Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Content creators au watengenza maudhui katika mitandao ya kijamii huingiza pesa katika namna mbili. Namna ya kwanza ni ile ya kulipwa na platform husika (mf. X.com, tiktok au YouTube) Namna ya...
10 Reactions
25 Replies
941 Views
Habari yako Mimi ni kijana ambae nilitumia mtaji wa Tsh 25,000 na sasa naingiza laki 4 Hadi laki 7 kila Mwezi. Mwaka Jana 2021 mwezi wa 3 nilitumia mtaji huo kununua domain name kisha...
18 Reactions
114 Replies
19K Views
Hivi nikitaka kujiunga UTT amis ni lazma niende ofisini kwao?? Na je, mfuko gani una return nzuri?
0 Reactions
13 Replies
633 Views
1. Freelancing Online: - Skill Required: Specialized skills in writing, graphic design, programming, etc. - Investment: Nil to moderate (may need tools or software). - Sustainability...
1 Reactions
1 Replies
419 Views
Habari Siku zilizopita nilipost Uzi kuhusu Mtaji wa 25,000 Unavyonipatia laki 4 kila mwezi>> Watu wengi walitaka kujua jinsi ya kupata Watembeleaji wengi kwenye Blog. Binafsi natumia njiaa kuu...
12 Reactions
48 Replies
7K Views
Kama wewe ni kijana ambae umekuwa always interested na kujiingizia pesa online ila kwa bahati mbaya hujawahi taka jaribu maana umekua ukioanisha 'kuingiza pesa mtandaoni' na hizo HYIP Investments...
9 Reactions
68 Replies
9K Views
Nimeona mdau mmoja humu anahamasisha watu wazame bush wakanunue kwa bei ndogo walete mazao mjini wauze kwa bei kubwa ili wapige pesa. Hili wazo ni zuri sana lakini ni vyema tupeane tahadhari...
39 Reactions
100 Replies
11K Views
Nahitaji Unga wa Uwanga (arrow roots powder) Habari zenu, naomba mtu anayejua sehem naweza kupata Unga wa Uwanga(arrow root powder), nahitaji mwingi hata kama tone 5 unazo au unajua zilizo...
0 Reactions
2 Replies
219 Views
Naomba kufahamu juu ya biashara ya stationery
4 Reactions
22 Replies
655 Views
Naulizia chimbo la kuuza pafyum za kwa kariakoo na vile vichupa vidogo vidogo vinakopatikana
1 Reactions
2 Replies
276 Views
Hivi Oil based perfume zinaagizwa kutoka nchi gani hasa? Namaanisha kwa bei ya jumla hasahasa zile pure. Kama kuna mtu anamjua seller au mahali ambako wabongo huwa wanaagiza perfume za kupima...
1 Reactions
13 Replies
12K Views
Habari, Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu. Sihitaji high return business bora nipate...
45 Reactions
331 Replies
25K Views
Hello JF, Moja kwa moja kwenye bandiko Mimi ni mmoja wa wamiliki wa Duka la Jumla kiukweli hi biashara inalipa sana hasa inalipa faida ya milion 1.5 kwa mwezi kabla ya kutoa malipo ya...
5 Reactions
69 Replies
11K Views
Ni wajinga ndio wanaweza shangilia huu ujinga, haiwezekani kijengwe the so called kituo cha biashara na asilimia 100 ya products hapo ni kutoka nje na tunaona ni sawa kabisa tena tunashangilia na...
15 Reactions
43 Replies
1K Views
Mimi ni ticha wa private hapa town nimeamua kujiongeza na hiyo kitu fundi mwenyewe, ila kua ankali nipo nae, Naomba ushauri nini kiongezeke, licha ya nilivyonayo, kuna TV nch 23, king'amuzi cha...
10 Reactions
38 Replies
1K Views
Kati ya hizi ipi ina mziki mnene?
0 Reactions
2 Replies
179 Views
Habari za leo wadau wote wa Jamii Forum Duka letu maarufu kwa biashara ya vitenge lililoko soko kuu kasulu mjini, kigoma, Tanzania Tuna furaha kuwatangazia kuwa tunazo aina zote za vitenge...
0 Reactions
2 Replies
362 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi kijana mwenzenu nimelenga kujilipua kwa kuagiza mzigo kutoka china kwa mara ya kwanza,hivyo basi naomba munielekeze namna ya kufanya malipo. natanguliza...
1 Reactions
2 Replies
205 Views
Nimeanza kufanya biashara mtandaoni (online business) tangu mwaka 2021 na hii ni njia bora ya kujiongezea kipato bila ya kuwa na mtaji mkubwa wa pesa. Nitakueleza hatua kwa hatua jinsi unavyoweza...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanajamii forum ,mimi ni mdau wa muda mrefu sana ndani ya forum hii lakini nikiwa kama msomaji tu, kupitia forum hii nimejifunza mambo mengi, nimecheka na kufurahi, pamoja na kuelimika...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Back
Top Bottom