Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Tanzania ni nchi ya pili duniani kwa uzalishaji wa asali lakini hawajui yalipo masoko ya kimataifa. Ni muhimu kufahamu kuna nchi 24 duniani zinazovutiwa na asali ya Tanzania ambako wajasiriamali...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Thamani ya hisa zilizoorodheshwa kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) imeonesha kushuka kwa kasi katika siku 20 zilizopita huku mauzo ya DSE kwa wiki iliyopita yakipungua kwa 21.62% hadi...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani habarini za muda huu, Samahani naomba kujua vibanda vile vya biashara (vya Chuma) kama vile huwa vinatengenezwa kwa shingapi? Between ngapi na ngapi?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Usikute hata ule msemo " wanaume hatujui kutunza pesa" ulianzishwa na bushman kama GENTAMYCINE But don't just take it seriously. Ni uongo kama porn site inayo kwambia kuna demu mrembo anataka...
20 Reactions
44 Replies
4K Views
Kimsingi trend ya bei ya mahindi imeonesha hali isiyo ya kawaida kwa mwaka 2022. Hali tunayoweza kuilalamikia ulaya kutokana na Vita vinanvyoendelea Ulaya mashariki. Kwa kuangalia trend ya bei za...
0 Reactions
4 Replies
952 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akipokea cheti cha tuzo ya "Benki Bora Tanzania" kutoka kwa Mwanzili na Mhariri Mtendaji wa Global Finance, Joseph Giarraputo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za humu Great Thinkers! Naomba kupata elimu juu ya biashara ya vifaa vya umeme kwa mtu mwenye mtaji mdogo wa angalau milioni 4. Nitafurahi ikiwa nitaelimishwa juu ya muundo wa duka...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari Naomba msaada nna mtaji wa sh milion 4 ni aina gani ya biashara naeza fanya Location ni ndani ya Dar es salam naishi Mbezi
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari zenu, Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika ,kama itawapendeza madereva na wahitaji wa huduma za usafirishaji wa mizigo mbalimbali ndani na nnje ya Tanzania, mjaribu kutaja/ ku...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari nyote. Mimi ni Mjasiriamali na hivi karibuni nimeanzisha shughuli ya kuzalisha Mkaa mbadala kwa kutumia unga wa mbao, chenga za mkaa na makaratasi. Nahitaji Mtu au Watu wa kushirikiana...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Inasikitisha sana kuwa serikali yetu iko kimya sana kuhusu hii ishu. Nini kifanyike ili wananchi wa Tanzania wasikumbane na madhila ya namna kama hii? Elimu itolewe kuhusu utapeli wa mitandaoni.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakubwa habari za majukum. Kumekuwa na mgogoro mkubwa kwa majirani zangu ambao wanagombania mti wa mnazi mkubwa ambao ulikua unauwezo wa kuzalisha nazi. Jirani mmoja kati yao akaamua kuukata huo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwanini biashara inakuwa nafasi ya pili? Baada ya mtu kufeli katika kazi au chochote ndo anafikiria kufanya biashara, nahisi ndomaana wengi pia wakiingia kwenye biashara wakikutana na changamoto...
0 Reactions
6 Replies
876 Views
Habari ya leo Jumapili, Natumaini tuko sawa wote, wenye changamoto zozote poleni sana. Natafuta mashine ya kukatia viazi, kwa ajili ya kutengeneza Crips. Ningependa kujua bei, na inapopatikana...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa utafiti wa iconic world Tanzania hakuna kabila kwenye top 10 ya Africa.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Huu uzi maalumu kwa forex traders wapambanaji wote wanaotrade forex market lengo ni kushare ideas mbali mbali na kushtuana kwenye setup za nguvu[emoji123] Kama huusiki na hii biashara usichangie...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer. Mimi; unafanya biashara gani teacher...?? Lecturer; Hahaahahhaaaaa sina biashara. Mimi; Kwanini...?? Lecturer...
0 Reactions
9 Replies
952 Views
Wakuu hivi hapa iringa mjini ukiwa na camera unanza vipi harakati? Kwa wageni? I mean connection
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Mkuu, Kuna watu/mtu ambaye wanaohitaji kufanya uwekezaji serious? Je unaweza kufanya nini ukiwa na access ya Kiasi cha Milioni 50-500?Uwekezaji uwe endelevu,uzalishe ajira,uhifadhi mazingira...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Hapa nimepiga swali, Kule online wanadai nisiwe mwoga nitalipwa hiyo 800 kila siku. Sasa shida yangu je hiyo 20 Inaenda wapi? Kwanini nisitangaze biashara zao bila kuweka 20? Wakuu nimekuja huku...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom