Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kumiliki nyumba au ardhi haviwezi kukupa utajiri mkubwa, fuatana nami ujifunze experience yangu ya umiliki wa hizi mali Mimi Mr Why nataka nishare experience yangu ya umiliki wa nyumba na ardhi...
30 Reactions
136 Replies
5K Views
Uandaaji wa Mpango Mkakati yaani “Strategic Planning” unahusisha ukusanyaji na ufanyaji wa tathmini wa taarifa juu ya mazingira ya nje yanayoizunguka kampuni yaani “external environment”...
2 Reactions
2 Replies
279 Views
Forum nzuri hiii. Nauliza, mfano nataka nifungue kiwanda cha maji, yaani kufunga mashine mpya, madumu ya maji etc, bora ni ninunue mashine wapi? Mpya za China au used za ulaya? Je, kuna websites...
1 Reactions
41 Replies
15K Views
Naitwa Jacob Mwansasu ni mmiliki wa partneship iitwayo swebetech it solution tunakuletea product hii kwa ajili ya private school kusaidia uendeshaji wa kidigitali. Karibuni 0759617533 kwa...
0 Reactions
3 Replies
189 Views
Habari nduguzangu. Kuna hii mifuko inayotumika kubebea mahitaji mbalimbali ya nyumbani, ambayo rejareja huuzwa 200, 300 na 500. Bei ya jumla inauzwaje? Na je inakaa mingapi? Inapatikana wapi kwa...
3 Reactions
4 Replies
314 Views
Habari za asubuhi wanajukwaa. Nahitaji kumwanzishia biashara ya vitafunwa mdogo wangu ili kumwepusha na vijiwe vya kijinga huku akisubiria tokeo la form 4... Moja ya mahitaji ya hii biashara ni...
1 Reactions
4 Replies
276 Views
Kama ilivyo kariakoo wafanya biashara wengi wanafanya biashara ya B2B yaani Busness to bussness ( mtu ununua bidhaa na kuiuza hio bidhaa iliapate faida/profit. Wa China na watu wenye viwanda wao...
13 Reactions
35 Replies
3K Views
Naombie abc za hii biashara. Profit inakuwaje? Gunia moja faida ikoje?
7 Reactions
25 Replies
784 Views
INTRODUCTION:- Wananchi salamaa? Wale wanayanga wenzangu tusijali TUTAVUKA BILA CALUCULATOR zao..!!! BODY:- Ukiachana na utumishi wa umma, Mimi bwana ni mfanyabiashara ninaye miliki kampuni...
20 Reactions
79 Replies
3K Views
Nina kiasi cha shilingi milioni 3. Nataka nifungue sehem ya chips , kuku, mishkaki samaki juice na vinywaji sio vilevi. Naombeni ushauri kuhusu mtaji huo unatosha? Na vipi Faida na changamoto zake
10 Reactions
51 Replies
2K Views
Mfanya biashara wa Arusha Je, biashara yako inakutana na changamoto katika kudeal na mambo ya TRA, usimamizi wa fedha, uhasibu, au masuala ya kodi? Tunatoa huduma za ushauri wa kitaalamu...
1 Reactions
3 Replies
232 Views
Natafuta wanunuzi wa madini ya iolite ambayo yamechongwa tayari (cut/faceted iolite).
1 Reactions
7 Replies
243 Views
Karibu DYNAMIC AIR AND SEA CARGO LTD Kampuni iliyosajiliwa kwa kutoa huduma ya usafirishaji na uagizaji wa Bidhaa Kwa wateja, tupo big bon mkabala na msimbazi B mtaa wa mkunguni na Congo...
6 Reactions
105 Replies
8K Views
Wakuu msaada, Nawezaje kuwa wakala wa vifurushi vya Halotel? Nafurahi sana nikihudumia watu.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamvi, habari za muda huu na poleni na mihangaiko ya kutwa nzima. Korosho ni zao linalolimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara na sasa ni kipindi rasmi cha msimu wa korosho. Nahitaji Tajiri...
5 Reactions
71 Replies
3K Views
Sasa ivi oil chafu imekuwa bidhaa adimu sana hasa huko kwenye garage za Magari, pikipiki, n.k Nataka kufahamu wanaozinunua wanazipeleka wapi?
1 Reactions
3 Replies
268 Views
Hello Guys! Naombeni Mwenye kujua jinsi navyoweza kupata Contact za Viwanda na Makampuni yote ya uwekezaji Nchini!. NINACHO KITAKA NI 1. LOCATIONS ZAO. 2. CONTACT EMAIL ZAO. 3. AINA YA KIWANDA...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Inakuwaje, watu wangu? Natumai mko poa! Binafsi niko fresh. Naomba kuuliza hivi, biashara ya movie library kwa Mpanda Mjini ikoje? Naamini kuna wadau wa Mpanda humu, na wengine waliowahi kuishi...
0 Reactions
1 Replies
177 Views
Binafsi nilipewa mbegu kumi za kahawa nikaziotesha adi sasa namiliki hekari 5 za kahawa Misenyi mkoani Kagera. Wewe je?
1 Reactions
0 Replies
197 Views
Inakuwaje au unajisikiaje unapolipia tangazo alafu watu wanabofya bofya tu ila hawana nia ya kununua bidhaa zako mtu anaulizia singsung s23 shingapi unampa bei anapotea hata kurudiaha jibu hapana...
7 Reactions
18 Replies
276 Views
Back
Top Bottom