Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwa anejua kampuni inayokopesha pikipiki
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wa ndugu. Naulizia yard ambayo naweza kupata gari aina ya Totota Town Cruiser. Najua Toyota wanazo ila wanauza mpya na bei zao siziwezi. Nawasilisha
2 Reactions
46 Replies
2K Views
Wakati naanza kufanya biashara ya maji wengi walinishangaa na kusema ona huyu mchaga anatuuzia maji lakini leo maji ya Kilimanjaro ni miongoni mwa biashara kubwa. Huyo ni The Late Dkt. Reginald...
2 Reactions
12 Replies
882 Views
Wakuu habari.. Nipo Moshi, nina gari aina ya IST natamani kutumia gari hii inizalishie tofauti nakuitumia kupigia misele mjini. Naombeni wazo ni bidhaa gani naweza kusambaza kwa wateja...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Binafsi sijamuelewa maan kwa takwimu ya maeneo niliyopo mpka kufika sasa bei za nafaka ni kam zifuatazo 1,mchele 2800 kutoka 1000 2,maharage 4400 kutoka 1800 3,mahindi 28000 kutoka 11500...
0 Reactions
7 Replies
501 Views
Nahitaj mifuko ya aina hii. Mifuko elf 10.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
You can make money from natural soaps. Natural soaps are the kind made from ‘natural’ ingredients as opposed to synthetic ones For instance, goat milk, turmeric, moringa, rice milk, coconut and...
0 Reactions
0 Replies
441 Views
Shalom, December 2022 nilienda likizo nyumbani, nimefika nimekuta wamejenga kituo kipya na kikubwa Cha Polisi. SI mbali na makazi yetu ya asili, nikawaza namna ambavyo naweza kuanzisha biashara...
5 Reactions
63 Replies
3K Views
Habari wapendwa. Polen na majukumu ndug zangu. Shda yangu ni kuelekezwa FAIDIKA ipo maeneo gani hapo mkoani mbeya. Kwa anaejua, karibu, niPM
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Asilimia 95 ya biashara zinazoanzishwa zinakufa ndani ya mwaka mmoja Asilimia tatu zinakufa ndani ya miaka mitatu Asilimia mbili tu ndo zinafanikiwa Kuna sababu kuu tatu zinazoua biashara 1...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa mwisho...
10 Reactions
38 Replies
5K Views
Anaandika Dr Christopher Cyrilo Jana nilipata bahati ya kutembelea Malembo Farm na kukutana na rafiki yangu Lucas Malembo. Nimshukuru Malisa GJ kunileta kwenye darasa hili la kilimo na ufugaji...
4 Reactions
2 Replies
912 Views
Wadau Habari Za wakati huu! Niende moja kwa moja kwenye maada, nimekuwa nikifanya survey katika maeneo flani huko mikoa ya nyanda za juu kusini na kugundua kuwa kuna malighafi nyingi ya miwa...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Kwema wandugu? Leo kero yangu kubwa nawapa CRDB, yani mtu unatoa kiasi kama kishika uchumba upate machine ya CRDB wanakaa na pesa yako karibia wiki mpaka wiki mbili kimya no machine (uwakala wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hello, Habari za wakati huu ndugu zangu wa JF. Naomba msaada kama kuna mtu anafahamu ninapoweza kupata chocolate na gift boxes kwa bei ya jumla ama kama kuna mtu anafanya biashara hiyo...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari, Nataka niwe nasafirisha nyama kutoka Tanzania bara kupeleka Tanzania visiwani. Mwenye uzoefu wa hii biashara naomba anifahamishe kuhusu namna ya kupata vibali na nyaraka zote...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wataalamu ambao mpo katika tasnia ya digital camera, naombeni mnisaidie kunipa machimbo ya maduka yanayouza camera nzuri na imara kwa Dar es salaam, nimejichanga nataka nianze mishe za upigaji...
1 Reactions
8 Replies
850 Views
Bado TUNAPOKEA MAOMBI KWA WALIOKOSA VYUO KWA KOZI YA LABORATORY ASSISTANCE KWA NGAZI YA CERTIFICATE [emoji95]HII NI KOZI YA MWAKA MMOJA NA ADA NI NAFUU SANA [emoji95]1,000,000 TU INALIPWA KWA...
1 Reactions
2 Replies
262 Views
Karibuni
0 Reactions
2 Replies
204 Views
Habar wana JF Hii biashara ya duka dah ni biashara nzuri but imejaa hofu kibao kwanza wenyewe kwa wenyewe mnarogana Chengine jamii inatuchukulia sisi wenye maduka tuna Uhuru wa kipesa lakini si...
12 Reactions
110 Replies
19K Views
Back
Top Bottom