Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ugomvi kati ya wateja na wauzaji wa simu, hasa hizi used za Dubai au refurbished, ni jambo linalotokea mara nyingi. Mara nyingi, chanzo kikuu ni pale simu inapoharibika, na mteja anataka...
18 Reactions
54 Replies
3K Views
Nina mwaka tangu niajiriwe Serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa, naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara. Kabla...
7 Reactions
62 Replies
3K Views
Habari za wakti huu; Ni matumaini yangu kwamb mnaendelea salama na Shughuli zenu za upambanaji na utafutaji wa Riziki; Leo nimeona nilete mada ambayo kwa wajasiriamali wengine inaweza kuwa na...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Do you want to start any of the following 70 businesses? • Precast Concrete Products (Cabro) Making • Maize Milling • 15 Unique & Untapped Ideas • Quarry • Motorcycle Spare Parts Retail •...
3 Reactions
7 Replies
367 Views
This guide looks at the edible oil markeT, with a focus on a Peanut Oil business. Is there an opportunity? How do you seize the opportunity? What are the technical and financial details...
0 Reactions
1 Replies
120 Views
WAkuu hivi naomba kuuliza kama una milioni 30 inatosha kuchukua mzigo china ila pesa hiyo hiyo ndio yakufanyia clearance bandarini na kupakia mzigo kutoka china kuleta hapa na kama inatosha ni...
1 Reactions
8 Replies
271 Views
Biashara ya nguo ni moja ya njia maarufu na rahisi ya kuanza kufanya biashara online. Katika makala hii, tutachambua jinsi unavyoweza kuanza kuuza nguo mtandaoni kwa kutumia mbinu rahisi na ambazo...
0 Reactions
1 Replies
681 Views
Fundi ujenzi mwenye maarifa ya kazi yake anaweza kufikia wateja wengi zaidi kwa kutumia mitandao ya kijamii na mbinu nyingine za kidigitali. Katika makala hii, tutajadili hatua rahisi ambazo fundi...
0 Reactions
1 Replies
170 Views
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽 1 kwa 1 kwenye mada yangu kama vile kichwa kinavyosema. Najua una HAMU ya kujua wabongo wengi hufanya kosa gani ktk biashara huko ONLINE. Binafsi, nmepita katika...
4 Reactions
8 Replies
367 Views
Habari wanajamvi naomba kuelekezwa jinsi ya kuandaa robo ritan za BOT. Kwa upande wa biashara ya microfinance
0 Reactions
5 Replies
191 Views
unaweza kutumia mtandao kupata wateja wapya na kukuza biashara yako. Hapa kuna njia rahisi za kufanya hivyo: 1. Tengeneza Profaili ya Kuvutia Kwenye Mitandao ya Kijamii Mitandao kama Facebook...
2 Reactions
4 Replies
210 Views
Huduma za kuwasilisha Ritani na ulipaji kodi KWA HUDUMA YA HESABU ZA KODI (FINANCIAL REPORT) RITANI ZA TRA (TRA RETURN) RITANI ZA VAT (VAT RETURN) SDL, PAYE, WCF KWA HUDUMA YA MAKADIRIO YA KODI...
0 Reactions
1 Replies
727 Views
  • Poll Poll
Nauza Biashara Yangu ya Vipuri vya Pikipiki na Matairi Kwa sababu za kibinafsi, nimeamua kuuza biashara yangu ambayo imenishinda. Hii ni fursa nzuri kwa mtu mwenye nia ya kuwekeza kwenye biashara...
0 Reactions
6 Replies
348 Views
Ni tufanye hawa wote hawana akili kuwekeza hapa. Je, unashindwa kujiuliza kwanini watoe pesa huko duniani $3.51 Trillion kwa kuwekeza sehemu ambapo hapaeleweki??🤔 Ndugu yangu nikupe siri kila...
0 Reactions
10 Replies
381 Views
Baadhi ya mahitaji ya wadau: Naombeni kupewa orodha ya maduka ya suti za kiume (za kisasa) yaliyopo Kariakoo. Nahitaji kuyazungukia. Kwasababu ya muda siwezi ku-design kwa fundi ndo maana nataka...
8 Reactions
3K Replies
783K Views
Wakuu habari nahitaji msaada wa kujua gharama za kusafirisha mzigo kutoka mbeya kuja arusha (tani 14) na kahama kuja arusha(tani 10). Bidhaa ni mchele Kwa anaejua gharama naomba msaada
0 Reactions
3 Replies
270 Views
Kuna soundbars aina ya SKYWOOD, 470 Watts naiona katika matangazo katika social media tofaut tofauti Mwenye uzoefu na aina hii ya mziki alete uzoefu wake Binafsi napenza mziki mnene uliochujwa...
1 Reactions
12 Replies
452 Views
Habarini wanaJF? Naomba kuuliza hivi ni wapi naweza kupata bajaji ya mkataba kwa hapa manispaa ya Kahama?
1 Reactions
4 Replies
258 Views
Wakuu hii ni fursa ya kupiga pesa au mimi ndo fursa yenyewe?
3 Reactions
25 Replies
736 Views
Habari wadau, moja kwa moja kwenye mada. Ni biashara gani ama huduma ipi unaweza kufanya ambayo haina BEI ELEKEZI, yani bei unajipangia wewe mwenyewe? Mfano wa biashara za bei elekezi nin kama...
1 Reactions
6 Replies
443 Views
Back
Top Bottom