Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu poleni na majukumu ya kila siku, Nimechukua frame na kufungua biashara ya Juice ya miwa(machine ya umeme) pamoja na machine ya kutengeneza ice-cream (koni) Tanga mjini. Lakini biashara...
1 Reactions
2 Replies
807 Views
Naomba usome kidogo!!! Hii ni real siyo utani! Mimi ni kijana wa miaka 32 Mnamo mwaka 2014 nilitoka nyumbani rasmi kuja mjini kutafuta maisha, Niliaga vizuri wazazi wangu nikawaahidi kuwa naenda...
78 Reactions
137 Replies
6K Views
Mwenye vibali vya tax mtandao tusaidiane niweke kwenye account yangu.
1 Reactions
4 Replies
643 Views
Wakuu nisi wachoshe saana, nataka kuanza kufanya biashara ya kuuza kuku, niwe na kijiwe changu, niwe naenda vijijini hasa kwenye minada nakusanya kuku then nawaleta mjini kuwauza rejareja...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ipo changamoto ya kuyapata mafuta ya nyonyo yasiyounguzwa katika moto na kuwa meusi. Jamaican black castor oil. Katika kutafuta kupata mafuta halisi ya nyonyo natural yaliyokamuliwa na kuchujwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
MBUNGE MHE. JANETH MAHAWANGA AWAHAMASISHA WANAWAKE KUFANYA KAZI KWA BIDII, UBUNIFU NA KUCHANGAMKIA FURSA Mbunge wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Janeth Elias Mahawanga...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Naomba kuuliza, Kama nikinunua chochote online kwa mfano Aliexpress, je katika kupokea mziogo wangu posta nahitajika kulipa kodi au malipo niliyofanya online yalikuw tax inclusive?
0 Reactions
1 Replies
394 Views
Wakuu Kama nilivyo ainisha kwenye kichwa hapo juu msaada please.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu. Niliweka hii post kule kwenye jukwaa na hoja mchanganyiko lakini sikupata jibu lolote. Nataka kuwekeza kwenye Exchange Traded Funds (ETF) lakini kampuni haina option kuwekeza kwa...
0 Reactions
4 Replies
645 Views
Wadau naulizia maduka ya vifaa vya kompyuta Dodoma yapo mitaa ipi? Nina shida ya kununua vifaa vya kompyuta.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Na GENTAMYCINE naendelea Kuuliza kwanini hawakuwika wala Kutamba Kipindi cha Rais Hayati Dk. Magufuli na badala yake Wameibuka kwa Kasi mno, ya Ajabu na ya Kushtua katika Awamu hii ya Daktari wa...
11 Reactions
129 Replies
11K Views
Ila eneo lipo Mbagala Zakhiem ila bado sijajua nikaweke biashara ghmani kwa huo mtaji nilionao. Naomba ushauri au mawazo yatakayonifanya nijue biashara gani nifanye eneo hilo na kwa guo mtaji.
3 Reactions
14 Replies
3K Views
In short nina eneo ambalo ni very potential kwa biashara ya apartment's, lengo ni kupata mbia atakaye jenga jengo la ghorofa labda 15, yeye akachukua ten floors, akanipatia 5 floors, tukamalizana...
0 Reactions
2 Replies
339 Views
MHE. STEPHEN BYABATO AWAHAMASISHWA WADAU WA NISHATI KUSHIRIKI MKUTANO NA MAONESHO YA PETROLI YA AFRIKA MASHARIKI Wadau mbalimbali katika Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia nchini wamehamasishwa...
0 Reactions
0 Replies
408 Views
Wana Jamii Forums Salaam. Natumai kila mtu ameshakifuta vumbi kichinjio chake tayari kwa ajili ya kesho. Nimekuwa nikiona matangazo mbalimbali ya watu kuagiza Bidhaa mbalimbali toka nje ya nchi...
12 Reactions
35 Replies
7K Views
Hivi majuzi Serikali imetangaza kuruhusu wafanyabiashara kuingiza mchele kutoka nje tani elfu 90. Rai yangu kwa wadau na wafanyabiashara wenzangu wa nafaka ni kupata connection ya wasambazaji...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Dhumuni langu langu la kutengeneza uzii huu ukawasaidie vijana wengii wenye mitaji midogo ambao wanahitajika wasonge mbele kimaisha. Wana jamii tuleteni mawazo ya kujenga mwenye fursa, mwenye...
0 Reactions
2 Replies
633 Views
Mwenye ufahamu wa utengenezaji na uzalishaji wa pombe kali (gin) anisaidie. Hapa nazungumzia kiwanda kidogo cha uzalishaji. 1. Upatikanaji wa material zake - Ethanol na flavor zake 2. Machine...
2 Reactions
16 Replies
8K Views
Habari za wakati huu; Ni matumaini yangu kwamba unaposoma andiko hili na mengine ninayoandika utapata hamasa ya kuingia katika biashara na uwekezaji wa aina tofauti. Leo nimeleta mjadala mdogo tu...
6 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom