Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Graduates wengi tunachanganywa na vyeti vyetu na zile picha za majoho kwamba tukimaliza tunategemea kwenda kufanya kazki katika shining new office, tupige picha na kupost kuonyesha colleagues...
20 Reactions
75 Replies
6K Views
Habari wanajamvi, Mungu akipenda hivi karibuni natarajia kufungua mgahawa hapa Dar, kuna maeneo kadhaa nayafatilia kama nitapata mojawapo nitakuja tena kuwatangazia. Mgahawa wangu utaitwa Mihogo...
8 Reactions
41 Replies
2K Views
Tim hakua na uwezo mkubwa wa masomo darasani, kuna mtu alinisimulia kuwa jina la Weartherspoon lilikua jina la mwalimu wake aliyemtakia kwa hasira “Tim you’re good for nothing, you can not write...
6 Reactions
3 Replies
795 Views
Naomba kujua kwa yeyote anaejua soko la asali mbichi (pure) Tanzania?
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Zama za leo kama wewe ni mfuasi wa kuifurahisha nafasi yako kupitia kwenye kumbi za starehi ni wazi uwezi kukosa kinywaji cha Redbull. Hichi ni kinywaji cha nguvu (energy drink) ambacho eneo...
2 Reactions
1 Replies
486 Views
Tigo kupitia huduma yao ya BUSTISHA leo siku ya 3 imetukata wateja wake mara mbili ya kiasi walichotakiwa kurudishiwa na wateja lakini mpaka sasa tunahangaika kuwapigia simu wanachojibi ni majibu...
2 Reactions
2 Replies
6K Views
Freelancing jobs: Hizi ni kazi za mtandaoni ambazo mtu unafanya ukiwa katika ofisi yako ama nyumbani kwako zinaitwa freelancing jobs, ajira hizi unakuwa hujaajiriwa na mtu yeyote bali umejiajiri...
6 Reactions
18 Replies
5K Views
Niliwahi kuandika juu ya wakala wa NMB aliyekuwa ana double transactions bila ridhaa ya mteja. Alipiga wateja wanne kama 20m hivi. NMB hawakuchukua hatua dhidi ya wakala huyo. Leo ninaandika tena...
15 Reactions
94 Replies
9K Views
Je, ulishawahi kuwa na wazo la kufanya biashara au kazi lakini hauna mtaji? Pengine unahisi fedha ndio changamoto? Usijali, basi upo eneo salama. Unaweza kujifunza mengi kupitia: Upendokitundu...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana jf Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana mjasiliamali nimekua nikifanya biashara tofauti tofauti kwa muda sasa na kila siku nawaza kufanya kitu kipya Nipo hapa kwaajili ya msaada...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ukiachana na hasara nazo zipata ndugu yetu mfuga kuku kwenye biashara yake kutokana na uzembe wa kuto fatilia mwenendo wa biashara yake bado Tatizo la hesabu kuto ku balance ni Tatizo kwa wafanya...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari ya jioni wakuu, Nianze kwa kusema kwa upande wangu nipo vizuri. Nipo napata coffee [emoji477]️ya moto muda huu. Kuna baridi hapa Arusha kwahiyo hii coffee inanifanya nijisikie murua kabisa...
5 Reactions
15 Replies
41K Views
Habari wakuu. Kuna exchange traded funds (ETF) za kampuni ya Marekani nilitaka kuwekeza kidogo ila wanahitaji tu US residents. Kama kuna mtu anamjua broker ambaye naweza kufungua akaunti kupitia...
0 Reactions
0 Replies
342 Views
Husika na kichwa taja chajieleza Naomba Mnipe Strategic Areas, ambalo naweza kufungua Kituo Cha Afya, isipokuwa ndani ya Mkoa Wa Dar Es Salaam.
5 Reactions
54 Replies
6K Views
Wanajukwaa wenzangu tunaopenda kufanya kazi za online na watukutoka nje ya nchi nilikua naomba kuulize hivi payoneer inaruhu kupokea pesa toka nje ya nchi??
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari. Sina ujuzi ktk project Napenda kuelimishwa kwa lugha nyepesi. 1. Terms of reference ni nini unapotaka kuanzisha project. Project yangu inafocus kuanzisha kamati itayo organizing...
0 Reactions
3 Replies
450 Views
Wanajf mimi pamoja na kuwa muumini mzuri wa kulipa kodi hali inazidi kuwa mbaya.Mwezi julai wakati naanza kuuza haka kagenge nilikuwa nauza hadi sh.80000/= kwa siku nikaenda TRA wakanipa tin...
0 Reactions
29 Replies
20K Views
Niliziea kukuona ukiuza chupi (boxer) sox na singland(carwash) sijui kwa nini huitwa hivi. Nimekuona toka 2017 ukiuza hivi vitu kwa kupita kwenye bar na migahawa mikubwa. But hivi karibuni...
2 Reactions
4 Replies
457 Views
Habari za majukumu, Nani anaijua biashara ya accessories za simu kama cover, glass, spare no? Tusaidie kujua ni Vitu gani mtu afanye kama anaanza ni cover or glass zipi aanze nazo. Asante kwa...
5 Reactions
60 Replies
12K Views
Back
Top Bottom