Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari Wanajamii Wa JF, Nafikiria Kufungua Biashara Maeneo Ya Magomeni Mikumi Au Usalama Dar Es salaam. Naomba Kusaidiwa Kujua Bei Ya Frame Ya Chumba Cha Biashara Ina Range Bei Gani kwa Mwezi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo nawaibia kidogo kuhusu uwekezaji kwenye nyumba za kupangisha hii ní biashara nzuri sana ambayo utaishi bila kuwa na mashaka yoyote yale katika mzunguko wako kipesa na família. Iko hivi mfano...
13 Reactions
288 Replies
28K Views
Nilikuwa naomba mwenye elimu kidogo juu ya utengenezaji wa vifungashio vya karatasi anisaidie.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
HABARI.ZENU WADAU. Natarajia kuvuna vitungu vyangu kuanzia tar 25 mwezi huu naomba kujua hali ya masoko kwa Dar. Asanteni
1 Reactions
2 Replies
439 Views
Jamani naombeni msaada, Kwa yeyote aliyewahi kuagiza kifaa chichote au kitu chochote kutoka China chenye uzito wa 30 kg gharama za usafirishaji zikoje?
2 Reactions
32 Replies
14K Views
Wakuu nimepata zali na mtot wa kituruki ameniachia noti mbili 5200 Sas natafuta sehemu au bureau ambayo naweza kubadilisha fedha hzo nizipate za kitaanzania Naombeni msaada Ni bureau ipi Ina...
2 Reactions
124 Replies
10K Views
Ndugu wapendwa, hongereni kwa jukumu la kujenga taifa. Nimekuja hapa na kazi iliyokamilika, anaetaka tupige kazi unakaribishwa. Nimetengeneza website ya utalii, ambayo itawasaidia watu wa...
2 Reactions
4 Replies
852 Views
Ndugu wanaJF Nimeona nishirikishe wasio na ajira rasmi kazi nitakayoieleza kwa mapana katika uzi huu (kwa vitendo kuanzia ufanyaji wa hali ya chini (kiwango duni) hadi kiwango cha juu) huku...
1 Reactions
4 Replies
749 Views
Kwa sasa ni Nchi Nyingi sana kuna Mfumuko wa Bei, Lakini kufikiri kwamba sababu Marekani kuna Mfumuko wa bei basi na Tanzania lazima uwepo hayo ni Mawazo ya Walioshindwa . Hivyo ni Bora...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwa sasa watu wengi ambao walishakuwa katika hali nzuri ya kiuchumi wanawataka vijana waweze kujiajiri, kiukweli ni sahihi kulingana na hali ilivyo lakini tatizo kubwa linalowakabili vijana ni...
2 Reactions
3 Replies
477 Views
Habari wana jamii forum Changamoto iliyopo mtaani sasa hivi ni tatizo la kupata wateja na kuongeza mauzo kwenye biashara limekua ni swala gumu sana , jobless wengi wanaanzisha Biashara na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya mama kutuongezea chajuu kidogo kwenye salary nimeamua kujilipua benki nimevuta mkopo wa mulioni ishirini, milioni kumi nimefanyia finishing ya nyumba yangu ya kuishi na kumi zilizobaki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama utamaduni tuna embassies katika nchi nyingi. Na nje ya Balozi kunakuwa na Balozi mdogo, Councillor na office staff. Binafsi sijui hasa hawa mabalozi huwa wanafanyaga nini? Hivi baada ya...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari zenu, Miaka ya nyuma tulizoea kuwa dagaa ni mboga ya watu wa hali ya chini lakini nimeshangaa sehemu ninayoishi kwa sasa nyama ndio imekuwa mboga watu wa hali ya chini tunaweza kuimudu...
11 Reactions
33 Replies
2K Views
Shamba linaukubwa wa Hekali 359, Lina hati miliki.kwa mawasiliano 0757 241118
0 Reactions
0 Replies
373 Views
Ni nzuri kwa ajili.ya kuscrub kw atakaehitaji
0 Reactions
0 Replies
196 Views
Unajua kwanini watu wanasema upende unachokifanya ...?? Unajua...?? Au ushawahi kuulizwa au kusikia kauli hiyo....?? Kwasababu upendo au mapenzi pekee ndo unaweza kuvumilia kila kitu, mkeo au mmeo...
1 Reactions
0 Replies
300 Views
Salama wakuu, Naombeni muongozo wa namna ya kufanya biashara ya kuuza magari used, kwa upande wa mambo ya kuzingatia, taratibu za kufata, changamoto nk. Nimeamua kuja na hiyo biashara, baada ya...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
MINISTER for Minerals Dr Dotto Biteko has expressed his satisfaction with the speed of the construction of the power substation being built by the Geita Gold Mining Company (GGML). The...
0 Reactions
1 Replies
612 Views
Habari wanajamii? Nimeonelea nikushirikishe kuhusiana na hiki kinachopatikana hapa nilipo. Kwanza njna uenyeji takriban zaidi ya miaka 25 hapa kisiwani, hivyo basi ninao uwezo wa kukusanya samaki...
4 Reactions
12 Replies
930 Views
Back
Top Bottom