Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari ndugu, naomba niwashirikishe kidogo yanayonisibu; Nina biashara 5; 1. Magodoro 2. Electronics 3. Mchele 4. Duka la rejareja 5. Vinywaji vya jumla. Kinacho niumiza wakuu chakwanza ni...
11 Reactions
26 Replies
3K Views
Nauliza mtu anayejua process za mtu akitaka kuwekeza kama chuo na ni mgeni process zipi za kufwata
0 Reactions
3 Replies
191 Views
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽 Wakuu nipo hapa jukwaani nahitaji kujua TAJIRI ni mtu mwenye PESA au MALI kiasi gani? Maana kumekuwa na maana tofautitofauti ambazo hutumiwa na watu kulingana na mtazamo...
0 Reactions
11 Replies
468 Views
Wakuu habari zenu Ningependa kujua ama kufahamu kwa mwenye uelewa kuhusu jinsi makampuni ya simu yanavyolipa pale wanapokuwa wamekodi/wameweka mnara wao kwenye eneo lako. eneo ni dsm: juu ya...
0 Reactions
2 Replies
253 Views
Tigo sasa ni Yas na Tigo Pesa ni Mixx by Yas. Hakutakuwa na mabadiliko yeyote kwenye huduma au bidhaa zetu . Ujumbe wa Tigo kwa sasa ni Yas , ki branding kwinini isiwe Yas pesa?
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Wakuu habari, iv hawa nmb nikiraka kuwafanyia umafia na kunilipa usumbufu nawafanyaje? Ni hivi, nilikuwa nadsiwa mkopo ambao ulikuwa unaisha mwezi wa kumi na moja, maana si huwa wanakata kwenye...
3 Reactions
13 Replies
326 Views
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽 Hivi kwann familia zetu nyingi za kitanzania zinaanza upya katika utafutaji wa mali, kutoka kizazi kimoja hadi kingine ktk utafutaji? Hii kitu imekua ikiturudisha nyuma...
6 Reactions
22 Replies
618 Views
Kuna jamaa aliniuliza kuna changamoto gani au kero zinakumbananazo car wash za hapa bongo kwa maana yeye alitaka siku moja aanzishe automated car wash kama hio hapo chini...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari wana Jamii forums? Naomba kujua zaidi kuhusu biashara ambayo naweza kuanza kwa mtaji mdogo na ikakua na kufungua fursa zingine za kibiashara. Binafsi nimekuwa nikiwaza sana kuhusu...
9 Reactions
21 Replies
962 Views
Nauza TV stand set ambayo ina coffee table yake, ila cofee table yake imevunjika kioo cha juu tu, ni kukibadili tuu, kwahivyo nauza kwa bei nafuu, nitafte kama uko interested : 0684101707 Niko...
0 Reactions
24 Replies
477 Views
Jamani hii nilishaipost narudia tena sasahivi kwa kuweka gharama yake maana naona watu wengi walikuwa wanaongelea pesa ambazo sijaziandika, HIYO SET KWENYE PICHA NI STAND YA TV INA NA COFFEE TABLE...
0 Reactions
0 Replies
177 Views
HabarI wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mil 70 inatosha kufungua pharmacy ya jumla location Dodoma?
6 Reactions
57 Replies
3K Views
,,, TUNAPATIKANA MKUYUNI KARIBU NA STENDI YA DALALA ,,,,,, KWA MAWASILIANO ZAIDI O699494330 (Whatsapp & normal call) Karibu MACK_E OUTFITS tunauza t shirt kali size zote ni unisex anavaa mwanaume...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Wadau tujadiliane kuhusu michongo mbalimbali je ni sekta gani zenye kipato Cha kuridhisha?
1 Reactions
7 Replies
324 Views
Hello wakuu, Naomba kwa aliyehudhuria mkutano wa wawekezaji UTT aniambie faida za mifuko mwaka Huu ilikua asilimia ngapi Kwa: Liquid fund Bond fund Wekeza Maisha Jikimu Na Watoto fund
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Ndugu zangu siku za karibuni mliifahamu kama kampuni ya TIGO sasa imekuwa YAS una lipi la kusema juu ya mabadiliko haya Hii imekaaje tangu ilipobadilishwa na kuitwa YAS huku huduma ya fedha...
3 Reactions
19 Replies
701 Views
Baada ya kushauriwa na rafiki yangu kuhusu uwekezaji katika mifuko ya pamoja na kunielezea juu ya UTT AMIS nimevutiwa juu ya hili na kutaka kufahamu zaidi kuhusu UTT AMIS. Katika harakati za...
1 Reactions
2 Replies
906 Views
Wapendwa wote habari za mwaka mpya 2025 !! Jamani kama kichwa cha habari nlivo kiweka hapo juu, naomba anaye weza kunipa ufafanuzi juu ya mifuko ya Utt na faida za uwekezaji katika sekta hiyo...
0 Reactions
1 Replies
284 Views
BIASHARA CHINA INATENGEZA MATAJIRI WENGI, Tena vijana na wewe unaweza kuwa mmoja wao. . lakini pia unaweza kupoteza mtaji wako wote ikiwa kuna mambo hutoyafaham mapema. . Sasa kabla hujaenda...
15 Reactions
30 Replies
2K Views
Daaah walio toboa kwenye huo mkoa hongereni. Daah mikoa mingine utasema upo KENYA siyo Tanzania. Licha ya ugumu wa pesa hali ya hewa pia haikunifurahisha upepo mkali, maji chumvi daah, jua kali...
21 Reactions
131 Replies
11K Views
Back
Top Bottom