Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Salaam nyote, poleni na mihangaiko ya utafutaji. Wakuu mm ni mfanyabiashara wa kuuza samaki kutoka ziwa Victoria hawa sato na sangara, nikiri tu kwenye biashara hii ni mgeni yapata miezi 8 sasa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, Tukiwa kwenye sherehe za wakulima leo tarehe 08/08/2024 nimepata wazo la kuanza biashara ya hardware kwa mtaji mdogo wa milioni 10, hapa nimelenga kugusa karibu kila sector...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
WAZIRI MAVUNDE - BENKI KUU YANUNUA TANI 2.6 ZA DHAHABU INAYOCHIMBWA NCHINI ▪️BoT yanunua dhahabu yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 570 ▪️Asisitiza dhamira ya Tanzania kuwa miongoni mwa...
3 Reactions
2 Replies
219 Views
Ndio maana wengi wanakimbia ukanda huu wa biashara Unakuta unakosa nguvu na kuwa na variety nyingi dukani za kuvuta wateja wasiondoke kwa maana wasikose bidhaa fulani dukani kwako Kwa hio kama...
2 Reactions
11 Replies
606 Views
Wakuu habarini za wakati huu. Husika na madam tajwa hapo juu, Nina elimu ya Shahada ya kwanza katika tasnia ya teknolojia ya habari na biashara. (Businesses Information Technology). Usiku wa...
7 Reactions
53 Replies
2K Views
Wazoefu na Kariakoo tupeni ujuzi wenu mnaotumia kusafirisha mizigo yenu mbalimbali baada ya kuinunua na kuhitaji kuisafirisha kwenda mikoani kwa njia rahisi na nafuu. Asanteni
2 Reactions
57 Replies
5K Views
Karibuni jamani niwaelekeze sehemu za kupata mitumba safi hasa kwa wale wenye vipato vidogo na unataka kuanza biashara usisubiri hadi upate mtaji mkubwa unaweza anza na kidgo nitakuonesha sehemu...
2 Reactions
4 Replies
619 Views
Kuuza nguo mtandaoni ni mojawapo ya fursa kubwa za biashara zinazochipukia kwa kasi nchini Tanzania. Ukuaji wa teknolojia na ongezeko la matumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram...
2 Reactions
1 Replies
662 Views
Natafuta crate tupu za Soda kampuni ya Pepsi na Koka
2 Reactions
0 Replies
129 Views
Habarini wana jf. Nimepata mtaji laki moja.je nifanyej ili nipate elfu mbili mpk elfu tano per day. @everyone
10 Reactions
90 Replies
9K Views
  • Poll Poll
MWAKAWASILA CONSULTANT Ni mshauri wa kifedha ni mtaalamu anayetoa ushauri wa kitaalamu kuhusu usimamizi wa fedha, uwekezaji, na kufanikisha malengo ya kifedha. Huduma zake mara nyingi...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
Almasi ni miongoni mwa vito vya thamani (gemstone) na ni madini magumu na ghali zaidi kuliko madini yote katika uso wa dunia. MATUMIZI YA ALMASI Almasi inatumika katika matumizi tofauti tofauti...
5 Reactions
56 Replies
9K Views
Ndg zangu habarini za majukumu? Naomba ushauri au msaada nini nifanye juu ya hili: Mimi ni mjasiliamali nafanya uchuuzi na taasisi za umma na serikali, mwaka jana wote biashara haikuwa nzuri hasa...
0 Reactions
8 Replies
354 Views
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana. Binafsi nimepambana hapa...
37 Reactions
379 Replies
46K Views
Leo naomba nitoe elimu fupi Juu ya Hisa,,,,Hisa ni nini,faida yake ni ipi na mtu unawezaje kushiriki.... Karibuni katika Darasa hili by Mwalimu Architect Kabla ya kwenda moja kwa moja kwenye...
16 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu, Naomba aliewahi kufanya biashara ya vyakula mtandaoni anatafutaje wateja Mimi nipo Arusha
1 Reactions
1 Replies
165 Views
Tunasema… Moja ya eco – system zenye PESA nyingi zaidi duniani basi ni pamoja na… “MPIRA WA MIGUU” A.K.A… SOKA! Yaani… Ukikaa sehemu yoyote ile ndani ya MCHEZO wa mpira wa miguu basi una...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wa JF Nilikuwa naomba msaada wenu wa ushauri Kwa wanao kufahamu vizuri Dodoma na wanaofanya biashara mbali mbali Dodoma. Kwa Sasa nipo Morogoro lakini nataka nifanye...
4 Reactions
5 Replies
596 Views
Hebu tuchambue vipi "MADE IN CHINA" imeleta taharuki na dhana potofu hadi watu wanahangaika bila sababu na kupoteza pesa Nyingi. 🤔 1. Mfano mzuri ni ving’amuzi vya Azam TV! Ving’amuzi vya Azam...
7 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…