Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kuna kitu sijakielewa hapa, au hakipo sawaaa, ukitaka kuanzisha biashara lazima ufuate utaratibu wa kisheria mfano lazima uwe na tin na lesseni ya biashara husika, embu fikiria unataka kuanzisha...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za muda huu, Nahitaji kufahamu soko la bidhaa ya dagaa nyama lipoje hasa maeneo ya Dar, na labda vizuri pia anayejua wanapopatikana zaidi kwa ujumla.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu tupo na shule yetu inaitwa WILLIAM BRANHAM PRE AND PRIMARY SCHOOL ipo Mbeya - Mkoa wa Songwe Tunduma tupo kwenye mikakati ya kuifanya iwe international school. Naombeni...
1 Reactions
6 Replies
674 Views
Habari ya siku ya leo; Ni muda mrefu tangu nilipoandika makala yangu ya mwisho katika jukwaa hili ambalo nimelichagua kama sehemu ya mchango wangu kwa jamii yetu.Ninaamini kwamba pamoja na kwamba...
1 Reactions
1 Replies
470 Views
Wakuu nafikiria ni biashara gani unaweza ifanya shuleni yaani ikawa inajulikana na wanafunzi na walimu wao Mfano sku hz wanafunz wanapewa uji shulen kuna mama mmoja nlimuona shule moja ya...
1 Reactions
1 Replies
824 Views
Habari Wadau! Naomba ushauri wenu ipi ni faida ya mtu anayefanya kazi ya kuuza duka la decoration za nyumbani( ikumbukwe duka sio lake isipokuwa ameajiriwa kuuza vifaa kwenye duka hilo)...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nilipojua kua sijui yangu ilikua katika biashara ya nafaka Ilikua mwaka 2011 baada ya kufanya vibarua vya hapa na pale nikawa nimesave pesa kiasi cha tsh 750,000 nilikua na shauku sana ya...
66 Reactions
120 Replies
22K Views
Binafsi Biashara ya FOREX, naisemea kwamba inahitaji uijue wewe mwenyewe kwa kutafuta knowledge yake na kuelewa ni nini unafanya uingiapo sokoni 1. Weka Trading Plan 2. Acha Tamaa ya kutaka...
4 Reactions
95 Replies
9K Views
Lengo la Uzi huu ni kutoa kasoro kwa baadhi ya mapungufu machache kati ya mengi niliyoyaona CRDB- Dodoma. Haya nimeyaona hususani katika matawi ya Mazengo na Chamwino yote yaliyo Jiji la Dodoma...
2 Reactions
4 Replies
944 Views
Habari wakuu, kutokana na hamasa niliyoipata hapa jf nikaamua niende UTT AMIS pale sukari house, kupata maelekezo na kuwekeza... Ila kila swali nililokua nauliza naona nnajibiwa kama...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
[emoji271]Group hili nikwa wakulima WA miti ya mitiki. [emoji271]Lengo Nikupeana ushauri juu ya upandaji na uvunaji pamoja na changamoto mbali mbali zinazolenga maswala ya miti. [emoji271]Pia...
0 Reactions
1 Replies
920 Views
Jameni wana JF Wazima?? Naomba muongozo kwa watu wanaouza mapochi ya jumla sio reja reja nitawapataje kama upo serious unataka kunisaidia kuniunganisha nao please ni inbox mie sitaki za mitumba...
2 Reactions
13 Replies
469 Views
Ni brand ya hp ram 8, hdd 750, processor ya 2.5 up to 2.7..bei ni tsh. 520,000( maongezi yapo). Ni used in a good condition, haina functionality problem ya aina yeyote ile..little scratch kwa...
0 Reactions
7 Replies
633 Views
Habari wanajamvi? Mimi niko powa kabisa, mimi ni mfanyabiashara na dukani kwangu nimeweka huduma za lipa kwa simu. Huduma toka Tigo lipa kwa tigo pesa iko powa sana, baada ya malipo unapotaka...
11 Reactions
32 Replies
16K Views
Nimeunga kifurushi halafu sms haziendi siku ya pili leo. Muda unaenda, nani atafidia hasara hii? Au mmelewa mafanikio?
1 Reactions
1 Replies
360 Views
1. Wanaazima CREDIBILITY Kutoka Kwenye Baadhi ya Medias Zenye AUTHORITY (Tv,s, Radios nk). 2. Wanatafuta SOCIAL PROOFS za Kwamba Hii business Model inafanya Kazi (Wana-Clear SCAPTISMS). 3)...
9 Reactions
8 Replies
2K Views
Biashara bwana, najua kuna watu wanatamani mafanikio ya bakhresa au Mo au GSM au mafanikio ya tajiri yoyote yule, Husitamani mafanikio ya bakhresa, mo, gsm au yoyote aliyefanikiwa. Unajua...
0 Reactions
9 Replies
832 Views
Habari wakuu, Nimejaribu kuchunguza uhitaji wa nazi ndani ya jiji la Dar es Salaam,nataka nianze kuuza nazi kwa kufanya uchuuzi toka Pwani kuleta Dar na kuuza kwa wauzaji wa reja reja, naomba...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama umeshajaribu kutangaza biashara, bidhaa au huduma unazotoa kwenyemtandao wa Facebook bila ya kupatawateja wengi basi nisikilize kwa makini sana kwani katika makala hii nitakuonyesha njia...
4 Reactions
8 Replies
5K Views
kwanza napenda niweke wazi kwamba Mimi ni mmoja kati watanzania wanaoingiza bidhaa mbalimbali kutoka China na Marekani(USA) yaani (importers). Naamini wengi tunajua kuwa wafanyabiashara wengi...
0 Reactions
42 Replies
11K Views
Back
Top Bottom