Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mamlaka ya Mapato Tanzania naona imebuni njia ya kutoa elimu kwa mtandao na hii wamekuja na kuhusiana na uboreshaji wa mfumo wao wa e file
1 Reactions
1 Replies
392 Views
Huu mkoa gharama za maisha zipo chini sana. Mtu akishindwa kuishi huku basi ni bora afariki. Nimefika hapa na kushangaa guest house nzuri kabisa na ipo sehemu nzuri, haina mambo ya hovyo lakini...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Habar za mda huu ndg na Jamaa ktk jukwaa hili. Mimi binafsi akili imegoma Kujenga nyumba 11, kila nyumba iwe na vigezo vifuatavyo. 1.S/room 1 2. Vyumba vya kulala viwili kimoja master 3. Jiko 4...
18 Reactions
173 Replies
14K Views
Habari guys Kuna kitu watu wengi huwa hawakisemi ila kwa utafiti wangu na bado najiuliza kwanini watu huwa hawakisemi kufanya kazi kwa kuaminianaau makubaliano. Unafanya biashara na watu unawapa...
9 Reactions
33 Replies
3K Views
Akili haikuwa sawa wakati huo, sikupiga hesabu vizuri ndio nashtuka saa hizi. Mbaya zaidi niliyemrudishia alikuwa anatoka kanisani dhehebu fulani nililokuwa naliamini sana. Nawaomba mkizidishiwa...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Benki ya CRDB imekabidhi kituo cha mawasiliano katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road ikiwa ni matokeo ya fedha zilizokusanywa katika mbio za CRDB Bank Marathon 2021. Kituo hicho cha kisasa na...
0 Reactions
1 Replies
533 Views
Wakuu kuna hii biashara ya shisha ambayo naona bado haijagunduliwa na wengi haijasambaa sana lakini naona ina wadau wengi (wateja). Kuna mwenye details za hii biashara aweze kushare na sisi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wasalaam Ni mimi C.T.U nimekuja tena kwa mara ya pili leo nimeota ndoto ambayo nafikiri ni ndoto fulani ambayo nimeamua nije kuzungumza na nyinyi ndugu zangu TTCL Ndoto yenyewe ni kuwa TTCL...
12 Reactions
34 Replies
5K Views
Jamani wadau naomba kwa mtu yeyote anayejua zile kampuni zinazokopesha bajaji na kurudisha kwa siku aniunganishe nao. Nipo Morogoro
4 Reactions
23 Replies
6K Views
Jamanii embu nielezeeni utofauti kati ya kubet na kufanya biashara lakini nahisi kama zinaendana hivi embu tudiscuss hii mada kwa hoja zakueleweka
0 Reactions
4 Replies
540 Views
Habari ndugu! natumaini mnaelendelea salama. Naomba kufahamu chimbo la mafuta ya kupikia hasa haya ya Mico Gold nahitaji nipate kwa bei ambayo itaniwezesha mimi kuuza kwa bei ya jumla kwa wateja...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii ni kampuni inayokopesha Sola kwa matumizi ya nyumbani vijijini. Walikuja huku Nyamanoro na kuweka matangazo yao. Kwenye maelezo ya mdomoni wanajua kushawishi, sasa ukiwalipa Pesa ya kianzio...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwanini Jamiiforums haina matangazo kama tunavyoona blogs nyingine zinavyoendeshwa wanagenerate vipi mapato yao wanatumia vipi hawa wafuasi wao kuwa na fedha kwa kupitia matangazo madogomadogo...
0 Reactions
1 Replies
480 Views
Wakuu habarin mm ni kijan naomben wazo la biashara ambalo Mtaji hauzid laki 5 nipo Mwanza
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Najaribu tu kuwaza Kwa sauti. Nashindwa kuelewa hapa nipo Tanzania kweli au naota.
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu, habari za muda huu? Naomba tupeane uzoefu, Je unawezaje kufanya ufuatiliaji wa biashara ya Nyumba ya kulala wageni iwapo utakuwa Mkoa tofauti na ulipofungulia biashara yako? Nimepata...
7 Reactions
120 Replies
20K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale watu wanaofanya biashara za mitandaoni na zisizo za mitandaoni ambao wanataka kuzitangaza biashara zao, tuna group la WhatsApp ambalo lengo lake kubwa ni kupigana tafu...
2 Reactions
2 Replies
474 Views
Niliomba ushauri huku mkanipa vizuri kabisa nikaenda kufanyia kazi. Nilifanikiwa kupunguza deni kwa mtu mmoja ila bado deni langu kubwa sana. Alafu mzigo dukani umeshuka sana mwezi wa kwanza...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hello Wapendwa naomba mnisaidie kwenye kujua wapi naweza pata matunda haya hapa chini kwa bei nzuri au mfanyabiashara anayeleta mengine yanatoka South Africa naomba msaada jamani. IMPORTED ITEMS...
0 Reactions
1 Replies
289 Views
Huu ni mwendelezo wa mada nilizokuwa nikiandika i) Treasury bills ii) Treasury bonds (Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)) iii) na leo ni FOREX TRADING (Fahamu utajiri...
63 Reactions
158 Replies
75K Views
Back
Top Bottom