishwa na Bunge la Tanzania kwa...
1 Reactions
2 Replies
591 Views
MBUNGE JACQUELINE KAINJA AWAWEZESHA KIUCHUMI WANAWAKE WA KATA 35 ZA WILAYA YA IGUNGA Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Tabora Mhe. Jacqueline Kainja Andrew ameendelea na ziara yake katika Kata...
0 Reactions
1 Replies
256 Views
Mfumo wa mauzo kwa hapa nikielezea zaidi mauzo360 una faida kadhaa kwa biashara na mfanya biashara. Hapa chini ni baadhi ya faida za kutumia mfumo wa POS: 1. Usimamizi bora wa hesabu: POS...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama wewe ni mfanya biashara, utakubaliana na mimi kua nyakati zinabadilika. Wakati teknolojia inaongezeka ni jukumu la mfanya biashara kujua teknolojia hii itamsaidiaje kurahisisha shughuli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa? Natumai mko salama na buheri wa afya. Leo nataka tujifunze kitu kwenye biashara. Mabosi wengi huibiwa na wafanyakazi bila kujua, na wasijue nini chakufanya. Kazi inakua...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuuu nahitaji kufanya biashara ya kuuza vifaaa vya umeme duka la umeme ila mtaji wangu kma 13mil kuna washikaji wanasema ni ndogo ila kuna wanangu wengine wansema hyo ni nyingi sana kma nitakuwa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Lucy Thomas Mayenga ameendelea kuwafikia Wajasiriamali Mkoani Shinyanga ambapo leo ilikuwa zamu ya Mama Lishe Manispaa ya Shinyanga kupatiwa msaada wa...
0 Reactions
1 Replies
863 Views
Natambua mpaka mzigo uishe ndo tunaweza pata hesabu za faida na hasara vinginevyo itakuwa tuna assume tu. Ila kama inawezekana unaweza nipatia formula ili nione inavyokuwa. Kuna hizi bidhaa hapa...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wakuu, naombeni ushauri, mawazo na msaada wa kupata soko kwenye biashara ya mchele. Natoa mchele wilaya mpya ya songwe, mchele ni mzuri sana. Aliye na uhitaji nao tufanye biashara wakuu...
1 Reactions
33 Replies
11K Views
Peace JF Masssive 🤜🏾 Kipindi hiki cha covid 19 watu wengi sana wamekuwa wakitatufa njia zakuingiza side income angali wakiwa home. Na niseme tu baada ya kuandika uzi huu Watu wangi...
7 Reactions
36 Replies
8K Views
Habari wana JamiiForums, Mimi ninahitaji sehemu ya uhakika ambapo nitakuwa na uhakika wa kupata Mercury nyeupe kwa ajili ya matumizi ya machimboni kutumika kwenye dhahabu. Nimejaribu kufuatilia...
0 Reactions
8 Replies
769 Views
Habari wapenzi, Nina mtihani nina 150,000 mkononi natakiwa nifanye kitu ili ifikapo tar 30 july niwe nimezalisha 350,000 la sivyo .. Naombeni mawazo yenu. Nini kinaingia ndani ya hiyo budget...
7 Reactions
74 Replies
4K Views
TRA
ENDAPO MTU AMEFUNGA BIASHARA MASHINE YA EFD ANAIPELEKA WAPI
0 Reactions
1 Replies
303 Views
Wajumbe samahan.Naomba kwa yeyote mwenye mawasiliano ya wakala wa Tairi za MRF 400.8 za Bajaji anitumie tafadhali. #Natanguliza shukrani 0622 228 904/0768 228 904
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Unapoanza biashara, kuna mambo kadhaa muhimu ya kuzingatia ili kuongeza uwezekano wa mafanikio. Kuanzisha biashara ni hatua kubwa na yenye changamoto, lakini pia inaweza kuwa fursa nzuri ya...
6 Reactions
2 Replies
5K Views
Back
Top Bottom