Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Siku hizi kila nikiwa nahitaji huduma za kibenki hasa nikiwa Kkoo au posta nikienda Tawi lolote la Crdb lazima nipate maudhi. Hadi najiuliza ni Mimi Tu nnaeona kuna shida mahal? Asubuhi moja...
6 Reactions
59 Replies
4K Views
For carrying out various activities, business requires money. • Finance, therefore, is called the life blood of any business. • A business cannot function unless adequate funds are made available...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomben mnisaidie ni jinsi gani naweza kupata muwekezaji kutoka china biashara ambayo natak tuwekeze ni viatu vipya Kkoo
0 Reactions
0 Replies
408 Views
Falling stock markets have wiped out more than $9 trillion in wealth from U.S. households, putting more pressure on family balance sheets and spending. Americans' holdings of corporate equities...
0 Reactions
7 Replies
567 Views
Habari, Ni mjasiriamali wa Bidhaa za Ufugaji na Kilimo [(Mayai, Kuku na Kanga) (Mafuta ya Alizeti na Asali)]. Naomba Kufahamu Machache kuhusu:- 1. Uwezekano wa Kufanya Kazi katika visiwa vya...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Jamani mimi nataka nifanye hii kazi, nina vijana watatu, hivyo nataka nifungue vibanda vitatu sehemu tofauti kwa hapa Dar, kuna yeyote anafanya au alishafanya hii kazi? Nipeni uzoefu wenu jamani...
4 Reactions
50 Replies
12K Views
Habari wanabodi, Nimekuwa nikisikia biashara ya mashuka kutoka nchi jirani ya Uganda. Kuna mwenye kujua upatikanaji wake, yaani duka, mtaa, bei n.k?
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Kwa maneno machache mno , Business plan ni andiko la kibiashara ambalo unaelezea wapi uliko kwa sasa, na wapi unataka kwenda (Future),ukielezea mikakati (strategies) utakayotumia kufika huko...
8 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, niko kanda ya ziwa huku kwenye mgodi x, kazi kubwa ninayofanya ni kununua mawe na kwenda kusaga mwaloni, kukamua na kuuza marudio. Miongoni mwa changamoto kubwa zinawakabili...
1 Reactions
0 Replies
405 Views
JIFUNZE KUTENGENEZA SABUNI ZA MAJI Katika harakati zetu za utafutaji wa pesa leo ninaomba tuzungumzie kuhusu utengenezaji wa sabuni.Sabuni hizi unaweza kuzitumia katika kufulia,kuogea,kuoshea...
4 Reactions
6 Replies
7K Views
Nimejaribu kufanya biashara kwa uwezo wangu naona nakwama kunawakati unafika nashindwa kuelewa hii ni kweli au kuna mkono wa mtu. Mwanzo nilianzisha Electronic money transefer mitaa fulani...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari wakuu Naimani wote mko salama, Mungu anazidi kutuonyesha upendo wake. Nimekuja kwenu kuomba msaada kuhusu duka la vifaa vya watoto. Kwa muda sasa Mama yangu amekuwa akipenda sana hii...
2 Reactions
19 Replies
10K Views
Kama kuna kazi za wasanii zilizofanyika miaka mwaka 1920 basi hati miliki zake zilishakwisha mda wake. Kazi inayofikisha miaka 100 inakuwa aina tena hati miliki na ukirudia uwezi kushtakiwa wala...
2 Reactions
5 Replies
334 Views
Salaam Naomba Msaada wapi naweza para vifaa vifuatavyo napayikana mwanza. 1. Sodium laural Ether Sulphate(Ungarol) 2. Linear alky benzene sulphonic acid, 3. Coconut diethsnoline (C.D.E) 4...
0 Reactions
3 Replies
378 Views
Wakuu naomba kufahamu faida ya kuwa na kampuni namaanisha zilizosajiliwa kisheria? Na pia kampuni inahitaji mtaji kiasi gani (kiwango cha chini) na kwa namna gani naweza kumiliki kampuni?
3 Reactions
20 Replies
11K Views
Kama kuna Mtu ambae aliwahi Lala mahala au mfanya kazi ambae ana experience na hiyo kazi naomba atoe muongozo kuhusu Usafiri, gharama za vinywaji pamoja na chakula. Kama kuna Manager/ Accountant...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hello wadau, natafta kijana anayejua kufanya hairdressing ikiwemo natural hair treatments pamoja na kusuka dreadlocks. Saloon ni mpya ya kisasa, ipo Tegeta Salasala. Kwa mawasiliano WhatsApp...
0 Reactions
0 Replies
328 Views
Wanabodi salama? Nafikiria kuingia kwenye biashara ya tiles (ceramic na porcelain) importing kutoka nje ya nchi. Nna uelewa kidogo wa hizi products kupitia kwa mafundi wa tiles na kudeal na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba comment zenu wakuu
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Salaam....[emoji41][emoji410] Baada ya utafiti wangu wa muda kwenye soko la forex nimekuja na vitu ambacho naamini vinaweza kuwa ni msaada mkubwa sana kwa wapambanaji wenzangu wanaotaka...
13 Reactions
50 Replies
6K Views
Back
Top Bottom