Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwema wakuu. Maisha yetu yanakuwa magumu, fedha yetu inakosa thamani. Hivi kama taifa likatelekeza shilingi na kuanza kutumia dolar ya Marekani tataathirika ama kufaidika na nini?
2 Reactions
46 Replies
2K Views
Nimejaribu kufikiri. Kutokana na changamoto ya ajira nchini ambapo serikali imeajiri watu wasiozidi milioni moja kati ya watanzania milioni sitini ambapo nguvu kazi ni zaidi ya watu milioni...
1 Reactions
1 Replies
442 Views
Je, umekua ukisikia tuu swala la kuwa na website lakini hujaelewa kwanini haswa uwe na website kwa ajili ya biashara au asasi yako isiyo ya kiserikali (NGO)? Au unayo website lakini haujaona bado...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wiki iliyopita nilitoka Moshi nikaenda kumtembelea classmate wangu pale Arusha. Jamaa ni engineer wa computer. Jumapili baada ya kula Ibada Safi na kwaya kali pale St. Theresa tuli-mount XR 250 na...
19 Reactions
225 Replies
21K Views
Nimekaa nikawaza nchi Kama marekani ugoro unauzwa supermarket lakini huku watu wananua kwa kujificha utazani kwamba ni kitu haramu. Hatua ya kupackage ugoro kwenye small can tins ika create ajira...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu habari. Naomba niende straight kwenye mada. Nakumbuka miaka imepita kidogo, niliwahi kusoma mahala pameandikwa kuwa Auditing Firms azitakiwi kujitangaza kama aina nyengine za biashara...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za wakati huu; Kwanza nianze kwa kuwapa pongezi wale wote ambao wamejitosa na kuamua kuanzisha biashara zao ndogo na za kati.Changamoto ni nyingi na muda ni mchache na Fursa nazo ni...
1 Reactions
0 Replies
877 Views
Jukwaa la Uchumi limesema licha ya kuwepo kwa dalili za kupungua kwa Mfumuko wa Bei, Mataifa ya Afrika yataendelea kukabiliwa na mwaka mgumu kwa sababu ya agizaji Bidhaa nje na Mishahara Duni ya...
1 Reactions
3 Replies
749 Views
Aisee bank wezi sana. Mwezi wa 7 nlikopa CRDB milion 20 kwa mkopo wa miezi 36 ambapo kuna riba ya 4 miln. Nikaenda kufanya ujenzi Mwanza. Sasa bana nikapata dharura inayohitaji hela kama 3 miln...
6 Reactions
31 Replies
6K Views
Hello jamaa zangu, Tumaini langu mnaendelea vizuri. Nahitaji kupata pikipiki Kwa ajiri ya biashara ila pesa yangu ni kidogo sana. Ningependa kujua kama Kuna wadau wanayajua makampuni...
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Habari zenu wadau, Ninaomba kufahamu bei za mafuta ya alizeti, nahitaji kwa wingi.
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Naomba kujua process za kusafirisha nafaka kuingiza Zanzibar na vibali vyake vikoje pia ushuru umekaaje.
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Here is the man who makes 161 million FCFA of turnover per day, His name is Obasanjo the former president of Nigeria nicknamed the king of livestock in Africa. The man indirectly employs 7,000...
4 Reactions
18 Replies
983 Views
Habari wanajamvi, Kwa sisi wa maisha ya kawaida, fursa hupatikana pale mtu anapohama au kuuza vitu kwa bei ndogo kwa ajili ya kutaka kununua kingine. Especially wakipatikana wale wageni ambao...
0 Reactions
3 Replies
559 Views
Habari wakuu nasogeza hoja mbele yenu nahitaji msaada na muongozo nina goli langu la uwakala sasa nataka nijiongeze sababu ofisi imepwaya na uzuri namshukuru Mungu uwakala umeitika vya kutosha...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau, nina 200 million TZS, je niweke fixed account benk ipi yenye interest nzuri ya mwaka? Asante Michango ========== Mkuu salute! Seriously fanya haya kwa pamoja baada ya miaka 5 utakuja...
3 Reactions
94 Replies
17K Views
Wanajamvi nawapa salamu, Nina mtaji wa 100,000 naomba wajuzi wanijulishe biashara inayoweza kunipa 1000 au hata 500 kwa siku. Nipo DSM Ahsanteni nyote.
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakati huu maeneo mengi yanavuna mpunga, na tayari mchele mpya umeisha anza kuuzwa, kwa yule kijana mwenye uchu na mafanikio ni wakati wa kutengeneza pesa tena kwa mtaji kidogo. Biashara ya...
22 Reactions
89 Replies
47K Views
Hes
72 Reactions
419 Replies
128K Views
Chaos wazee na vijana leo nimekuja na KANUNI UNAZOTAKIWA KUZINGATIA KUHUSU FEDHA KANUNI NO. 1 Kamwe usikope fedha na hasa ya riba kwa ajili ya kuanzishia biashara (isipokuwa kwa mkopo ambao...
34 Reactions
52 Replies
18K Views
Back
Top Bottom