Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nahitaji karatasi (rim paper), nipeni muongozo wapi naweza kununua kwa bei nzuri? Asanteni
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakongwe wa Kuuza Vocha naombeni ushauri nitumie njia gani?. Mfano: ILIKUWEPO MOBSTOCK
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mkoa wa Dar es Salaam naomba anayefahamu hizi sigara zinapouzwa anifahamishe na bei yake. Zinaitwa Dunhill.
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Naomba kujua namna ya kuanzisha online TV, taratibu zake na mambo yanayofanana na hayo. Natanguliza Shukurani.
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Kuna Mama mmoja ni nanajuana naye anatafuta Miche ya Dragon idadi ya kutosha anataka kulima pande za Muheza Tanga, kama kuna mtu ana connection inapo patikana aniambie please.
0 Reactions
1 Replies
589 Views
Wadau hamjamboni nyote? Natafuta jiko bora kabisa na la kisasa la plate mbili. Nauliza napata wapi jiko hilo kwa hapa dsm na pia nauliza bei yake. Nauliza pia bei ya mtungi mkubwa wa gesi bora...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu. Naomba mwenye kujua kampuni inayofanya recycling ya vifuniko vya chupa (metal bottle caps) anijuze. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
7 Replies
686 Views
Aisee niaje? Naomba Tupeane ideas,iwe ni practical, unachokifanya sio utuletee mawazo ya biashara usiyo ifanya, Mfano binafsi, biashara ya electronics used kama laptop, unaweza kununua kwa Bei ya...
7 Reactions
19 Replies
4K Views
JIPATIE mashuka ya kudalizi. kwa bei ya kuanzia 40,000/= Hadi 90,000/= Location Dar es salaam. KIGAMBONI. Mawasiliano 0678211747
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Wadau nipeni mbinu au ushauri ukiwa na laki 5 unaweza fanya kabiashara gani, ikakuingizia vipesa kidogo kuliko mtu kukaa bure kabisa?
5 Reactions
7 Replies
2K Views
MBUNGE WA KALIUA AMEITAKA KAMPUNI YA CCECC KUWAPA VIJANA AJIRA Mbunge Jimbo la Kaliua, Tabora Mhe. ALOYCE KWEZI ameitaka kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC)...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba kufahamu kuhusu hizi kemikali ambazo nimeziona watengenezea sabuni za mche na kutumika kama mbadala wa mafuta, sodium palmitate na sodium palmkernelate anayejua kuhusu hizo kemikali.
2 Reactions
8 Replies
859 Views
Ni muhimu kuelewa kwamba kutegemea kipato kimoja pekee hakuwezi kukupa uhuru wa kifedha. Ni muhimu kujenga vyanzo vya mapato mbalimbali ili kuweza kuwa na uhakika wa maisha yako ya baadaye. Kuna...
12 Reactions
16 Replies
2K Views
Waziri wa Nishati, January Makamba, amesema kuwa, majadiliano yanayohusu Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia baina ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji Kampuni ya Shell ya Uholanzi na...
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Nimegundua Jf hata ukianza mada kwa kusalimia, wajumbe hawajibu, bali wanaenda moja kwa moja kwenye kuchangia, hivyo kwa leo, sitosalimia. Kwa wengi hali ni ngumu, iwe walioajiriwa au walioko...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu natumaini mu wazima, Nina mpango wa kuanza kuuza vocha za jumla za mitandao ya Tigo na Vodacom, naomba kujuzwa ni wapi naweza kuzipata na pia kwa lolote linalohusiana na hii biashara...
0 Reactions
109 Replies
49K Views
Nataka kuendeleza biashara yangu ya studio. Plan ni kununua camera na printer machine.
1 Reactions
9 Replies
808 Views
NAIBU WAZIRI BYABATO ASHIRIKI MKUTANO WA NISHATI NCHINI NAMIBIA Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato ameshiriki Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano kati Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na...
0 Reactions
0 Replies
390 Views
Habarini za wakati huu. Mwenye uelewa wa kwanini wafanyabiashara wengi wakienda kununua bidhaa maduka ya jumla wanapenda kwenye zile risiti za manunuzi zitumike TIN NUMBER ZAO, naomba anielezee...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini, Hivi sasa kumekuwa na wizi wa mabenki kwa kuweka tozo nyingi kwenye akaunti za wateja wa mabenki hivyo kujikuta hela zina katwa tu bila sababu za msingi. Mteja ameweka hela zake benki...
1 Reactions
4 Replies
422 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…