Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Jipatie kitabu chako kupitia hapa : Link hii hapa
3 Reactions
9 Replies
347 Views
Salamaleko, Shalom. Kama tunavojua kipindi hiki kwa maeneo ya vijijini ni kipindi cha kuvuna mazao na kuna niliko mimi kwa sasa debe la mahindi lina 7000 na debe la mpunga lina 5000. Maana yake...
31 Reactions
120 Replies
8K Views
Habari, wataalam na wenye uzoefu wa jambo hili naombeni muongozo katika jambo langu hili. Ili kujikwamua na ufukara uliokithiri Nilitaman kufanya biashara ya ufagaji.. Nilionelea nifanye ufagaji...
16 Reactions
143 Replies
10K Views
Habari wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni milioni 45 lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14 Hadi mzingo unakua umeisha. Je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya...
6 Reactions
65 Replies
3K Views
Nimefika nyumbani muda huu namkuta dogo yupo busy kwenye simu yake anatrade kwenye hii kampuni ya mtandaoni Anadai nimsaidie ku withdraw na Mimi nikamwambia awatafute customer care wamsaidie...
5 Reactions
15 Replies
764 Views
Hivi hawa wanaoongea na simu wakati mteja anasubiri huduma ni wamiliki wa biashara au wanakuwa ni waajiliwa? Unaenda mahala wewe kama mteja unakuta huyo anayetakiwa kukuhudumia amepachika simu...
14 Reactions
127 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wapendwa, Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku...
29 Reactions
112 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu? Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu.. Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha. Wengi wanaenda kutafuta...
12 Reactions
75 Replies
4K Views
Habari wadau Kuna mtu yoyote qnaejua biashara ya madini ya shaba kutoka zambia na kusqfieisha kwenye nji nyingine je utaratibu wake up upoje mwenye uelewa ndugu zangu nahitaji msaada
1 Reactions
2 Replies
180 Views
Kweli kila mwenye mafanikio ana siri yake. Wale wa ' niache ajira niingie kwenye biashara' mtayaweza haya ILe tamaa ya kumuona mbona fulani anauza kuliko mimi" hujui siri ya mafanikio yake...
11 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwema wakuu? Naomba kujua laki moja (100,000/-) ya Burundi sawa na shilingi ngapi za Tanzania?
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Swali la Majadiliano: Je, ni muhimu kuwa na cheti cha taaluma uliyosomea ili kufungua kampuni ya teknolojia kama vile Computer(Software Company)?
1 Reactions
4 Replies
197 Views
Habari wapendwa Nina idea ya biashara mtaji usd 200-300 Nahitaji mwekezaji tupeane mikakati ya kisheria tufanye kazi 0622998765
2 Reactions
11 Replies
243 Views
Habari wakuu poleni na majukumu Nina wazo la kufungua Biashara ya vinywaji baridi Kwa bei ya Jumla Kwa maeneo ya Tanga. Nilikua naomba kujua je mtaji wa kiasi gani naweza kuanza nao? (Kima cha...
5 Reactions
31 Replies
29K Views
Dalali wengi katika biashara ya ardhi, nyumba, mashamba, na mazao hutumia udanganyifu na ulaghai ili kuvuta wateja. Wanaahidi mali nzuri na fursa za haraka za utajiri, lakini mara nyingi...
1 Reactions
0 Replies
153 Views
Wakuu, Uzi huu ni kwa ajili ya kutaja miji midogomidogo ndani ya nchi yetu ambayo ina vibe kubwa kama miji mikubwa na ina fursa za kibiashara lakini haivumi wala kujulikana sana na watu. Mimi...
38 Reactions
240 Replies
17K Views
Ulikuwa na miaka mingapi pale ulipoweza kutengeneza million yako ya kwanza.?? Binafsi. I was 22 nilipotengeneza 1m nilikuwa school chuo mwaka wa pili hapo nilikuwa karibu sana na walimu wangu...
13 Reactions
127 Replies
16K Views
Habari! Wadau ni procedure gani unatakiwa kuzifuata kwa ajili ya kuanzisha kiwanda kidogo tu kwa ajili ya kutengeneza pombe aina ya gini. Kama zile ambazo zipo mtaani kina shujaa na wengine...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu nimemaliza chuo mwaka huu hata joho bado sijavaaa yaani Sitaki kuwa kama graduates wengine kuendekeza aibu au kuwa na yale mawazo ya watu watanionaje hapana. Yaani bila kupoteza muda hapa...
25 Reactions
175 Replies
4K Views
Wakati tunasubiri nchi kunyooshwa na Rais na kusubiria ntantalila za CCM Nawashauri vijana wenzangu na wazee kuwekeza kwenye uwekezaji huu wa mitiki Ingieni mtafute maarifa ya huu uwekezaji...
22 Reactions
140 Replies
18K Views
Back
Top Bottom