Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nataka nifungue Club ya Kisasa niwe nauza hizi pombe. Komoni (Comon) Mbege Togwa Kangala Chang'aa Kimpumu Wanzuki Mnazi Ulanzi Kibuku Konyagi Mwitu Eneo litakuwa safi na lenye wahudumu wazuri...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Mimi mkulima wa pilipili mwendokasi niko Dodoma mvumi. Naomba nipate connection na madalali wa masoko ya Dar es Salaam
4 Reactions
5 Replies
961 Views
Habari wadau! Huu nimuda wa kutangaza na kupenda vitu vyetu ili kukuza uchumi wetu mtu moja moja na maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla. Taja jina la online business ambazo sio za kitapeli pia...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nauliza kwa mwenye uelewa wa biashara ya tairi za magari mapya magari makubwa na madogo..Aina za makapuni tairi zinazonunulika haraka na imara kwa kipato Cha kawaida na wakipato kikubwa
2 Reactions
2 Replies
864 Views
[emoji3463]BF SUMA Company Profile...... [emoji1911]Maana ya BFSuma ni [emoji1607]B- Bright ,,=mwangaza [emoji1607]F-Future ,,=ndoto/malengo [emoji1607]S- Superior ,,=ubora...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu habari ya majukumu! Nimepata mfadhili anataka awe ananitumia bidhaa kutoka China, kaniambia nifanye utafiti wa bidhaa zinazouzika Tanzania. Msaada wa bidhaa na mtaji unaohitajika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dar es Salaam 16 Machi 2023 – Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Sekta ya Bima (TIRA), pamoja na Benki ya CRDB kwa kutekeleza...
1 Reactions
0 Replies
688 Views
Natamani Sana Kuona Mnakuwa Front Line Kwenye Baadhi ya Vitu. Naumizwa Sana na namna Ambavyo hii idara inakuwa ni ya Siri kweli kweli. Siku Endapo nitapata madaraka huko nitahakikisha mnakuwa na...
8 Reactions
57 Replies
4K Views
Habari zenu, Naomba msaada kwa mtu anayejuwa wapi naweza kununua Rennet ya kutengeneza cheese. Asanteni
1 Reactions
5 Replies
778 Views
Habari zenu ndugu zangu wana JF I hope wote mko salama kwa majina naitwa Fadhili. I think this might sound stupid kwa baadhi ya watu lakini point ni kwamba ninao mtaji wa shillingi million 100...
7 Reactions
84 Replies
11K Views
Habari wana jamvi, nimeiweka mada kama ilivyo hapo juu mm sina uzoefu na kitu chochote kuhusiana na mambo hiyo kitu pi. Kuna siku uliingia ujumbe katika cm yangu na namba ngeni ukielezea vitu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nahitaji wadada wawili kufanya kazi saluni ya kike maeneo ya Pasiansi Sokoni mkoani Mwanza...kwa maelezo zaidi piga simu namba 0657201120 or 0678369477
2 Reactions
1 Replies
488 Views
Nafanya kazi na watu tofauti kutoka mikoani. Mimi napatikana Dar, Mbezi Mwisho watu wanaotaka kununuliwa mizigo au kufanyiwa shughuli zao kwa ufasaha angali wapo mbali. Kwa msaada wa kitu...
1 Reactions
2 Replies
524 Views
Habari wakuu Tujadili mfumo ulioboreshwa wa kuweka TIN number katika manunuzi yako au mauzo yako hivo kufanya vyote vionekane TRA. Mnunuzi na muuzaje watakapo toa au kupokea risit isiyo na tin...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Takwimu zinaonyesha kwamba aslimia 75% ya fedha zinatolewa kwa Taasisi zisizo za Kiserikali (NGOs) hutoka kwa mtu mmoja mmoja (Individual Donors) na asilimia zinazobaki hutoka kwenye Taasisi...
3 Reactions
0 Replies
526 Views
Habarini wanajamvi, Heshima kubwa kwenu maana mmekuwa msaada Sana kwa vijana katika harakati za kujikomboa na umaskini na kuacha utegemezi wa ajira baada ya kumaliza vyuo maana umekuwa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna mambo mengi ambayo yanaweza kukusaidia ufanye biashara yako iwe na mafanikio, kama vile: 1. Kufanya utafiti wa kutosha juu ya soko na washindani wako ili uweze kubuni bidhaa au huduma ambazo...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu kheri ya Mwaka mpya kwenu[emoji113]. Asee wakuu ndugu yenu yamenikuta ya mwezi wa kwanza yani uhitaji wa pesa ni mkubwa kuliko maelezo na katika pitapita zangu mtandaoni nmekutana na...
4 Reactions
20 Replies
8K Views
Wadau tusaidiane, Mimi Nina 5m nataka kuanzisha biashara ya kuuza vitenge vya jumla na rejareja. Je, ni wapi point ya kuzichukulia. NB: Niko Kanda ya ziwa.
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi Wanajamvi, hope mpo poa, Mi ninaomba maoni yenu maana napenda sana ze ushauri from humu jamvini! Sasa nina plan au lengo langu kuu/GOAL ya 5 to 10 yrs ni kujenga Hotel atleast ya nyota 3...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom